< روت 1 >

و واقع شد در ایام حکومت داوران که قحطی در زمین پیدا شد، و مردی ازبیت لحم یهودا رفت تا در بلاد موآب ساکن شود، او و زنش و دو پسرش. ۱ 1
Ilitokea katika siku za utawala wa majaji kuwa kulikuwa na njaa katika nchi, na mtu mmoja wa Bethelehemu ya Yuda alikwenda katika nchi ya Moabu pamoja na mke wake na watoto wake walili wa kiume.
و اسم آن مرد الیملک بود، و اسم زنش نعومی، و پسرانش به محلون وکلیون مسمی و افراتیان بیت لحم یهودا بودند. پس به بلاد موآب رسیده، در آنجا ماندند. ۲ 2
Jina la mtu huyo lilikuwa Elimeleki, na jina la mke wake lilikuwa Naomi. Majina ya watoto wake wawili wa kiume waliitwa Mahiloni na Kileoni, ambao walikuwa Waefraimu wa Betherehemu ya Yuda. Waliwasili katika nchi ya Moabu na kuishi hapo.
والیملک شوهر نعومی، مرد و او با دو پسرش باقی ماند. ۳ 3
Ndipo Elimeleki, mume wa Naomi, alikufa, na Naomi aliachwa na watoto wake wa kiume wawili.
و ایشان از زنان موآب برای خود زن گرفتند که نام یکی عرفه و نام دیگری روت بود، ودر آنجا قریب به ده سال توقف نمودند. ۴ 4
Watoto hawa walioa wanawake wa Moabu; jina la mmoja lilikuwa Oripa, na jina la mwingine lilikuwa Ruth. waliishi huko kwa takribani miaka kumi.
و هردوی ایشان محلون و کلیون نیز مردند، و آن زن ازدو پسر و شوهر خود محروم ماند. ۵ 5
Kisha wote Mahiloni na Kileoni walikufa, na kumuacha Naomi bila mme wake na bila watoto wake wawili.
پس او با دو عروس خود برخاست تا از بلادموآب برگردد، زیرا که در بلاد موآب شنیده بودکه خداوند از قوم خود تفقد نموده، نان به ایشان داده است. ۶ 6
Ndipo Naomi aliamua kuondoka Moabu pamoja na wake wa watoto wake na kurudi Yuda kwa sababu alikuwa amesikia katika mkoa wa Moabu kuwa Yahweh amewasaidia watu wake katika uhitaji na amewapa chakula.
و از مکانی که در آن ساکن بود بیرون آمد، و دو عروسش همراه وی بودند، و به راه روانه شدند تا به زمین یهودا مراجعت کنند. ۷ 7
Hivyo aliondoka sehemu aliyokuwa pamoja na wake wa watoto wake wawili, walitelemka njia kurudi kwenye nchi ya Yuda.
ونعومی به دو عروس خود گفت: «بروید و هر یکی از شما به خانه مادر خود برگردید، و خداوند برشما احسان کناد، چنانکه شما به مردگان و به من کردید. ۸ 8
Naomi aliwaambia wake wa watoto wake, “Nendeni, mrudi, kila mmoja wenu, kwenye nyumba ya mama yake. na Mungu aonyeshe wema juu yenu, kama mlivyo onyesha wema kwao waliokufa na kwangu.
و خداوند به شما عطا کناد که هر یکی ازشما در خانه شوهر خود راحت یابید.» پس ایشان را بوسید و آواز خود را بلند کرده، گریستند. ۹ 9
Mungu awajalie ninyi kupata pumziko, kila mmoja wenu katika nyumba ya mme mwingine.” Kisha akawabusu, na wakapaza sauti zao na kulia.
وبه او گفتند: «نی بلکه همراه تو نزد قوم تو خواهیم برگشت.» ۱۰ 10
Wakamwambia, “Hapana! tutarudi pamoja na wewe kwa watu wako.”
نعومی گفت: «ای دخترانم برگردید، چرا همراه من بیایید؟ آیا در رحم من هنوز پسران هستند که برای شما شوهر باشند؟ ۱۱ 11
Lakini Naomi alisema, “Rudini, wanangu! Kwa nini mtakwenda na mimi? Kwani bado nina watoto katika tumbo langu kwa ajili yenu, ili kwamba waje wawe waume zenu?
‌ای دخترانم برگشته، راه خود را پیش گیرید زیرا که برای شوهر گرفتن زیاده پیر هستم، و اگر گویم که امید دارم و امشب نیز به شوهر داده شوم وپسران هم بزایم، ۱۲ 12
Rudini, wanangu, nendeni katika njia zenu wenyewe, kwa kuwa mimi ni mzee sana kuwa na mme. Kama nikisema, 'Natumaini nipate mume usiku huu,' na kisha kuzaa watoto wakiume, kwa hiyo mnaweza kusubiri mpaka wakue?
آیا تا بالغ شدن ایشان صبر خواهیدکرد، و به‌خاطر ایشان، خود را از شوهر گرفتن محروم خواهید داشت؟ نی‌ای دخترانم زیرا که جانم برای شما بسیار تلخ شده است چونکه دست خداوند بر من دراز شده است.» ۱۳ 13
Mtasubiri na msiolewe sasa? Hapana, wanangu! Ina nihuzunisha zaidi, kuliko inavyo wahuzunisha ninyi, kwa sababu mkono wa Yahweh umeenda kinyume na mimi.”
پس بار دیگر آواز خود را بلند کرده، گریستند و عرفه مادر شوهر خود را بوسید، اماروت به وی چسبید. ۱۴ 14
Ndipo wake wa watoto wake wakapaza sauti zao na kulia tena. Oripa alimuaga kwa kumbusu, lakini Ruth aliendelea kubaki naye.
و او گفت: «اینک زن برادر شوهرت نزد قوم خود و خدایان خویش برگشته است تو نیز در عقب زن برادر شوهرت برگرد.» ۱۵ 15
Naomi alisema, “sikiliza, mwenzako amerudi kwa watu wake na miungu yake. Ruri pamoja naye.”
روت گفت: «بر من اصرار مکن که تو راترک کنم و از نزد تو برگردم، زیرا هر جایی که روی می‌آیم و هر جایی که منزل کنی، منزل می‌کنم، قوم تو قوم من و خدای تو خدای من خواهد بود. ۱۶ 16
lakini Ruth alisema, “Usiniache niondoke mbali nawe, kwa kuwa uendako, nitakwenda, utakapoishi, nitaishi; watu wako watakuwa watu wangu, na Mungu wako atakuwa Mungu wangu.
جایی که بمیری، می‌میرم و درآنجا دفن خواهم شد. خداوند به من چنین بلکه زیاده بر این کند اگر چیزی غیر از موت، مرا از توجدا نماید.» ۱۷ 17
Mahali utakapofia, nitafia hapo, na hapo nitazikwa. Yahweh aniwezeshe, na hata zaidi, ikiwa kuna chochote isipokuwa kifo kamwe hakiwezi kututenganisha.
پس چون دید که او برای رفتن همراهش مصمم شده است از سخن‌گفتن با وی باز ایستاد. ۱۸ 18
Naomi alipoona kuwa Ruth alikuwa ameamua kwenda naye, aliacha kubishana naye.
و ایشان هر دو روانه شدند تا به بیت لحم رسیدند، و چون وارد بیت لحم گردیدند، تمامی شهر بر ایشان به حرکت آمده، زنان گفتند که آیا این نعومی است؟ ۱۹ 19
Hivyo wote wawili walisafiri mpaka walipofika mjini Bethelehemu. Kwa hiyo walipofika Bethlehemu, mji wote uliwafurahia, wanawake walisema, “Huyu ni Naomi?”
او به ایشان گفت: «مرا نعومی مخوانید بلکه مرا مره بخوانید زیرا قادر مطلق به من مرارت سخت رسانیده است. ۲۰ 20
Lakini aliwaambia, “Msiniite Naomi. Niiteni Mchungu, kwa kuwa Mwenyezi Mungu amenitenda mambo machungu sana.
من پر بیرون رفتم و خداوند مرا خالی برگردانید پس برای چه مرا نعومی می‌خوانید چونکه خداوند مرا ذلیل ساخته است و قادرمطلق به من بدی رسانیده است.» ۲۱ 21
Nilikwenda nikiwa nimejaa, lakini Yahweh kanirudisha nyumbani nikiwa sina wote. Hivyo kwa nini mnaniita Naomi, wakati mnaona Yahweh amenihukumu, kuwa Mwenyezi Mungu amenitaabisha?”
و نعومی مراجعت کرد و عروسش روت موآبیه که از بلاد موآب برگشته بود، همراه وی آمد، و در ابتدای درویدن جو وارد بیت لحم شدند. ۲۲ 22
Kwa hivyo Naomi na Ruth Mmoabu, mke wa mtoto wake, walirudi kutoka nchi ya Moabu. walirudi Bethrehemu mwazo wa mavuno ya shairi.

< روت 1 >