< اول تواریخ 12 >
وقتی داوود از دست شائول پادشاه خود را پنهان کرده بود، عدهای از سربازان شجاع اسرائیلی در صقلغ به او ملحق شدند. | 1 |
Hawa walikuwa wanaume walio kuja kwa Daudi huko Zikilagi, wakati akiwa bado amefukuzwa katika uwepo wa Sauli mwana wa Kishi. Walikuwa miongoni mwa wanajeshi, wasaidizi wake katika mapambano.
همهٔ اینها در تیراندازی و پرتاب سنگ با فلاخن بسیار مهارت داشتند و میتوانستند دست چپ خود را مثل دست راستشان به کار ببرند. آنها مانند شائول از قبیلهٔ بنیامین بودند. | 2 |
Walikuwa wana upinde na waliweza kutumia mkono wa kuume na wakushoto kurusha mawe na manati na kupiga mishale kutoka kwenye upinde. Walikuwa Wabenjamini, ndugu wa kabila moja na Sauli.
رئیس آنان اخیعزر پسر شماعه اهل جبعات بود. بقیهٔ افراد عبارت بودند از: یوآش (برادر اخیعزر)؛ یزیئیل و فالط (پسران عزموت)؛ براکه و ییهو اهل عناتوت؛ یشمعیا اهل جبعون (جنگجوی شجاعی که در ردیف یا برتر از آن سی سردار بود)؛ ارمیا، یحزیئیل، یوحانان و یوزاباد اهل جدیرات؛ العوزای، یریموت، بعلیا، شمریا و شفطیا اهل حروف؛ القانه، یشیا، عزرئیل، یوعزر و یشبعام از طایفۀ قورح؛ یوعیله و زبدیا (پسران یروحام) اهل جدور. | 3 |
Kiongozi alikuwa Ahi Eza, halafu Yoashi, Wana wote wa Shemaa Mgibeathi. Kulikuwa na Yezieli na Peleti, wana wa Azimavethi. Kulikuwa pia na Beraka, Yehu Waanathothi,
Ishimaia Mgibeoni, mwanajeshi kati ya wale thelathini ( na kiongozi wa wale thelathini); Yeremia, Yahazieli, Yohana, Yozabadi Wagederathi,
Eluzai, Yerimothi, Bealia, Shemaria, Shefatia Waharufi,
Wakorahi ni Elkana, Ishia, Azareli, Yoeza, Yashobeamu, na
Yoela na Zebadia, wana wa Yeroham wa Gedori.
سربازان شجاع قبیلهٔ جاد نیز نزد داوود به پناهگاه او در بیابان رفتند. ایشان در جنگیدن با نیزه و سپر بسیار ماهر بودند، دل شیر داشتند و مثل غزال کوهی چابک و تیزرو بودند. این است اسامی ایشان به ترتیب رتبه: عازر، عوبدیا، الیآب، مشمنه، ارمیا، عتای، الیئیل، یوحانان، الزاباد، ارمیا و مکبنای. | 8 |
Baadhi ya Wagadi walijiunga na Daudi katika ngome iliyo nyikani. Walikuwa wanaume wapiganaji, waliofundishwa kwa mapambano, walioweza kumudu ngao na mkuki; ambao nyuso zao zilikuwa kali kama za simba. Walikuwa wepesi kwenye milima kama swala.
Kulikuwa na Eza kiongozi, Obadia wapili, Eliabu watatu,
Mishimana wanne, Yeremia watano,
Atai wasita, Elieli wasaba,
Yohana wanane, Elizabadi watisa,
Yeremia wakumi, Makibanai wakumi na moja.
این افراد از جاد، همه سردار بودند. کم توانترین آنها ارزش صد سرباز معمولی را داشت و پرتوانترین ایشان با هزار سرباز حریف بود! | 14 |
Wana wa Gadi walikuwa viongozi wa jeshi. Wamwisho aliongoza mia moja, na mkubwa aliongoza elfu moja.
آنها در ماه اول سال، آنگاه که رود اردن طغیان میکند، از رود گذشتند و ساکنان کنارههای شرقی و غربی رود را پراکنده ساختند. | 15 |
Walikatisha Yordani kwa mwezi wa kwanza, wakati vijito vyake vilipofurika, na kuwafukuza wote wanaoishi katika mabonde, pande zote za mashariki na magharibi.
افراد دیگری نیز از قبیلههای بنیامین و یهودا نزد داوود آمدند. | 16 |
Baadhi ya wanaume wa Benjamini na Yuda walikuja kwenye ngome kwa Daudi.
داوود به استقبال ایشان رفت و گفت: «اگر به کمک من آمدهاید، دست دوستی به هم میدهیم ولی اگر آمدهاید مرا که هیچ ظلمی نکردهام به دشمنانم تسلیم کنید، خدای اجدادمان ببیند و حکم کند.» | 17 |
Daudi alienda nje kuwasalimu na kuwahutubia: “kama mmekuja kwa amani kunisaidia, mnaweza kujiunga nami. Lakini kama mmekuja kunisaliti kwa maadui zangu, Ee Mungu wa mababu zetu awaone na kuwakemea, tangu sijafanya kosa.”
سپس روح خدا بر عماسای (که بعد رهبر آن سی نفر شد) آمد و او جواب داد: «ای داوود، ما در اختیار تو هستیم. ای پسر یَسا، ما طرفدار تو میباشیم. برکت بر تو و بر تمام یارانت باد، زیرا خدایت با توست.» پس داوود آنها را پذیرفت و ایشان را فرماندهان سپاه خود کرد. | 18 |
Kisha roho ikaja juu ya Amasai, ambaye alikuwa kiongozi wa wale thelathini. Amasai alisema, “Sisi ni wako, Daudi. Sisi tupo upande wako, mwana wa Yesse. na amani iwe juu ya yeyote atakaye kusaidia. Kuwa Mungu wako anakusaidia.” Kisha Daudi akawapokea na kuwafanya wakuu wa watu wake.
بعضی از سربازان قبیلهٔ منسی به داوود که همراه فلسطینیها به جنگ شائول میرفت، ملحق شدند. (اما سرداران فلسطینی به داوود و افرادش اجازه ندادند که همراه آنها بروند. آنها پس از مشورت با یکدیگر داوود و افرادش را پس فرستادند، چون میترسیدند ایشان به شائول بپیوندند) | 19 |
Baadhi kutoka kwa Manase pia wakamwendea Daudi alipokuja na Wafilisti dhidi ya Sauli katika pambano. Lakini hawakuwasaidia Wafilisti kwasababu mabwana wa Wafilisti walishauriana na wakamfukuza Daudi. Walisema, “Atamwendea Bwana wake Sauli na kuhatarisha maisha yetu.”
وقتی داوود به صقلغ میرفت، این افراد از قبیلهٔ منسی به او پیوستند: عدناح، یوزاباد، یدیعیئیل، میکائیل، یوزاباد، الیهو و صلتای. این افراد سرداران سپاه منسی بودند. | 20 |
Alipokwenda kwa Zikilagi, wanaume wa Manase walioungana nae walikuwa Adina, Yozabadi, Yediaeli, Yozabadi, Elihu, na Zilethai, viongozi wa maelfu wa Manase.
ایشان جنگاورانی قوی و بیباک بودند و داوود را در جنگ با عمالیقیهای مهاجم کمک کردند. | 21 |
Walimsaidia Daudi kupigana na kikundi cha wezi, maana walikuwa wanaume wa mapambano. Baadae walikuwa wakuu katika jeshi.
هر روز عدهای به داوود میپیوستند تا اینکه سرانجام سپاه بزرگ و نیرومندی تشکیل شد. | 22 |
Siku hadi siku, wanaume walikuja kwa Daudi kumsaidia, mpaka wakawa jeshi kubwa, kama jeshi la Mungu.
این است تعداد افراد مسلحی که در حبرون به داوود ملحق شدند تا سلطنت شائول را به داوود واگذار کنند، درست همانطور که خداوند فرموده بود: | 23 |
Hii ni kumbukumbu ya wanajeshi wa vita, walio kuja kwa Daudi Hebroni, kuupindua ufalme wa Sauli kwake, ilikutimiza neno la Yahweh.
از قبیلهٔ یهودا ۶٬۸۰۰ نفر مجهز به نیزه و سپر؛ از قبیلهٔ شمعون ۷٬۱۰۰ مرد زبدهٔ جنگی؛ از قبیلهٔ لاوی ۴٬۶۰۰ نفر، شامل یهویاداع، سرپرست خاندان هارون با ۳٬۷۰۰ نفر و صادوق که جنگاوری جوان و بسیار شجاع بود با ۲۲ سردار؛ از قبیلهٔ بنیامین، همان قبیلهای که شائول به آن تعلق داشت، ۳٬۰۰۰ مرد که اکثر آنها تا آن موقع نسبت به شائول وفادار مانده بودند؛ از قبیلهٔ افرایم ۲۰٬۸۰۰ مرد جنگی و نیرومند که همه در طایفهٔ خود معروف بودند؛ از نصف قبیلهٔ منسی ۱۸٬۰۰۰ نفر که انتخاب شده بودند تا بیایند و داوود را برای پادشاه شدن کمک کنند؛ از قبیلهٔ یساکار ۲۰۰ سردار، با افراد زیر دست خود (این سرداران موقعیت جنگی را خوب تشخیص میدادند و میدانستند چگونه اسرائیلیها را برای جنگ بسیج کنند)؛ از قبیلهٔ زبولون ۵۰٬۰۰۰ مرد جنگی کارآزموده و مسلح که نسبت به داوود وفادار بودند؛ از قبیلهٔ نفتالی ۱٬۰۰۰ سردار و ۳۷٬۰۰۰ سرباز مجهز به نیزه و سپر؛ از قبیلهٔ دان ۲۸٬۶۰۰ سرباز آمادهٔ جنگ؛ از قبیلهٔ اشیر ۴۰٬۰۰۰ سرباز تعلیم دیده و آمادهٔ جنگ؛ از آن سوی رود اردن (محل سکونت قبایل رئوبین و جاد و نصف قبیلهٔ منسی) ۱۲۰٬۰۰۰ سرباز مجهز به انواع اسلحه؛ | 24 |
Kutoka Yuda walio beba ngao na mkuki ni 6, 800, tayari kwa vita.
Kutoka kwa Wasimeoni walikuwa 7, 100 wanaume wa mapambano.
Kutoka kwa Walawi kulikuwa na wanaume wa mapambano 4, 600.
Yehoiada alikuwa kiongozi wa uzao wa Aruni, na kwa yeye walikuwa 3, 700.
Kwa Zadoki, kijana, mwenye nguvu, na mjasiri, walikuwa viongozi ishirini na mbili kwa familia ya baba yake.
Kutoka kwa Benjamini, kabila la Sauli, walikuwa elfu tatu. Wengi wao walibaki waaminifu kwa Sauli mpaka muda huu.
Kutoka kwa Waefraimu palikuwa na wanume wa mapambano 20, 800, wanaume maharufu kwenye familia za baba zao.
Kutoka kabila nusu la Manase palikuwa na wanaume elfu kumi na nane maharufu walio kuja kufanya Daudi mfalme.
Kutoka kwa Isakari, palikuwa na viongozi mia mbili walio kuwa na ufahamu wa nyakati na walijua nini Israeli ya paswa kufanya. Ndugu zao wote walikuwa chini ya amri yao.
Kutoka Zebuloni palikuwa na wanaume elfu hamsini wa mapambano, tayari kwa vita, na silaha zote za vita, na tayari kutoa uwaminifu usio pungua.
Kutoka kwa Naftali palikuwa na askari elfu moja, na pamoja nao wanaume elfu thelathini na saba wenye ngao na mikuki.
Kutoka kwa Wadani palikuwa na wanaume 28, 600 wameandaliwa kwa ajili ya pambano.
Kutoka kwa Asheri palikuwa na wanaume elfu arobaini wameandaliwa kwa pambano.
Kutoka upande wa pili wa Yordani, kutoka kwa Warubeni, Wagadi, na nusu kabila la Manase, palikuwa na wanaume 120, 000 wameandaliwa na silaha za kila namna kwa ajili ya pambano.
تمام این جنگجویان برای یک هدف به حبرون آمدند و آن اینکه داوود را بر تمام اسرائیل پادشاه سازند. در حقیقت، تمام قوم اسرائیل با پادشاه شدن داوود موافق بودند. | 38 |
Wanajeshi hawa wote, waliandaliwa kwa pambano, kuja Hebroni kwa dhumuni maalumu la kumfanya Daudi mfalme wa Israeli yote. Israeli yote ilikubaliana na kumfanya Daudi mfalme.
این افراد جشن گرفتند و سه روز با داوود خوردند و نوشیدند. چون قبلاً خانوادههایشان برای ایشان تدارک دیده بودند. | 39 |
Walikuwa na Daudi siku tatu, kula na kunywa, kwa kuwa ndugu zao waliwapa mahitaji ya kwenda nayo.
همچنین مردم اطراف از سرزمین یساکار، زبولون و نفتالی خوراک بر پشت الاغ و شتر و قاطر و گاو گذاشته، آورده بودند. مقدار خیلی زیادی آرد، نان شیرینی، کشمش، شراب، روغن و تعداد بیشماری گاو و گوسفند برای این جشن آورده شد، زیرا در سراسر کشور شادی و سرور بود. | 40 |
Kwa kuongezea, wao walio kuwa karibu nao, kwa umbali wa Isakari na Zebuloni na Naftali, walileta mkate kwa punda, ngamia, ng'ombe, na keki, mvinyo, mafuta, ng'ombe, na kondoo, kwa kuwa Israeli walikuwa wana sherehekea