< اعداد 1 >
و در روز اول ماه دوم از سال دوم از بیرون آمدن ایشان از زمین مصر، خداوند دربیابان سینا در خیمه اجتماع موسی را خطاب کرده، گفت: | ۱ 1 |
Mungu alimwambia Musa katika hema ya kukutania walipokuwa katika jangwa la Sinai. Hii ilitokea katika siku ya kwanza ya mwezi wa pili miaka miwili baadaya Waisraeli kutoka nchi ya Misri. Mungu alisema,
«حساب تمامی جماعت بنیاسرائیل را برحسب قبایل و خاندان آبای ایشان، به شماره اسم های همه ذکوران موافق سرهای ایشان بگیرید. | ۲ 2 |
'fanya sensa ya wanaume wote wa Israel kutoka kila ukoo, katika familia za baba zao. Wahesabu kwa majina, wahesabu kila mume, kila mwanamume
از بیست ساله و زیاده، هرکه از اسرائیل به جنگ بیرون میرود، تو وهارون ایشان را برحسب افواج ایشان بشمارید. | ۳ 3 |
kuanzia umri a miaka ishirini na zaidi. Uwahesabu wote wanaoweza kupigana kama askari wa Israel. Wewe na Haruni mtaandika idadi ya wanaume katika makundi ya majeshi yao.
و همراه شما یک نفر از هر سبط باشد که هر یک رئیس خاندان آبایش باشد. | ۴ 4 |
Kila mwanamume kwa kila kabila, kichwa cha ukoo, lazima atumike na wewe kama kiongozi wa kabila.
و اسم های کسانی که با شما باید بایستند، این است: از روبین، الیصوربن شدیئور. | ۵ 5 |
Haya ndiyo majina ya viongozi ambao watapigana pamoja na wewe: Kutoka kabila la Reubeni, Elizuri mwana wa Shedeuri;
و از شمعون، شلومیئیل بن صوریشدای. | ۶ 6 |
kutoka kabila la Simeoni, Shelumiel mwana wa Zurishadai
و از یهودا، نحشون بن عمیناداب. | ۷ 7 |
Kutoka kabila la Yuda, Nashoni mwana wa Aminadabu;
و از یساکار، نتنائیل بن صوغر. | ۸ 8 |
Ktoka kabila la Isakari, Nethaneli mwana wa Zuari;
و از زبولون، الیاب بن حیلون. | ۹ 9 |
kutoka kabila Zebuluni, Eliabu mwana wa Heloni
و از بنی یوسف: از افرایم، الیشمع بن عمیهود. و از منسی، جملیئیل بن فدهصور. | ۱۰ 10 |
kutoka kabila la Efraimu mwana wa Yusufu, Elishama mwana wa Ammihudi; kutoka kabila la Manase, Gamaliel mwan wa Pedazuri;
از بنیامین، ابیدان بن جدعونی. | ۱۱ 11 |
kutoka kabila la Benjamini mwana wa Ysufu, Abidani mwan wa Gidion;
و از دان، اخیعزر بن عمیشدای. | ۱۲ 12 |
Kutoka kabila la Dan, Ahizeri mwana wa Amishadai;
و از اشیر، فجعیئیل بن عکران. | ۱۳ 13 |
kutoka kabila Asheri, Pagieli mwana wa Okirani;
و از جاد، الیاساف بن دعوئیل. | ۱۴ 14 |
kutoka kabila la Gadi, Eliasafu mwana wa Deuli;
و از نفتالی، اخیرع بن عینان.» | ۱۵ 15 |
na kutoka kabila la Naftali, Ahira mwana wa Enani.”
اینانند دعوتشدگان جماعت و سروران اسباط آبای ایشان، و روسای هزاره های اسرائیل. | ۱۶ 16 |
Hawa ndio wanaume waliochaguliwa kutoka kwa watu. Waliongoza kabila za mababu zao. Walikuwa viongozi wa koo katika Israel.
و موسی و هارون این کسان را که به نام، معین شدند، گرفتند. | ۱۷ 17 |
Musa na Haruni wakawachukua wale wanaume, waliokuwa wameandikwa kwa majina,
و در روز اول ماه دوم، تمامی جماعت را جمع کرده، نسب نامه های ایشان را برحسب قبایل و خاندان آبای ایشان، به شماره اسمها از بیست ساله و بالاتر موافق سرهای ایشان خواندند. | ۱۸ 18 |
na pamoja na wanaume hao waliwakusanya wanume wote katika siku ya kwanza ya mwezi wa pili. Kisha kila mwanume wa miaka ishirini na zaidi alitambua babu zake. Alitakiwa kutaja koo na famila kutoka katika ukoo.
چنانکه خداوندموسی را امر فرموده بود، ایشان را در بیابان سینابشمرد. | ۱۹ 19 |
Kisha Musa akaandika hesabu yao huko katika nyika ya Sinai, Kama Mungu alivyokuwa amemwamuru kufanya.
و اما انساب بنی روبین نخست زاده اسرائیل، برحسب قبایل و خاندان آبای ایشان، موافق نامها و سرهای ایشان این بود: هر ذکور ازبیست ساله و بالاتر، جمیع کسانی که برای جنگ بیرون میرفتند. | ۲۰ 20 |
Kutoka uzao wa Reubeni, mtoto wa kwanza wa Israel, yalihesabiwa majina yote ya kila mwanamume mwenye umri wa miaka ishirini na zaidi wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka hesabu ya ukoo na familia.
شمرده شدگان ایشان از سبطروبین، چهل و شش هزار و پانصد نفر بودند. | ۲۱ 21 |
Waliwahesabu wanaume 46, 000 kutoka ukoo wa Reubeni.
و انساب بنی شمعون برحسب قبایل وخاندان آبای ایشان، کسانی که از ایشان شمرده شدند، موافق شماره اسمها و سرهای ایشان این بود: هر ذکور از بیست ساله و بالاتر، هرکه برای جنگ بیرون میرفت. | ۲۲ 22 |
Kutoka uzao wa Simeoni yalihesabiwa majina yote ya kila mwanamume mwenye umri wa miaka ishirini na zaidi au wenye uwezo wa kwenda vitani, kutokana na hesabu ya ukoo na familia.
شمرده شدگان ایشان ازسبط شمعون، پنجاه و نه هزار و سیصد نفر بودند. | ۲۳ 23 |
Walihesabu wanaume 59, 300 kutoka kabila la Simeoni.
و انساب بنی جاد برحسب قبایل و خاندان آبای ایشان، موافق شماره اسمها، از بیست ساله وبالاتر، هرکه برای جنگ بیرون میرفت. | ۲۴ 24 |
Kutoka uzao wa Gadi yalihesabiwa majina yote ya kila mwanamume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
شمرده شدگان ایشان از سبط جاد، چهل و پنج هزار و ششصد و پنجاه نفر بودند. | ۲۵ 25 |
Walihesabu wanaume 45, 650 kutoka kabila la Gadi.
و انساب بنی یهودا برحسب قبایل وخاندان آبای ایشان، موافق شماره اسمها ازبیست ساله و بالاتر، هرکه برای جنگ بیرون میرفت. | ۲۶ 26 |
Kutoka uzao wa Yuda yalihesabiwa majina yote ya wanaume wenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
شمرده شدگان ایشان از سبط یهودا، هفتاد و چهار هزار و شش صد نفر بودند. | ۲۷ 27 |
walihesabiwa wanume 74, 000 kutoka kabila la Yuda.
و انساب بنی یساکار برحسب قبایل وخاندان آبای ایشان، موافق شماره اسمها ازبیست ساله و بالاتر، هرکه برای جنگ بیرون میرفت. | ۲۸ 28 |
Kutoka uzao wa Isakari yalihesabiwa majina yote ya kila mwanamume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
شمرده شدگان ایشان از سبط یساکار، پنجاه و چهار هزار و چهارصد نفر بودند. | ۲۹ 29 |
Walihesabiwa wanaume 54, 000 kutoka kabila la Isakari.
و انساب بنی زبولون برحسب قبایل وخاندان آبای ایشان، موافق شماره اسمها ازبیست ساله و بالاتر، هرکه برای جنگ بیرون میرفت. | ۳۰ 30 |
Kutoka uzao wa Zabuloni yalihesabiwa majina yote ya kila mwanamume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
شمرده شدگان ایشان از سبط زبولون پنجاه و هفت هزار و چهارصد نفر بودند. | ۳۱ 31 |
Walihesabiwa wanume 57, 400 kutoka kabila la Zabuloni.
و انساب بنی یوسف از بنی افرایم برحسب قبایل و خاندان آبای ایشان، موافق شماره اسم هااز بیست ساله و بالاتر، هرکه برای جنگ بیرون میرفت. | ۳۲ 32 |
Kutoka uzao wa Efraimu mwana wa Yusufu yalihesabiwa majina yote ya kila mwanaume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
شمرده شدگان ایشان از سبط افرایم، چهل هزار و پانصد نفر بودند. | ۳۳ 33 |
Walihesabiwa wanaume 40, 500 kutoka kabila la Efraimu.
و انساب بنی منسی برحسب قبایل وخاندان آبای ایشان، موافق شماره اسمها، ازبیست ساله و بالاتر، هرکه برای جنگ بیرون میرفت. | ۳۴ 34 |
Kutoka uzao wa Manase mwana wa Yusufu yaliheabiwa majina yote ya kila mwanaume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu y a ukoo na familia.
شمرده شدگان ایشان از سبط منسی، سی و دو هزار و دویست نفر بودند. | ۳۵ 35 |
Walihesabiwa wanaume 32, 000 kutoka kabila la Manase.
و انساب بنی بنیامین برحسب قبایل وخاندان آبای ایشان، موافق شماره اسمها، ازبیست ساله بالاتر، هرکه برای جنگ بیرون میرفت. | ۳۶ 36 |
Kutoka uzao wa Benjamini yalihesabiwa majina yote ya kila mwanaume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
شمرده شدگان ایشان از سبط بنیامین، سی و پنج هزار و چهارصد نفر بودند. | ۳۷ 37 |
Walihesabiwa wanaume 35, 000 kutoka kabila la Benjamini.
و انساب بنی دان برحسب قبایل و خاندان آبای ایشان، موافق شماره اسمها از بیست ساله وبالاتر، هرکه برای جنگ میرفت. | ۳۸ 38 |
Kutoka uzao wa Dani yalihesabiwa majina yote ya kila mwanaume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na mwenye uwezo wa kwenda vitani, Kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
شمرده شدگان ایشان از سبط دان، شصت و دو هزار و هفتصد نفر بودند. | ۳۹ 39 |
Walihesabiwa wanaume 62, 000 kutoka kabila la Dani.
و انساب بنی اشیر برحسب قبایل و خاندان آبای ایشان، موافق شماره اسمها از بیست ساله وبالاتر، هرکه برای جنگ بیرون میرفت. | ۴۰ 40 |
Kutoka uzao wa Asheri yalihesabiwa majina yote ya kila mwanume mwenye umri wa miaka ishirini au zadi na mwenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu y a ukoo na familia.
شمرده شدگان ایشان از سبط اشیر، چهل ویک هزار و پانصد نفر بودند. | ۴۱ 41 |
Walihesabiwa wanaume 41, 500 kutoka ukoo wa Asheri.
و انساب بنی نفتالی برحسب قبایل وخاندان آبای ایشان، موافق شماره اسمها ازبیست ساله و بالاتر، هرکه برای جنگ بیرون میرفت. | ۴۲ 42 |
Kutoka ukoo wa Naftali yalihesabiwa majina yote ya kila mwanaume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na mwenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
شمرده شدگان ایشان از سبط نفتالی، پنجاه و سه هزار و پانصد نفر بودند. | ۴۳ 43 |
Walihesabiwa wanaume 53, 400 kutoka kabila la Naftari
اینانند شمرده شدگانی که موسی و هارون با دوازده نفر از سروران اسرائیل، که یک نفر برای هر خاندان آبای ایشان بود، شمردند. | ۴۴ 44 |
Musa na Haruni waliwahesabu wanaume wote hawa, pamoja na wale wanaume kumi na wawili waliokuwa wakiongoza yale makabila kumi na mawili ya Israeli.
و تمامی شمرده شدگان بنیاسرائیل برحسب خاندان آبای ایشان، از بیست ساله و بالاتر، هر کس از اسرائیل که برای جنگ بیرون میرفت. | ۴۵ 45 |
Kwa hiyo wanaume wote wa Israeli wenye umri wa miak ishirini au zaidi, wote wenye uwezo wa kwenda vitani, walihesabiwa kutoka kwenye familia zao.
همه شمرده شدگان، ششصد و سه هزار و پانصد وپنجاه نفر بودند. | ۴۶ 46 |
Walihesabu wanaume 603, 550.
اما لاویان برحسب سبط آبای ایشان در میان آنها شمرده نشدند. | ۴۷ 47 |
Lakini wanaume toka uzao wa Lawi hawakuhesabiwa,
زیرا خداوند موسی را خطاب کرده، گفت: | ۴۸ 48 |
Kwa sababu BWANA alimwambia Musa,
«اما سبط لاوی را مشمار و حساب ایشان را درمیان بنیاسرائیل مگیر. | ۴۹ 49 |
“usiwahesabu wale wa kabila la Lawi wala kuwajumuisha kwenye jumla ya watu wa Israeli.
لیکن لاویان را برمسکن شهادت و تمامی اسبابش و بر هرچه علاقه به آن دارد بگمار، و ایشان مسکن و تمامی اسبابش را بردارند، و ایشان آن را خدمت نمایندو به اطراف مسکن خیمه زنند. | ۵۰ 50 |
Badala yake, waagize Walawi kuliangalia hema la amri za agano, na kuangalia mapambo ya hema na vyote vilivyomo. Walawi watalazimika kulibeba hema na lazima wayabebe mapambo ya hema. Lazima waliangalie hema na kuyatengeneza mazingira yake. Wataiangalia masikani na kuzitengeneza kambi zinazolizunguka.
و چون مسکن روانه شود لاویان آن را پایین بیاورند، و چون مسکن افراشته شود لاویان آن را برپا نمایند، وغریبی که نزدیک آن آید، کشته شود. | ۵۱ 51 |
Kila hema litakapotakiwa kuhamishiwa eneo jingine, Walawi ndio watakaolipeleka pale. Na kila hema litakapotakiwa kusimamishwa, Walawi ndio watakao lisimamisha. Na mgeni yeyote atakayelisogelea hema lazima auawe.
و بنیاسرائیل هر کس در محله خود و هر کس نزدعلم خویش برحسب افواج خود، خیمه زنند. | ۵۲ 52 |
Wakati watu wa Israeli watakaposimamisha hema zao, kila mwanaume lazima awe karibu na bango la jeshi lake.
و لاویان به اطراف مسکن شهادت خیمه زنند، مبادا غضب بر جماعت بنیاسرائیل بشود، ولاویان شعائر مسکن شهادت را نگاه دارند.» | ۵۳ 53 |
Hata hivyo Walawi lazima waweke hema zao kuizunguka hiyo masikani ya amri za agano ili kwamba hasira yangu isije ikawaka juu ya wana wa Israeli. Walawi lazima wailinde hiyo masikani ya amri za agano.”
پس بنیاسرائیل چنین کردند، و برحسب آنچه خداوند موسی را امر فرموده بود، به عمل آوردند. | ۵۴ 54 |
Wana wa Israeli walifanya yote haya. Walifanya yote ambayo BWANA aliagiza kupitia Musa.