< اول تواریخ 5 >
رئوبین پسر ارشد اسرائیل بود. اما حق ارشد بودن رئوبین از او گرفته شد و به پسران برادر ناتنیاش یوسف داده شد، چون رئوبین با مُتعه پدر خود همبستر شده، پدر خود را بیحرمت کرد. از این رو، در نسب نامه، نام رئوبین به عنوان پسر ارشد ذکر نشده است. | 1 |
Wana wa Rubeni mzaliwa wa kwanza wa Israeli - sasa Rubeni alikuwa mzaliwa wa kwanza wa Israeli, lakini haki yake ya mzaliwa wa kwanza ilipewa kwa wana wa Yusufu mwana wa Israeli kwa sababu Rubeni alinajisi kochi la baba yake. Hivyo hajanakiliwa kama mwana wa kwanza.
هر چند یهودا در بین برادرانش از همه قویتر بود و از میان قبیلهٔ او یک رهبر برخاست، ولی حق ارشد بودن به یوسف تعلق گرفت. | 2 |
Yuda alikuwa mwenye nguvu kuliko kaka zake, na kiongozi ata toka kwake. Lakini haki ya mzaliwa wa kwanza ilikuwa ya Yusufu -
اینها پسران رئوبین (پسر بزرگ یعقوب) بودند: حنوک، فلو، حصرون و کرمی. | 3 |
wana wa Rubeni, mzaliwa wa kwanza wa Israeli alikuwa Hanoki, Palu, Hezroni, na Karmi.
اینها اعقاب یوئیل هستند: شمعیا، جوج، شمعی، | 4 |
Uzao wa Yoeli ulikuwa huu: Mwana wa Yoeli alikuwa Shemaia. Mwana wa Shemaia alikuwa Gogi. Mwana wa Gogi alikuwa Shimei.
Mwana wa Shimei alikuwa Mika. Mwana wa Mika alikuwa Reaia. Mwana wa Reaia alikuwa Baali.
و بئیره. بئیره رئیس قبیلهٔ رئوبین بود که تغلت فلاسر، پادشاه آشور او را اسیر کرد و برد. | 6 |
Mwana wa Baali alikuwa Bera, ambaye Tiligathi Pileseri alimpeleka matekani kule Assiria. Bera alikuwa kiongozi katika kabila la Rubeni.
سران طوایف رئوبین که نامشان در نسب نامه نوشته شد اینها بودند: یعیئیل، زکریا، بالع (پسر عزاز، نوهٔ شامع و نبیرهٔ یوئیل). رئوبینیها در منطقهای که بین عروعیر، نبو و بعل معون قرار دارد، ساکن شدند. | 7 |
Ndugu wa Bera kwa makabila yao ni hawa wafuatao, wameorodheshwa katika nakala za uzao wao: Yeieli wa kwanza, Zekaria, na
Bela mwana wa Azazi mwana wa Shema mwana wa Yoeli. Waliishi Aroeri, kwa umbali wa Nebo na Baali Meoni,
گلههای آنها در زمین جلعاد زیاد شده بود و از این جهت از طرف شرق تا حاشیه صحرا که به کنار رود فرات میرسید، سرزمین خود را وسعت دادند. | 9 |
na mwanzo wa mashariki mwa jangwa lenye umbali wa hadi Mto Efarati. Hii ni kwa sababu walikuwa na mifugo mingi katika nchi ya Gileadi.
در زمان سلطنت شائول، مردان رئوبین به حاجریان حمله بردند و آنها را شکست دادند و در خیمههای آنها، در حاشیهٔ شرقی جلعاد، ساکن شدند. | 10 |
Katika siku za Sauli, kabila la Rubeni lilishambulia Wahagiri na kuwa shinda. Wakaishi ndani ya hema za Wahagiri katika nchi yote mashariki mwa Gileadi.
قبیلهٔ جاد در سمت شمال قبیلهٔ رئوبین، در سرزمین باشان تا سرحد سلخه ساکن بودند. | 11 |
Kabila la Gadi liliishi karibu nao, katika nchi ya Bashani umbali wa Saleka.
رئیس قبیلهٔ جاد یوئیل نام داشت و شافام، یعنای و شافاط از بزرگان قبیله بودند. | 12 |
Viongozi wao walikuwa Yoeli, aliyekuwa kichwa wa ukoo, na Shafamu alikuwa kichwa wa ukoo mwingine, na Yanai na Shafati walikuwa wa Bashani.
بستگان ایشان، یعنی سران هفت طایفه، اینها بودند: میکائیل، مشلام، شبع، یورای، یعکان، زیع و عابر. | 13 |
Ndugu zao, kwa familia za baba yao, walikuwa Mikaeli, Meshulamu, Sheba, Yorai, Yakani, na Eberi - jumla saba wote.
این افراد از نسل ابیحایل هستند. (ابیحایل پسر حوری بود، حوری پسر یاروح، یاروح پسر جلعاد، جلعاد پسر میکائیل، میکائیل پسر یشیشای، یشیشای پسر یحدو، و یحدو پسر بوز.) | 14 |
Hawa watu walio tajwa hapo juu ni uzao wa Abihaili, na Abihaili alikuwa mwana wa Huri. Huri alikuwa mwana w a Yaroa. Yaroa alikuwa mwana wa Gileadi. Gileadi alikuwa mwana wa Mikaeli. Mikaeli alikuwa mwana wa Yeshishai. Yeshishai alikuwa mwana wa Yado. Yado alikuwa mwana wa Buzi.
اخی، پسر عبدیئیل و نوهٔ جونی رئیس این طایفهها بود. | 15 |
Ahi mwana wa Abidieli mwana wa Guni, alikuwa kichwa cha familia ya baba yake.
این طایفهها در جلعاد (واقع در سرزمین باشان) و اطراف آن و در تمام منطقه سرسبز و خرم شارون زندگی میکردند. | 16 |
Waliishi Gileadi, Bashani, katika miji, na katika nchi zote za malisho ya Sharoni kwa umbali wa mipaka yake.
نسب نامهٔ ایشان در زمان سلطنت یوتام پادشاه یهودا و یربعام پادشاه اسرائیل ثبت شد. | 17 |
Hawa wote waliorodheshwa katika nakaka za uzao katika siku za Yothamu mfalme wa Yuda na Yeroboamu mfalme wa Israeli.
سپاه مشترک رئوبین، جاد و نصف قبیلهٔ منسی از ۴۴٬۷۶۰ سرباز شجاع و تعلیم دیده و مسلح تشکیل شده بود. | 18 |
Warubeni, Wagadi, na nusu ya kabila la Manase walikuwa na wana jeshi elfu arobaini na nne walio fuzu kwa vita, walio beba ngao na upanga, na pinde na mishale.
آنها به جنگ حاجریان، یطور، نافیش و نوداب رفتند. | 19 |
Waliwashambulia Wahagri, Yeturi, Nafishi, na Nodabu.
ایشان دعا کردند و از خدا کمک خواستند و خدا هم به دادشان رسید، زیرا که بر او توکل داشتند. پس حاجریان و متحدان آنان شکست خوردند. | 20 |
Walipokea msaada wa Kimungu dhidi yao. Katika hili Wahagri na wote walio kuwa nao walishindwa. Hii ni kwa sababu Waisraeli walipaza sauti katika vita, na yeye akawajibu, kwa sababu waliweka tumaini lao kwake.
غنایم جنگی که به دست آمد عبارت بود از: ۵۰٬۰۰۰ شتر، ۲۵۰٬۰۰۰ گوسفند، ۲٬۰۰۰ الاغ و ۱۰۰٬۰۰۰ اسیر. | 21 |
Walikamata wanya wao, pamoja na ngamia elfu hamsini, kondoo 250, 000, punda elfu mbili, na wanaume 100, 000.
عدهٔ زیادی از دشمنان هم در جنگ کشته شدند، زیرا خدا بر ضد آنها میجنگید. پس مردم رئوبین تا زمان تبعیدشان، در سرزمین حاجریان ساکن شدند. | 22 |
Kwa sababu Mungu aliwapigania, waliua maadui wengi. Waliishi katika nchi yao mpaka mateka.
افراد نصف قبیلهٔ منسی بسیار زیاد بودند و در منطقهٔ واقع در بین باشان، بعل حرمون، سنیر و کوه حرمون ساکن شدند. | 23 |
Baadhi ya watu wa kabila la Manase waliishi katika nchi ya Bashani kwa umbali wa Hermoni na Seniri (hiyo ni, Mlima Hermoni).
اینها سران طوایف ایشان بودند: عافر، یشعی، الیئیل، عزریئیل، ارمیا، هودویا و یحدیئیل. هر یک از آنها رهبرانی قوی و شجاع و معروف به شمار میآمدند، | 24 |
Hawa walikuwa viongozi wa familia zao: Eferi, Ishi, Elieli, Azrieli, Yeremia, Hodavia, na Yahdieli. Walikuwa wenye nguvu na wanaume wa jasiri, wanaume maharufu, viongozi wa familia zao.
ولی نسبت به خدای اجدادشان وفادار نبودند. آنها بتهای کنعانیها را که خدا آنها را از بین برده بود میپرستیدند. | 25 |
Lakini walikuwa sio wa aminifu kwa Mungu wa babu zao. Badala yake, waliabudu miungu ya watu waio nchi, ambao Mungu aliwaangamiza mbele yao.
پس خدای اسرائیل، فول پادشاه آشور را (که به تغلت فلاسر معروف بود) برانگیخت و او به آن سرزمین حمله کرد و مردان رئوبین، جاد و نصف قبیلهٔ منسی را اسیر نمود و آنها را به حلح، خابور، هارا و کنار نهر جوزان برد که تا به امروز در آنجا ساکن هستند. | 26 |
Mungu wa Israeli alimchochea Puli mfalme wa Assiria ( ambaye pia uitwa Tiligathi Pileseri, mfalme wa Assiria). Aliwa peleka matekani Warubeni, Wagadi, na nusu ya kabila la Manase. Aliwaleta kwa Hala, Habori, Hara, na kwenye mto wa Gozani, ambapo wapo adi leo.