< اول تواریخ 26 >
از طایفهٔ قورح افرادی که برای نگهبانی دروازههای معبد تعیین شدند، اینها بودند: مشلمیا پسر قوری از خاندان آساف، و هفت پسر او که به ترتیب سن عبارت بودند از: زکریا، یدیعیئیل، زبدیا، یتنیئیل، عیلام، یهوحانان و الیهوعینای. | 1 |
Huu ulikuwa mgawanyiko wa walinzi wa lango: Kutoka kwa Wakora, Meshelemia mwana wa Kore, wa uzao wa Asafu.
Meshelemia alikuwa na wana wa kiume: Zekaria mzaliwa wa kwanza, Yediaeli wapili, Zebadia watatu, Yathinieli wanne,
Elamu watano, Yehohanani wasita, Eliehoenai wasaba.
هشت پسر عوبید ادوم که به ترتیب سن عبارت بودند از: شمعیا، یهوزاباد، یوآخ، ساکار، نتنئیل، عمیئیل، یساکار و فعلتای. این هشت پسر نشانهٔ برکت خدا به عوبید ادوم بودند. | 4 |
Obedi alikuwa na wana wa kiume: Shemaia wa kwanza, Yehozabadi wapili, Yoa watatu, na Sakari wanne, na Nethanieli watano,
Amieli wasita, Isakari wasaba, Peulethai wanane, kwa kuwa Mungu alimbariki Obedi Edomu.
پسران شمعیا همه مردانی توانا و در میان طایفهٔ خود معروف بودند. اسامی ایشان، عتنی، رفائیل، عوبید و الزاباد بود. برادران او الیهو و سمکیا هم مردانی توانا بودند. | 6 |
Kwa Shemaia mwanae walizawa wana walio tawala familia zao; walikuwa wanaume wenye uwezo mbali mbali.
Wana wa Shemaia walikuwa Othini, Refaeli, Obedi, na Elizabadi. Ndugu zake Elihu na Semakia walikuwa wanaume wenye uwezo mbali mbali.
همهٔ افراد خاندان عوبید ادوم مردانی توانا و واجد شرایط برای این کار بودند. | 8 |
Hawa wote walikuwa uzao wa Obedi Edomu. Wao na wanao na ndugu zao walikuwa wanaume wenye uwezo wa kufanya wajibu wao katika huduma ya hema la kuabudia. Palikuwa na sitini na mbili walio kuwa na undugu na Obedi Edomu.
هجده پسر و برادر مشلمیا هم مردانی قابل بشمار میآمدند. | 9 |
Meshelemia alikuwa na wana na ndugu, wanaume wenye uwezo, jumla ya kumi na nane.
از طایفهٔ مراری نیز حوسه با پسرانش به نگهبانی خانۀ خدا تعیین شدند. پسران حوسه عبارت بودند از: شمری (هر چند او پسر ارشد نبود اما پدرش او را رهبر سایر پسران خود کرد)، | 10 |
Hosa, mzao wa Merari, alikuwa na wana: Shimiri kiongozi (japo hakuwa mzaliwa wa kwanza, baba yake alimfanya kiongozi),
حلقیا، طبلیا و زکریا. خاندان حوسه جمعاً سیزده نفر بودند. | 11 |
Hilikia wapili, Tebalia watatu, Zekaria wanne. Wote wa wana wa Hosa na ndugu walikuwa kumi na tatu kwa idadi.
نگهبانان خانهٔ خداوند برحسب خاندان خود به گروهها تقسیم شدند تا مثل سایر لاویان در خانهٔ خداوند خدمت کنند. | 12 |
Huu mgawanyiko wa walinzi wa lango, sambamba na viongozi, ulikuwa na majukumu, kama ndugu zao, kutumika katika nyumba ya Yahweh.
تمام خاندانها، بدون توجه به بزرگی یا کوچکیشان، قرعه کشیدند تا مشخص شود هر یک از آنها کدام یک از دروازهها را باید نگهبانی کنند. | 13 |
Walirusha kura, wadogo kwa wakubwa, kulingana na familia zao, kwa kila lango.
نگهبانی دروازهٔ شرقی به اسم مشلمیا، نگهبانی دروازهٔ شمالی به نام پسرش زکریا که مشاور دانایی بود، | 14 |
Kura ilipo rushwa kwa lango la mashariki, ilimuangukia Shelemia. Kisha wakarusha kura kwa Zekaria mwana wake, mshauri makini, na kura yake ikatokea lango la kaskazini.
و نگهبانی دروازهٔ جنوبی به اسم عوبید ادوم درآمد. پسران عوبید ادوم از انبارها مواظبت میکردند. | 15 |
Kwa Obedi Edomu kulipangiwa lango la kusini, na wanae walipangiwa nyumba za ghala.
نگهبانی دروازهٔ غربی و دروازه شلکت (که به جادهٔ سربالایی باز میشد)، به نام شفیم و حوسه درآمد. وظیفهٔ نگهبانی به نوبت تعیین میشد. | 16 |
Shufimu na Hosa walipangiwa lango la magharibi pamoja na lango la Shalekethi, kwa barabara ya juu. Lindo lilikabiidhiwa kwa kila familia.
هر روز شش نفر در دروازهٔ شرقی، چهار نفر در دروازهٔ شمالی، چهار نفر در دروازهٔ جنوبی، و چهار نفر در انبارها (دو نفر در هر انبار) نگهبانی میدادند. | 17 |
Kwa mashariki walikuwa Walawi sita, kaskazini kwa siku moja, kusini kwa siku moja, na nyumba za ghala wawili.
هر روز برای نگهبانی دروازهٔ غربی شش نفر تعیین میشدند، یعنی چهار نفر برای جاده و دو نفر برای خود دروازه. | 18 |
Katika ua kuelekea magharibi wanne walipangwa, wanne barabarani, na wawili katika ua.
نگهبانان خانهٔ خدا از طایفههای قورح و مراری انتخاب شدند. | 19 |
Haya yalikuwa magawanyiko ya walinzi wa lango. Palijazwa na uzao wa Kora na Merari.
بقیهٔ لاویان به رهبری اخیا مسئول نگهداری خزانهٔ خانهٔ خدا و انبار هدایای وقفی بودند. | 20 |
Miongoni mwa Walawi, Ahija alikuwa kiongozi wa hazina ya nyumba ya Mungu, na hazina ya vitu vya Yahweh.
زیتام و یوئیل، پسران یحیئیل نیز که از رهبران خاندان لادان و از طایفۀ جرشون بودند از مسئولین خزانهٔ خانۀ خداوند بشمار میآمدند. | 21 |
Wazao wa Ladani, walitoka kwa Gerishoni kupitia kwake na walio kuwa viongozi wa familia za Ladani Mgerishoni, walikuwa Yehieli na wanae,
Zethamu, na Yoeli kaka yake, aliyesimamia ghala za nyumba ya Yahweh.
از طایفهٔ عمرام، یصهار، حبرون و عزیئیل نیز مسئولینی تعیین شدند. | 23 |
Kulikuwa na askari walio chukuliwa kwa koo za Amramu, Izhari, Hebroni, na uzieli.
شبوئیل، از طایفهٔ جرشوم پسر موسی، ناظر خزانه بود. | 24 |
Shebueli mwana wa Gerishomu mwana wa Musa, alikuwa msimamizi wa nyumba za ghala.
یکی از خویشاوندان او شلومیت بود. (شلومیت پسر زکری، زکری پسر یورام، یورام پسر اشعیا، اشعیا پسر رحبیا، رحبیا پسر العازار و العازار برادر جرشوم بود.) | 25 |
Ndugu zake wa ukoo wa Eliezeri walikuwa Rehabia mwanae, mwana wa Rehabia Yeshaia, mwana wa Yeshaia Yoramu, mwana wa Yoramu Zikiri, na mwana wa Zikiri Shelomothi.
شلومیت و برادرانش تعیین شدند تا از خزانه مراقبت نمایند. در این خزانه هدایایی نگهداری میشد که داوود پادشاه و سایر رهبران یعنی رؤسای طوایف و خاندانها و نیز فرماندهان سپاه وقف کرده بودند. | 26 |
Shelomothi na ndugu zake walikuwa wasimamizi wa nyumba zote za ghala zinazo hifadhi vitu vyote vya Yahweh, ambavyo Daudi mfalme, viongozi wa familia, wakuu wa maelfu na mamia, na wakuu wa jeshi walivyo vitenga.
این اشخاص قسمتی از آنچه را در جنگ به غنیمت میگرفتند وقف میکردند تا صرف هزینههای خانهٔ خداوند شود. | 27 |
Walitenga vitu walivyo vichukuwa kwenye mapambano kwa ajili ya kutunza nyumba ya Yahweh.
شلومیت و برادرانش در ضمن مسئول نگهداری هدایایی بودند که بهوسیلۀ سموئیل نبی، شائول پسر قیس، ابنیر پسر نیر، یوآب پسر صرویه، و دیگران وقف شده بود. | 28 |
Pia walikuwa wahusika wa kila kitu kilicho tengwa kwa ajili ya Yahweh na Samweli nabii, Sauli mwana wa Kishi, Abneri mwana wa Neri, na Yoabu mwana wa Zeruia. Kila kitu kilicho tengwa kwa ajili ya Yahweh kilikuwa chini ya ulinzi wa shelomothi na ndugu zake.
کننیا و پسرانش که از طایفهٔ یصهار بودند، وظایفی در خارج از خانۀ خدا به عهده داشتند. آنها از مسئولین و مقامات قضایی بودند. | 29 |
Wa uzao wa Izhari, Kenania na wana wake walikuwa wahusika wa mambo ya ndani ya Israeli. Walikuwa maafisa na waamuzi.
از طایفهٔ حبرون حشبیا و هزار و هفتصد نفر از خویشاوندانش که همه افرادی کاردان بودند، تعیین شدند تا در آن قسمت از خاک اسرائیل که در غرب رود اردن بود مسئول امور مذهبی و مملکتی باشند. | 30 |
Wa uzao wa Hebroni, Hashabia na kaka zake, wanaume wenye uwezo 1, 700, walikuwa wahusika wa kazi ya Yahweh na kazi ya mfalme. Walikuwa upande wa mgharibi mwa Yordani.
یریا سرپرست تمام طایفهٔ حبرون بود. در سال چهلم سلطنت داوود پادشاه، در نسب نامههای طایفۀ حبرون بررسی به عمل آمد و معلوم شد افراد کاردان این طایفه در یعزیز جلعاد میباشند. | 31 |
Kutoka uzao wa Hebroni, Yeriya alikuwa kiongozi wa uzao wake, walihesabiwa kutoka orodha za familia zao. Katika mwaka wa arobaini wa utawala wa Daudi walitathimini kumbukumbu na kugundua miongoni mwao wanaume wa uwezo katika Yazeri ya Gileadi.
پس داوود پادشاه دو هزار و هفتصد نفر از خویشاوندان یریا را که افرادی کاردان و از رؤسای خاندان بودند، انتخاب نمود تا مسئول امور مذهبی و مملکتی ناحیهٔ شرق رود اردن که قبایل رئوبین، جاد و نصف قبیله منسی در آنجا بودند، باشند. | 32 |
Yerija alikuwa na ndugu 2, 700, walio kuwa viongozi wenye uwezo katika familia. Daudi aliwafanya waangalizi wa makabila ya Rubeni na Gadi, na nusu kabila la Manase, kwa kila jambo linalo muhusu Mungu, na kwa mambo ya mfalme.