< مزامیر 42 >

برای سالار مغنیان. قصیده بنی قورح چنانکه آهو برای نهرهای آب شدت اشتیاق دارد، همچنان‌ای خدا جان من اشتیاق شدید برای تو دارد. ۱ 1
Kwa mwimbishaji. Utenzi wa wana wa Kora. Kama vile ayala aoneavyo shauku vijito vya maji, ndivyo nafsi yangu ikuoneavyo shauku, Ee Mungu.
جان من تشنه خداست تشنه خدای حی، که کی بیایم و به حضور خدا حاضر شوم. ۲ 2
Nafsi yangu inamwonea Mungu kiu, Mungu aliye hai. Ni lini nitaweza kwenda kukutana na Mungu?
اشکهایم روز و شب نان من می‌بود، چون تمامی روز مرا می‌گفتند: «خدای تو کجاست؟» ۳ 3
Machozi yangu yamekuwa chakula changu usiku na mchana, huku watu wakiniambia mchana kutwa, “Yuko wapi Mungu wako?”
چون این را بیاد می‌آورم جان خود را بر خود می‌ریزم. چگونه با جماعت می‌رفتم و ایشان را به خانه خدا پیشروی می‌کردم، به آواز ترنم و تسبیح در گروه عیدکنندگان. ۴ 4
Mambo haya nayakumbuka ninapoimimina nafsi yangu: Jinsi nilivyokuwa nikienda na umati wa watu, nikiongoza maandamano kuelekea kwenye nyumba ya Mungu, kwa kelele za shangwe na za shukrani katikati ya umati uliosherehekea.
‌ای جانم چرا منحنی شده‌ای و چرا درمن پریشان گشته‌ای؟ بر خدا امید دار زیرا که او رابرای نجات روی او باز حمد خواهم گفت. ۵ 5
Ee nafsi yangu, kwa nini unasononeka? Kwa nini unafadhaika hivyo ndani yangu? Weka tumaini lako kwa Mungu, kwa sababu bado nitamsifu, Mwokozi wangu na
‌ای خدای من، جانم در من منحنی شد. بنابراین تو را از زمین اردن یاد خواهم کرد، ازکوههای حرمون و از جبل مصغر. ۶ 6
Mungu wangu. Nafsi yangu inasononeka ndani yangu; kwa hiyo nitakukumbuka kutoka nchi ya Yordani, katika vilele vya Hermoni, kutoka Mlima Mizari.
لجه به لجه ندا می‌دهد از آواز آبشارهای تو جمیع خیزابها وموجهای تو بر من گذشته است. ۷ 7
Kilindi huita kilindi, katika ngurumo za maporomoko ya maji yako; mawimbi yako yote pamoja na viwimbi vimepita juu yangu.
در روز خداوندرحمت خود را خواهد فرمود. و در شب سرود اوبا من خواهد بود و دعا نزد خدای حیات من. ۸ 8
Mchana Bwana huelekeza upendo wake, usiku wimbo wake uko nami: maombi kwa Mungu wa uzima wangu.
به خدا گفته‌ام: «ای صخره من چرا مرا فراموش کرده‌ای؟» چرا به‌سبب ظلم دشمن ماتم‌کنان ترددبکنم؟ ۹ 9
Ninamwambia Mungu Mwamba wangu, “Kwa nini umenisahau? Kwa nini niendelee kuomboleza, nikiwa nimeonewa na adui?”
دشمنانم به کوبیدگی در استخوانهایم مرا ملامت می‌کنند، چونکه همه روزه مرامی گویند: «خدای تو کجاست؟» ۱۰ 10
Mifupa yangu inateseka kwa maumivu makali adui zangu wanaponidhihaki, wakiniambia mchana kutwa, “Yuko wapi Mungu wako?”
‌ای جان من چرا منحنی شده و چرا در من پریشان گشته‌ای؟ بر خدا امید دار زیرا که او را باز حمد خواهم گفت، که نجات روی من و خدای من است. ۱۱ 11
Ee nafsi yangu, kwa nini unasononeka? Kwa nini unafadhaika hivyo ndani yangu? Weka tumaini lako kwa Mungu, kwa sababu bado nitamsifu, Mwokozi wangu na Mungu wangu.

< مزامیر 42 >