< سوگنامه 4 >

چگونه طلا زنگ گرفته و زر خالص منقلب گردیده است؟ سنگهای قدس به‌سر هرکوچه ریخته شده است. ۱ 1
Dhahabu imechakaa; jinsi gani dhahabu safi imebadilika! Mawe matakatifu yamezagaa katika kila njia ya mtaa.
چگونه پسران گرانبهای صهیون که به زر ناب برابر می‌بودند مثل ظروف سفالین که عمل دست کوزه‌گر باشد شمرده شده‌اند. ۲ 2
Wana wa dhamani wa Sayuni walikuwa na dhamani ya uzito wa dhahabu safi, lakini sasa hawana dhamani zaidi ya majagi ya udogo, kazi ya mikono ya mfinyazi!
شغالها تیز پستانهای خود را بیرون آورده، بچه های خویش را شیر می‌دهند. اما دختر قوم من مانند شتر مرغ بری، بیرحم گردیده است. ۳ 3
Ata mbwa wa mitaani wanatoa maziwa yao kuwanyonyesha watoto wao, lakini binti wa watu wangu amekuwa katili, kama mbuni katika jangwa.
زبان اطفال شیرخواره از تشنگی به کام ایشان می‌چسبد، و کودکان نان می‌خواهند وکسی به ایشان نمی دهد. ۴ 4
Ulimi wa mtoto mchanga anaye nyonya unagota juu mdomo wake kwa kiu; watoto wanaomba chakula, lakini hakuna kwa ajili yao.
آنانی که خوراک لذیذ می‌خورند در کوچه ها بینوا گشته‌اند. آنانی که در لباس قرمز تربیت یافته‌اند مزبله‌ها را در آغوش می‌کشند. ۵ 5
Wao walizoea kula chakula cha gharama sasa wana shinda njaa mitaani; wao walio lelewa kwa kuvaa nguo za zambarau, sasa wamelala katika majalala.
زیرا که عصیان دختر قوم من از گناه سدوم زیاده است، که در لحظه‌ای واژگون شد و کسی دست بر او ننهاد. ۶ 6
Hukumu ya binti wa watu wangu ni kubwa kuliko hiyo ya Sodoma, na ilipinduliwa kwa dakika na hakuna aliye yanyua mkono kumsaidia.
نذیرگان او از برف، صاف تر و از شیر، سفیدتر بودند. بدن ایشان از لعل سرختر و جلوه ایشان مثل یاقوت کبود بود. ۷ 7
Viongozi wake walikuwa wasafi kuliko theluji, weupe kuliko maziwa; miili yao ilikuwa imara kuliko jiwe, mwili wao ulikuwa kama yakuti samawi.
اما صورت ایشان از سیاهی سیاهتر شده است که در کوچه‌ها شناخته نمی شوند. پوست ایشان به استخوانهایشان چسبیده و خشک شده، مثل چوب گردیده است. ۸ 8
Muonekano wao umekuwa mweusi kama giza; hawatambuliki mitaani. Ngozi zao zimesinya kwenye mifupa yao; imekuwa kavu kama kuni.
کشتگان شمشیر از کشتگان گرسنگی بهترند. زیرا که اینان از عدم محصول زمین مجروح شده، کاهیده می‌گردند. ۹ 9
Hao walio uawa kwa upanga walikuwa na furaha zaidi kuliko hao walio kufa kwa njaa, walio potea, wakatobolewa kwa ukosefu wa mavuno shambani.
زنان مهربان، اولاد خود را می‌پزند به‌دستهای خویش. و آنها در هلاکت دختر قوم من غذای ایشان هستند. ۱۰ 10
Mikono ya wanawake wenye huruma imewachemsha watoto wao; wamekuwa chakula chao wakati ambapo binti wa watu wangu alipo kuwa akiharibiwa.
خداوند غضب خود را به اتمام رسانیده، حدت خشم خویش را ریخته است، و آتشی درصهیون افروخته که اساس آن را سوزانیده است. ۱۱ 11
Yahweh alionyesha gadhabu yake yote; alimwaga hasira yake kali. Aliwasha moto Sayuni uliteketeza misingi yake.
پادشاهان جهان و جمیع سکنه ربع مسکون باور نمی کردند که عدو و دشمن به دروازه های اورشلیم داخل شود. ۱۲ 12
Wafalme wa dunia hawaku amini, wala wakazi wa dunia, kwamba maadui au wapinzani waliweza kuingia malangoni ya Yerusalemu.
به‌سبب گناه انبیا و گناه کاهنانش، که خون عادلان را در اندرونش ریختند. ۱۳ 13
Haya yalitokea kwasababu ya dhambi za manabii na na maasi ya makuhani walio mwaga damu ya wenye haki mbele zake.
مثل کوران در کوچه‌ها نوان می‌شوند و ازخون نجس شده‌اند، که لباس ایشان را لمس نمی توانند کرد. ۱۴ 14
Walitanga, kwa upofu, mitaani. Walikuwa wamejitia unajisi kwa damu hiyo ambapo hakuna aliye ruhusiwa kushika nguo zao.
و به ایشان ندا می‌کنند که دور شوید، نجس (هستید)! دور شوید دور شوید و لمس منمایید! چون فرار می‌کردند نوان می‌شدند و در میان امت‌ها می‌گفتند که در اینجا دیگر توقف نخواهند کرد. ۱۵ 15
“Kaa mbali! Wewe mnajisi!” Watu waliwapazia sauti. “Kaa mbali! Kaa mbali! Usiguse!” Hivyo wakatanga; watu walisema miongoni mwa mataifa, “Hawawezi kukaa hapa tena.”
خشم خداوند ایشان را پراکنده ساخته وایشان را دیگر منظور نخواهد داشت. به کاهنان ایشان اعتنا نمی کنند و بر مشایخ، رافت ندارند. ۱۶ 16
Yahweh mwenyewe akawatawanyisha; hawatazami tena. Hawa waheshimu makuhani, na hawaonyeshi upendeleo kwa wazee.
چشمان ما تا حال در انتظار اعانت باطل ماکاهیده می‌شود. بر دیده بانگاههای خود انتظارکشیدیم، برای امتی که نجات نمی توانند داد. ۱۷ 17
Macho yetu yalikwama, yakitazama bure kwa msaada; kutoka minara yetu ya ulinzi tulitazama taifa lisilo weza tuokoa.
قدمهای ما را تعاقب نمودند به حدی که درکوچه های خود راه نمی توانیم رفت. آخرت مانزدیک است و روزهای ما تمام شده زیرا که اجل ما رسیده است. ۱۸ 18
Walifuata hatua zetu, hatukuweza kutembea mitaani mwetu. Mwisho wetu ulikuwa karibu na siku zetu zilihesabiwa, mwisho wetu ulifika.
تعاقب کنندگان ما از عقابهای هواتیزروتراند. ما را بر کوهها تعاقب می‌کنند و برای ما در صحرا کمین می‌گذارند. ۱۹ 19
Walio tukimbiza walikuwa wepesi kuliko tai wa aangani. Walitukimbiza kwenye milima na kutuwinda nyikani.
مسیح خداوند که نفخه بینی ما می‌بود درحفره های ایشان گرفتار شد، که درباره اومی گفتم زیر سایه او در میان امت‌ها، زیست خواهیم نمود. ۲۰ 20
Pumzi katika pua zetu - mpakwa mafuta wa Yahweh - ndiye aliye kamatwa katika shimo; ambaye ndiye aliye semewa, “Chini ya kivuli chake tutaishi miongoni mwa mataifa.”
مسرور باش و شادی کن‌ای دختر ادوم که در زمین عوص ساکن هستی! بر تو نیز این‌جام خواهد رسید و مست شده، عریان خواهی شد. ۲۱ 21
Shangilia na ufurahi, binti wa Edomu, wewe unaye ishi nchi ya Uzi. Lakini kwako pia kikombe kitapitishwa; utalewa na kuvua nguo.
‌ای دختر صهیون سزای گناه تو تمام شد وتو را دیگر جلای وطن نخواهد ساخت. ای دخترادوم، عقوبت گناه تو را به تو خواهد رسانید وگناهان تو را کشف خواهد نمود. ۲۲ 22
Binti wa Sayuni, hukumu yako itafika mwisho, hataongeza mateka yako lakini binti wa Edomu, ata muhadhibu; ata funua dhambi zako.

< سوگنامه 4 >