< زکریا 9 >

وحی کلام خداوند بر زمین حدراخ (نازل می شود) و دمشق محل آن می‌باشد، زیراکه نظر انسان و نظر تمامی اسباط اسرائیل بسوی خداوند است. ۱ 1
Hili ni tamko la neno la Yahwe kuhusu nchi ya Hadraki na Damesiki. Kwa maana jicho la Yahwe liko juu ya wanadamu wote, na juu ya kabila zote za Israeli pia.
و بر حمات نیز که مجاور آن است و بر صور و صیدون اگر‌چه بسیار دانشمندمی باشد. ۲ 2
Azimio hili pia linaihusu Hamathi, inayopakana na Damesiki, na linahusu Tiro na Sidoni, japokuwa ni werevu sana.
و صور برای خود ملاذی منیع ساخت و نقره را مثل غبار و طلا را مانند گل کوچه هاانباشت. ۳ 3
Tiro amejijengea ngome na kurundika fedha kama mavumbi na dhahabu safi kama matope mitaani.
اینک خداوند او را اخراج خواهد کردو قوتش را که در دریا می‌باشد، تلف خواهدساخت و خودش به آتش سوخته خواهد شد. ۴ 4
Tazama! Bwana atamnyang'anya na kuharibu nguvu zake juu ya bahari, kwa hiyo atateketezwa kwa moto.
اشقلون چون این را بیند خواهد ترسید و غزه بسیار دردناک خواهد شد و عقرون نیز زیرا که اعتماد او خجل خواهد گردید و پادشاه از غزه هلاک خواهد شد و اشقلون مسکون نخواهدگشت. ۵ 5
Ashikeloni ataona na kuogopa! Gaza pia atatemeka sana! Ekroni, tumanini lake litatikiswa! Mfalme ataangamizwa kuanzia Gaza, na Ashikeloni haitakuwa na watu tena!
و حرام زاده‌ای در اشدود جلوس خواهدنمود و حشمت فلسطینیان را منقطع خواهم ساخت. ۶ 6
Wageni watafanya makao yao katika Ashidodi, nami nitakiondoa kiburi cha Wafilisiti.
و خون او را از دهانش بیرون خواهم آورد و رجاساتش را از میان دندانهایش؛ و بقیه اونیز به جهت خدای ما خواهد بود و خودش مثل امیری در یهودا و عقرون مانند یبوسی خواهدشد. ۷ 7
Kwani nitaondoa damu yao katika vinywa vyao na machukizo yao kutoka kati ya meno yao. Ndipo watakapokuwa masalia kwa Mungu wetu kama ukoo katika Yuda, na Ekironi atakuwa kama Wayebusi.
و من گرداگرد خانه خود به ضد لشکر اردوخواهم زد تا کسی از آن عبور و مرور نکند و ظالم بار دیگر از میان آنها گذر نخواهد کرد زیرا که حال به چشمان خود مشاهده نموده‌ام. ۸ 8
Nitaweka kambi kuzunguka nchi yangu kinyume cha majeshi ya adui hata hakuna atakayeweza kupita ndani yake tena, kwani hakuna mtesaji atakayeipita tena. Kwa kuwa sasa nitaangalia nchi yangu kwa macho yangu mwenyewe!
‌ای دختر صهیون بسیار وجد بنما و ای دختر اورشلیم آواز شادمانی بده! اینک پادشاه تونزد تو می‌آید. او عادل و صاحب نجات و حلیم می‌باشد و بر الاغ و بر کره بچه الاغ سوار است. ۹ 9
Piga kelele kwa furaha, ewe binti Sayuni! Piga kelele kwa shangwe, ewe binti Yerusalem! Tazama! Mfalme wako anakuja kwako pamoja na uadilifu na anakuokoa. Ni mnyenyekevu, amepanda punda, mwanapunda.
و من ارابه را از افرایم و اسب را از اورشلیم منقطع خواهم ساخت و کمان جنگی شکسته خواهد شد و او با امت‌ها به سلامتی تکلم خواهدنمود و سلطنت او از دریا تا دریا و از نهر تا اقصای زمین خواهد بود. ۱۰ 10
Ndipo nitakapoondoa kibandawazi kutoka Efraimu na farasi kutoka Yerusalemu, na upinde utaondolewa katika vita; kwani atasema amani kwa mataifa, na utawala wake utakuwa kutoka bahari hata bahari, na kutoka katika mto hadi miisho ya dunia!
و اما من اسیران تو را نیز به واسطه خون عهد تو از چاهی که در آن آب نیست رها کردم. ۱۱ 11
Lakini kwenu, kwa sababu ya damu ya agano langu nanyi, nitawaweka wafungwa wenu huru kutoka shimoni pasipo na maji.
‌ای اسیران امید، به ملاذ منیع مراجعت نمایید. امروز نیز خبر می‌دهم که به شما(نصیب ) مضاعف رد خواهم نمود. ۱۲ 12
Rudini ngomeni, wafungwa wa matumaini! Hata leo natamka kwamba nitawarudishia mara mbili, kwani nimempinda Yuda kama upinde wangu.
زیرا که یهودا را برای خود زه خواهم کرد و افرایم راتیرکمان خواهم ساخت و پسران تو را‌ای صهیون به ضد پسران تو‌ای یاوان خواهم برانگیخت و تورا مثل شمشیر جبار خواهم گردانید. ۱۳ 13
Hata nimelijaza podo langu pamoja na Efraimu. Nimewainua wana wenu, Sayuni, kinyume cha wana wenu, Ugiriki, na amekufanya wewe, Sayuni, kama upanga wa shujaa!
و خداوند بالای ایشان ظاهر خواهد شد وتیر او مانند برق خواهد جست و خداوند یهوه کرنا را نواخته، بر گردبادهای جنوبی خواهدتاخت. ۱۴ 14
Yahwe atawatokea, na mishale yake itapiga kama radi! Kwa maana Yahwe Bwana wangu atapiga tarumbeta naye ataendelea pamoja na dhoruba kutoka Temani.
یهوه صبایوت ایشان را حمایت خواهد کرد و ایشان غذا خورده، سنگهای فلاخن را پایمال خواهند کردو نوشیده، مثل از شراب نعره خواهند زد و مثل جامها و مانند گوشه های مذبح پر خواهند شد. ۱۵ 15
Yahwe wa majeshi atawatetea, nao watawararua na kuyashinda mawe ya kombeo. Ndipo watakapo kunywa na kupiga kelele kama mtu aliyelewa kwa mvunyo, nao watajazwa na mvinyo kama mabakuri, kama pembe za madhabahu.
و یهوه خدای ایشان ایشان را در آن روز مثل گوسفندان قوم خودخواهد رهانید زیرا که مانند جواهر تاج بر زمین اوخواهند درخشید. ۱۶ 16
Hivyo Yahwe Mungu wao atawaokoa siku hiyo; watakuwa kama kundi la kondoo lililo na watu wake, kwani watakuwa mapambo ya taji, yaliyoinuliwa juu ya nchi yake.
زیرا که حسن و زیبایی اوچه قدر عظیم است. گندم جوانان را و عصیر انگور دوشیزگان را خرم خواهد ساخت. ۱۷ 17
Jinsi gani watakavyokuwa wazuri na warembo! vijana watastawi juu ya nafaka na bikra juu ya divai tamu!

< زکریا 9 >