< امثال 16 >

تدبیرهای دل از آن انسان است، اماتنطق زبان از جانب خداوند می‌باشد. ۱ 1
Mipango ya moyo ni ya mtu, bali Yehova hutoa jawabu kutoka kwenye ulimi wake.
همه راههای انسان در نظر خودش پاک است، اما خداوند روحها را ثابت می‌سازد. ۲ 2
Njia zote za mtu ni safi kwenye macho yake mwenyewe, bali Yehova huipima mioyo.
اعمال خود را به خداوند تفویض کن، تافکرهای تو استوار شود. ۳ 3
Kabidhi kwa Yehova kazi zako zote na mipango yako itafanikiwa.
خداوند هر چیز را برای غایت آن ساخته است، و شریران را نیز برای روز بلا. ۴ 4
Yehova alifanya kila kitu kwa kusudi lake, hata waovu kwa ajili ya siku ya taabu.
هر‌که دل مغرور دارد نزد خداوند مکروه است، و او هرگز مبرا نخواهد شد. ۵ 5
Yehova anamchukia kila mtu mwenye moyo wa majivuno, ingawa wanasimama imara, hawakosi kupata adhabu.
از رحمت و راستی، گناه کفاره می‌شود، و به ترس خداوند، از بدی اجتناب می‌شود. ۶ 6
Kwa agano la uaminifu na udhamini uovu husafishwa na kwa kumcha Yehova watu hujitenga na ubaya.
چون راههای شخص پسندیده خداوندباشد، دشمنانش را نیز با وی به مصالحه می‌آورد. ۷ 7
Njia za mtu zinapompendeza Yehova, huwafanya hata adui zake huyo mtu wawe na amani naye.
اموال اندک که با انصاف باشد بهتر است، ازدخل فراوان بدون انصاف. ۸ 8
Bora kitu kidogo pamoja na haki, kuliko mapato makubwa pamoja na udhalimu.
دل انسان در طریقش تفکر می‌کند، اماخداوند قدمهایش را استوار می‌سازد. ۹ 9
Katika moyo wake mtu hunuia njia yake, bali Yehova huziongoza hatua zake.
وحی بر لبهای پادشاه است، و دهان او درداوری تجاوز نمی نماید. ۱۰ 10
Mshauri yupo katika midimo ya mfalme, katika hukumu kinywa chake hakisemi kwa udanganyifu.
ترازو و سنگهای راست از آن خداونداست و تمامی سنگهای کیسه صنعت وی می‌باشد. ۱۱ 11
Vipimo vya kweli hutoka kwa Yehova; uzito wote kwenye gunia ni kazi yake.
عمل بد نزد پادشاهان مکروه است، زیرا که کرسی ایشان از عدالت برقرار می‌ماند. ۱۲ 12
Wafalme wanapofanya mambo maovu, hicho ni kitu cha kudharauliwa, kwa maana utawala huimarishwa kwa kutenda haki.
لبهای راستگو پسندیده پادشاهان است، وراستگویان را دوست می‌دارند. ۱۳ 13
Mfalme hufurahia midomo ambayo husema haki na anampenda mwenye kusema waziwazi.
غضب پادشاهان، رسولان موت است امامرد حکیم آن را فرو می‌نشاند. ۱۴ 14
Hasira ya mfalme ni mjumbe wa mauti lakini mtu mwenye busara atajaribu kutuliza hasira yake.
در نور چهره پادشاه حیات‌است، ورضامندی او مثل ابر نوبهاری است. ۱۵ 15
Katika nuru ya uso wa mfalme ni uzima na fadhila yake ni kama wingu linaloleta mvua ya masika.
تحصیل حکمت از زر خالص چه بسیاربهتر است، و تحصیل فهم از نقره برگزیده تر. ۱۶ 16
Ni bora kiasi gani kupata hekima kuliko dhahabu. Kuchagua kupata ufahamu ni zaidi kuliko fedha.
طریق راستان، اجتناب نمودن از بدی است، و هر‌که راه خود را نگاه دارد جان خویش را محافظت می‌نماید. ۱۷ 17
Njia kuu ya watu waadilifu hujitenga na ubaya; mwenye kuyahifadhi maisha yake huilinda njia yake.
تکبر پیش رو هلاکت است، و دل مغرورپیش رو خرابی. ۱۸ 18
Kiburi hutangulia kabla ya uharibifu na moyo wa kujivuna kabla ya maangamizi.
با تواضع نزد حلیمان بودن بهتر است، ازتقسیم نمودن غنیمت با متکبران. ۱۹ 19
Ni bora kunyenyekea miongoni mwa watu masikini kuliko kugawana ngawira pamoja watu wenye kiburi.
هر‌که در کلام تعقل کند سعادتمندی خواهد یافت، و هر‌که به خداوند توکل نمایدخوشابحال او. ۲۰ 20
Mwenye kutafakari yaliyofundishwa hupata kilicho chema na wenye kumtumaini Yehova watafurahi.
هر‌که دل حکیم دارد فهیم خوانده می‌شود، و شیرینی لبها علم را می‌افزاید. ۲۱ 21
Mwenye hekima moyoni anaitwa ufuhamu na utamu wa hotuba huongeza uwezo wa kufundisha.
عقل برای صاحبش چشمه حیات‌است، اما تادیب احمقان، حماقت است. ۲۲ 22
Ufahamu ni chemchemi ya uzima kwake ambaye nayo, bali adhabu ya wapumbavu ni upumbavu wao.
دل مرد حکیم دهان او را عاقل می‌گرداند، و علم را بر لبهایش می‌افزاید. ۲۳ 23
Moyo wa mtu mwenye hekima hutoa busara katika kinywa chake na huongeza ushawishi katika midomo yake.
سخنان پسندیده مثل‌شان عسل است، برای جان شیرین است و برای استخوانهاشفادهنده. ۲۴ 24
Maneno yenye kufaa ni sega la asali -matamu kwenye nafsi na huponya mifupa.
راهی هست که در نظر انسان راست است، اما عاقبت آن راه، موت می‌باشد. ۲۵ 25
Kuna njia ambayo huonekana sawa kwa mtu, bali mwisho wake ni njia ya mauti.
اشتهای کارگر برایش کار می‌کند، زیرا که دهانش او را بر آن تحریض می‌نماید. ۲۶ 26
Hamu ya kibarua humfanyia kazi; njaa yake humsihi kuendelea.
مرد لئیم شرارت را می‌اندیشد، و برلبهایش مثل آتش سوزنده است. ۲۷ 27
Mtu duni huchimba madhara na usemi wake ni kama moto unaounguza.
مرد دروغگو نزاع می‌پاشد، و نمام دوستان خالص را از همدیگر جدا می‌کند. ۲۸ 28
Mtu mkaidi huchochea mafarakano na umbeya huwafarakanisha marafiki.
مرد ظالم همسایه خود را اغوا می‌نماید، واو را به راه غیر نیکو هدایت می‌کند. ۲۹ 29
Mtu wa vurugu humdanganya jirani yake na kumwongoza kwenye mapito ambayo si mema.
چشمان خود را بر هم می‌زند تا دروغ رااختراع نماید، و لبهایش را می‌خاید و بدی را به انجام می‌رساند. ۳۰ 30
Yule anayekonyeza kwa jicho anapanga njama za mambo ya ukaidi; wenye kuandama midomo yao watapitisha mabaya.
سفیدمویی تاج جمال است، هنگامی که درراه عدالت یافت شود. ۳۱ 31
Mvi ni taji ya utukufu; hupatikana kwa kuishi katika njia ya haki.
کسی‌که دیرغضب باشد از جبار بهتر است، و هر‌که بر روح خود مالک باشد از تسخیرکننده شهر افضل است. ۳۲ 32
Ni bora kukawia kuwa na hasira kuliko kuwa shujaa na mwenye kutawala roho yake ni imara zaidi kuliko yule anayeuteka mji.
قرعه در دامن‌انداخته می‌شود، لیکن تمامی حکم آن از خداوند است. ۳۳ 33
Kura hurushwa kwenye mkunjo, bali maamuzi hutoka kwa Yehova.

< امثال 16 >