< لاویان 23 >

و خداوند موسی را خطاب کرده، گفت: ۱ 1
Yahweh akamwambia Musa:
«بنی‌اسرائیل را خطاب کرده، به ایشان بگو: موسمهای خداوند که آنها رامحفلهای مقدس خواهید خواند، اینهاموسمهای من می‌باشند. ۲ 2
“Zungumza na watu wa Israeli, na uwaambie, 'Hizi ndizo sikukuu zilizoamriwa kwa ajili ya Yahweh, ambazo ni lazima mzitangaze kuwa makusanyiko matakatifu, ni sikukuu zangu za mara kwa mara.
«شش روز کار کرده شود و در روز هفتم سبت آرامی و محفل مقدس باشد. هیچ کارمکنید. آن در همه مسکنهای شما سبت برای خداوند است. ۳ 3
Mnaweza kufanya kazi kwa siku sita, lakini siku ya saba ni Sabato ya kupumzika kabisa. Usifanye kazi kwa sababu ni Sabato kwa ajili ya Yahweh mahali pote mnaposhi.
«اینها موسمهای خداوند و محفلهای مقدس می‌باشد، که آنها را در وقتهای آنها اعلان باید کرد. ۴ 4
Hizi ndizo sikukuu za Yahweh zilizoamriwa, Makusanyiko matakatifu mtakayoyatangaza kwa nyakati zilioamriwa:
در ماه اول، در روز چهاردهم ماه بین العصرین، فصح خداوند است. ۵ 5
Katika mwenzi wa kwanza, siku ya kumi na nne ya mwezi kwenye mwanga hafifu wa machweo ya jua, ni Pasaka ya Yahweh.
و در روزپانزدهم این ماه عید فطیر برای خداوند است، هفت روز فطیر بخورید. ۶ 6
Siku ya kumi na tano ya mwezi ule ule ni sikukuu ya mikate isiotiwa hamira kwa ajili ya Yahweh. Kwa muda wa siku saba mtakula mikate isiotiwa hamira.
در روز اول محفل مقدس برای شما باشد، هیچ کار از شغل مکنید. ۷ 7
Siku ya kwanza ni lazima mjitenge kwa pamoja, hamtafanya kazi ya kawaida.
هفت روز هدیه آتشین برای خداوند بگذرانید، و در روز هفتم، محفل مقدس باشد؛ هیچ کار ازشغل مکنید.» ۸ 8
Kwa siku saba mtamletea Yahweh matoleo ya chakula. Siku ya saba ni ya kusanyiko takatifu lililotengwa kwa ajili ya Yahweh, nanyi katika siku hiyo hamtafanya kazi yoyote ya kawaida.”
و خداوند موسی را خطاب کرده، گفت: ۹ 9
Yahweh akamwambia Musa, akisema,
«بنی‌اسرائیل را خطاب کرده، به ایشان بگو: چون به زمینی که من به شما می‌دهم داخل شوید، و محصول آن را درو کنید، آنگاه بافه نوبر خود رانزد کاهن بیاورید. ۱۰ 10
“Sema na watu wa Israeli uwaambie, 'mtakapika kwenye nchi nitakayowapa nyinyi, na mtakapovuna mazao yake, nanyi yawapasa kumletea kuhani fungu la masuke ya nafaka ya matunda yake ya kwanza.
و بافه را به حضور خداوندبجنباند تا شما مقبول شوید، در فردای بعد ازسبت کاهن آن را بجنباند. ۱۱ 11
Naye ataliinua hilo fungu la masuke ya nafaka mbele za Yahweh na kulileta kwake, kwa kuwa litakubalika kwa niaba yenu. Nalo litaletwa siku baada ya Sabato ili kwamba kuhani ataliinua na kulileta kwangu.
و در روزی که شمابافه را می‌جنبانید، بره یک ساله بی‌عیب برای قربانی سوختنی به حضور خداوند بگذرانید. ۱۲ 12
Siku ile mtakapoliinua lile fungu la masuke ya nafaka na kulileta kwangu, itawabidi kutoa mwana—kondoo dume wa mwaka mmoja na asiye na dosari awe sadaka ya kuteketezwa kwa Yahweh.
وهدیه آردی آن دو عشر آرد نرم سرشته شده به روغن خواهد بود، تا هدیه آتشین و عطر خوشبوبرای خداوند باشد، و هدیه ریختنی آن چهار یک هین شراب خواهد بود. ۱۳ 13
Matoleo ya nafaka yatakuwa sehemu za kumi za efa za unga laini uliochanganywa na mafuta, uwe matoleo yaliyofanywa kwa moto kwa Yahweh, ili kutoa harufu nzuri ya kupendeza, pamoja na hiyo kutakuwa na matoleo ya kinywaji ya divai, moja ya nne ya hini.
و نان و خوشه های برشته شده و خوشه های تازه مخورید، تا همان روزی که قربانی خدای خود را بگذرانید. این برای پشتهای شما در همه مسکنهای شمافریضه‌ای ابدی خواهد بود. ۱۴ 14
Hamtakula mkate, wala nafaka iliyokaangwa au nafaka mpya hata siku ile mliyoleta matoleo haya kwa Mungu wenu. Hii itakuwa amri ya kudumu katika vizazi vyote vya watu wenu, popote pale mnapoishi.
و از فردای آن سبت، از روزی که بافه جنبانیدنی را آورده باشید، برای خود بشمارید تا هفت هفته تمام بشود. ۱۵ 15
Tangu siku iliyofuata baada ya Sabato—hiyo ilikuwa siku mlipolileta lie fungu la nafaka la matoleo ya kutikiswa—hesabuni majuma saba kamili.
تا فردای بعد از سبت هفتم، پنجاه روز بشمارید، و هدیه آردی تازه برای خداوند بگذرانید. ۱۶ 16
Mtahesabu siku hamsini, ambazo zingekuwa siku baada ya Sabato ya saba. Kisha mtaleta matoleo ya nafaka mpya kwa Yahweh.
از مسکنهای خود دونان جنبانیدنی از دو عشر بیاورید از آرد نرم باشد، و با خمیر مایه پخته شود تا نوبر برای خداوندباشد. ۱۷ 17
Mtaleta kutoka nyumbani mwenu mikate miwili iliyotengenezwa kutokana na mbili za kumi za efa. Ni lazima ifanywe kwa unga laini na uliochanganywa na hamira; zitakuwa matoleo ya kutikiswa ya malimbuko ya kwanza kwa Yahweh.
و همراه نان، هفت بره یک ساله بی‌عیب و یک گوساله و دو قوچ، و آنها با هدیه آردی وهدیه ریختنی آنها قربانی سوختنی برای خداوندخواهدبود، و هدیه آتشین و عطر خوشبو برای خداوند. ۱۸ 18
Mtaileta hiyo mikate pamoja na wana—kondoo saba wa mwaka mmoja na wasiokuwa na dosari, fahali mmoja mchanga na dume wa kondoo wawili. Watakuwa matoleo ya kuteketezwa kwa moto kwa Yahweh, pamoja na matoleo yao ya nafaka na matoleo ya kinywaji, matoleo yaliyofanywa kwa moto na kutoa harufu nzuri ya kupendeza kwa Yahweh.
و یک بز نر برای قربانی گناه، و دو بره نر یک ساله برای ذبیحه سلامتی بگذرانید. ۱۹ 19
Ni lazima mtowe mbuzi dume mmoja kwa ajili ya matoleo ya dhambi, na wana—kondoo dume wawili wa mwaka mmoja kwa ajili ya dhabihu, wawe matoleo ya ushirika.
وکاهن آنها را با نان نوبر بجهت هدیه جنبانیدنی به حضور خداوند با آن دو بره بجنباند، تا برای خداوند بجهت کاهن مقدس باشد. ۲۰ 20
Ni lazima kuhani azitikise pamoja na mkate wa malimbuko ya kwanza mbele za Yahweh na kuzileta kwake kuwa matoleo pamoja na kondoo dume wawili. Watakuwa sadaka takatifu kwa Yahweh kwa ajili ya kuhani.
و در همان روز منادی کنید که برای شما محفل مقدس باشد؛ و هیچ کار از شغل مکنید. در همه مسکنهای شما بر پشتهای شما فریضه ابدی باشد. ۲۱ 21
Mtatoa tangazo siku iyo hiyo. Kutakuwa na kusanyiko takatifu, na hamtafanya kazi za kawaida. Hii itakuwa amri ya kudumu katika vizazi vya watu wenu mahali pote mnapoishi.
و چون محصول زمین خود را دروکنید، گوشه های مزرعه خود را تمام درو مکن، و حصاد خود را خوشه چینی منما، آنها را برای فقیر و غریب بگذار. من یهوه خدای شماهستم.» ۲۲ 22
Mtakapovuna mazao ya nchi yenu, Msivune kabisa kabisa pembeni mwa mashamba yenu, wala msivune mazazo ya mavuno yenu. Inawapasa kuyaacha kwa ajili ya masikini na mgeni. Mimi ndimi Yahweh Mungu wenu.”
و خداوند موسی را خطاب کرده، گفت: ۲۳ 23
Yahweh akazungumza na Musa, akisema,
«بنی‌اسرائیل را خطاب کرده، بگو: در ماه هفتم در روز اول ماه، آرامی سبت برای شما خواهدبود، یعنی یادگاری نواختن کرناها و محفل مقدس. ۲۴ 24
“Zungumza na watu wa Israeli na uwaambie, “Siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza itakuwa siku ya pumzika makini kwa ajili yenu, kumbukumbu pamoja na kupigwa kwa tarumbeta na kusanyiko takatifu,
هیچ کار از شغل مکنید و هدیه آتشین برای خداوند بگذرانید.» ۲۵ 25
Hamtafanya kazi ya kawaida, na ni lazima mtoe dhabihu inayofanywa kwa moto kwa Yahweh.”
و خداوند موسی را خطاب کرده، گفت: ۲۶ 26
Kisha Yahweh akamwambia Musa, akisema,
«در دهم این ماه هفتم، روز کفاره است. این برای شما محفل مقدس باشد. جانهای خود راذلیل سازید، و هدیه آتشین برای خداوندبگذرانید. ۲۷ 27
“Sasa, siku ya kumi ya mwezi huu wa saba, ni Siku ya Upatanisho. Kutakuwa na kusanyiko takatifu, na ni lazima mjinyenyekeze na kuleta kwa Yahweh matoleo kwa moto.
و در همان روز هیچ کار مکنید، زیراکه روز کفاره است تا برای شما به حضوریهوه خدای شما کفاره بشود. ۲۸ 28
Hamtafanya kazi katika siku hiyo kwa sababu ni Siku ya Upatanisho, ili kufanya upatanisho kwa ajili yenu mbele za Yahweh Mungu wenu.
و هر کسی‌که درهمان روز خود را ذلیل نسازد، از قوم خود منقطع خواهد شد. ۲۹ 29
Yeyote asiyejinyenyekeza siku hiyo lazima akatiliwe mbali na watu wake.
و هر کسی‌که در همان روزهرگونه کاری بکند، آن شخص را از میان قوم اومنقطع خواهم ساخت. ۳۰ 30
Yeye afanyaye kazi yoyote katika siku hiyo, Mimi, Yahweh, nitamwangamiza atoke miongoni mwa watu wake.
هیچ کار مکنید. برای پشتهای شما در همه مسکنهای شما فریضه‌ای ابدی است. ۳۱ 31
Msifanye kazi ya aina yoyote katika siku hiyo. Hii itakuwa amri ya kudumu katika vizazi vyote vya watu wenu mahali pote mnapoishi.
این برای شما سبت آرامی خواهدبود، پس جانهای خود را ذلیل سازید، درشام روز نهم، از شام تا شام، سبت خود را نگاه دارید.» ۳۲ 32
Siku hii itakuwa Sabato ya pumziko lenye utlivu, na ni lzima siku ya tisa ya mwezi mjinyenyekeze katika majira ya jioni. Tangu jioni hata jioni mtaishika Sabato yenu.”
و خداوند موسی را خطاب کرده، گفت: ۳۳ 33
Yahweh akazungumza na Musa, akisema,
«بنی‌اسرائیل را خطاب کرده، بگو: در روزپانزدهم این ماه هفتم، عید خیمه‌ها، هفت روزبرای خداوند خواهد بود. ۳۴ 34
“Zungumza na watu ISraeli, uwaambie 'Katika siku ya kumi na tano ya mwezi wa saba kutakuwa na Sikukuu ya vibanda kwa Yahweh. nayo itadumu siku saba.
در روز اول، محفل مقدس باشد؛ هیچ کار از شغل مکنید. ۳۵ 35
Siku ya kwanza kutakuwa na kusanyiko takatifu. Hamtafanya kazi ya kawaida.
هفت روز هدیه آتشین برای خداوند بگذرانید، و درروز هشتم جشن مقدس برای شما باشد، و هدیه آتشین برای خداوند بگذرانید. این تکمیل عیداست؛ هیچ کار از شغل مکنید. ۳۶ 36
Kwa muda wa siku saba mtatoa dhabihu iliyofanywa kwa moto kwa Yahweh. Siku ya nane kutakuwa na kusanyiko takatifu, nanyi mtato dhabihu iliyofanywa kwa moto kwa Yahweh. Hili ni kusanyiko lenye utulivu, nanyi msifanye kazi yoyote ya kawaida.
این موسمهای خداوند است که در آنها محفلهای مقدس رااعلان بکنید تا هدیه آتشین برای خداوند بگذرانید، یعنی قربانی سوختنی و هدیه آردی وذبیحه و هدایای ریختنی. مال هر روز را درروزش، ۳۷ 37
Hizi ndizo sikukuu zilizoamriwa kwa ajili ya Yahweh, ambazo mnapaswa kuzitangaza kuwa ni makusanyiko matakatifu ya kutoa dhabihu kwa moto kwa Yahweh, matoleo ya kuteketezwa na matoleo ya nafaka, dhabihu na matoleo ya vinywaji, kila moja kwa siku yake.
سوای سبت های خداوند و سوای عطایای خود و سوای جمیع نذرهای خود وسوای همه نوافل خود که برای خداوند می‌دهید. ۳۸ 38
Sikukuu hizi zitakuwa nyongeza kwa Sabato za Yahweh na zawadi zenu, viapo vyenu vyote, na sadaka zenu zote za hiari mzitoazo kwa Yahweh.
در روز پانزدهم ماه هفتم چون شما محصول زمین را جمع کرده باشید، عید خداوند را هفت روز نگاه دارید، در روز اول، آرامی سبت خواهدبود، و در روز هشتم آرامی سبت. ۳۹ 39
Kuhusu Sikukuu ya vibanda, siku ya kumi na tano ya mwezi wa saba, mtakapokuwa mmeyakusanya ndani matunda ya nchi, ni lazima muitunze sikukuu hii ya Yehweh kwa muda wa siku saba. Siku ya kwanza itakuwa ya pumziko lenye utulivu, na siku ya nane pia itakuwa ya pumziko lenye utulivu.
و در روزاول میوه درختان نیکو برای خود بگیرید، وشاخه های خرما و شاخه های درختان پربرگ، وبیدهای نهر، و به حضور یهوه خدای خود هفت روز شادی نمایید. ۴۰ 40
Siku ya kwanza mtachuma tunda lililobora kutoka kwenye miti, mtakata makuti ya mtende, na matawi ya miti minene yenye majani mengi, na majani ya mierebi kutoka chemchemi za maji, nanyi mtashangilia mbele za Yahweh Mungu wenu kwa siku saba.
و آن را هر سال هفت روزبرای خداوند عید نگاه دارید، برای پشتهای شمافریضه‌ای ابدی است که در ماه هفتم آن را عیدنگاه دارید. ۴۱ 41
Kwa muda wa siku saba kila mwaka, mtaisherehekea sikukuu hii kwa Yahweh. Hii itakuwa amri ya kudumu katika vizazi vyote vya watu wenu mahali potepote mtakapoishi. Mtaisherehekea sikukuu hii katika mwezi wa saba.
هفت روز در خیمه‌ها ساکن باشید؛ همه متوطنان در اسرائیل در خیمه‌ها ساکن شوند. ۴۲ 42
Mtaishi kwenye vibanda vidogovidogo kwa siku saba. Waisraeli wenyeji wa kuzaliwa wote itawapasa kuishi katika vibanda vidogovidogo kwa siku saba,
تا طبقات شما بدانند که من بنی‌اسرائیل راوقتی که ایشان را از زمین مصر بیرون آوردم درخیمه‌ها ساکن گردانیدم. من یهوه خدای شماهستم.» ۴۳ 43
ili kwamba wazao wenu, kizazi baada ya kizazi, waweze kujifunza nilivyowafanya wana wa Israeli kuishi kwenye vibanda kama hivi nilipowaongoza kutoka katika nchi ya Misri. Mimi ndimi Yahweh Mungu wenu.'”
پس موسی بنی‌اسرائیل را ازموسمهای خداوند خبر داد. ۴۴ 44
Katika njia hii Musa akazitangaza kwa watu wa ISraeli sikukuu zilizoamria kwa ajili ya Yahweh.

< لاویان 23 >