< ایّوب 36 >

و الیهو باز‌گفت: ۱ 1
Elihu aliendelea na kusema,
«برای من‌اندکی صبرکن تا تو را اعلام نمایم، زیرا از برای خدا هنوز سخنی باقی است. ۲ 2
“Niruhusu niseme kidogo zaidi, nami nitakuonesha baadhi ya mambo kwasababu nina maneno machache ya kusema kwa ajili ya Mungu.
علم خود را از دورخواهم آورد و به خالق خویش، عدالت راتوصیف خواهم نمود. ۳ 3
Nitapata maarifa yangu kutoka mbali; nitatambua kwamba haki ni ya Muumba wangu.
چونکه حقیقت کلام من دروغ نیست، و آنکه در علم کامل است نزد توحاضر است. ۴ 4
Kwa kweli, maneno yangu hayatakuwa ya uongo; mtu fulani aliyekomaa katika maarifa yu pamoja nawe.
اینک خدا قدیر است و کسی رااهانت نمی کند و در قوت عقل قادر است. ۵ 5
Angalia, Mungu ni mwenye nguvu, na hamdharau mtu yeyote; yeye ni mwenye nguvu katika uweza wa ufahamu.
شریررا زنده نگاه نمی دارد و داد مسکینان را می‌دهد. ۶ 6
Yeye huwa hayahifadhi maisha ya watu waovu bali badala yake hufanya yaliyo ya haki kwa wale wanaoteseka.
چشمان خود را از عادلان برنمی گرداند، بلکه ایشان را با پادشاهان بر کرسی تا به ابد می‌نشاند، پس سرافراشته می‌شوند. ۷ 7
Haondoi macho yake kwa wenye haki bali badala yake huwaweka juu ya viti vya enzi kama wafalme milele, nao wameinuliwa juu.
اما هرگاه به زنجیرهابسته شوند، و به بندهای مصیبت گرفتار گردند، ۸ 8
Ikiwa wamefungwa minyororo na kunaswa katika kamba za mateso,
آنگاه اعمال ایشان را به ایشان می‌نمایاند وتقصیرهای ایشان را از اینکه تکبر نموده‌اند، ۹ 9
kisha huwafunulia kile walichokifanya, na maovu yao na kiburi chao.
وگوشهای ایشان را برای تادیب باز می‌کند، و امرمی فرماید تا از گناه بازگشت نمایند. ۱۰ 10
Hufungua pia masikio yao kwa ajili ya agizo lake, na huwaamuru wageuke kutoka katika uovu.
پس اگربشنوند و او را عبادت نمایند، ایام خویش را درسعادت بسر خواهند برد، و سالهای خود را درشادمانی. ۱۱ 11
Ikiwa watamsikiliza na kumwabudu yeye, wataishi katika mafanikio katika siku zao, na miaka yao katika hali ya kuridhika.
و اما اگر نشنوند از تیغ خواهند افتاد، و بدون معرفت، جان را خواهند سپرد. ۱۲ 12
Hata hivyo, kama hawatasikiliza, wataangamia kwa upanga; watakufa kwasababu hawana maarifa.
اماآنانی که در دل، فاجرند غضب را ذخیره می‌نمایند، و چون ایشان را می‌بندد استغاثه نمی نمایند. ۱۳ 13
Na wale wasiomjua Mungu hutunza hasiria zao katika mioyo; hawaombi msaada hata wakati ambapo Mungu huwafunga.
ایشان در عنفوان جوانی می‌میرندو حیات ایشان با فاسقان (تلف می‌شود). ۱۴ 14
Hawa hufa katika ujana wao; na maisha yao hukoma kati ya makahaba.
مصیبت کشان را به مصیبت ایشان نجات می‌بخشد و گوش ایشان را در تنگی باز می‌کند. ۱۵ 15
Mungu huwainua watu walioonewa kwa njia ya mateso yao; hufungua masikio yao kwa njia ya uonevu wao.
«پس تو را نیز از دهان مصیبت بیرون می‌آورد، در مکان وسیع که در آن تنگی نمی بود وزاد سفره تو از فربهی مملو می‌شد، ۱۶ 16
Kwa hakika, yeye angependa kuwatoa ninyi katika mateso na kuwaweka katika sehemu pana ambapo hakuna masumbufu na mahali ambapo meza yenu ingewekwa ikiwa na chakula kilichojaa mafuta.
و تو ازداوری شریر پر هستی، لیکن داوری و انصاف باهم ملتصقند. ۱۷ 17
Lakini wewe umejaa hukumu juu ya watu waovu; hukumu na haki umeziachilia.
باحذر باش مبادا خشم تو را به تعدی ببرد، و زیادتی کفاره تو را منحرف سازد. ۱۸ 18
Usiuache utajiri ukuvute katika udanganyifu; na sehemu kubwa ya rushwa isikugeuze upande kutoka katika haki.
آیا او دولت تو را به حساب خواهد آورد؟ نی، نه طلا و نه تمامی قوای توانگری را. ۱۹ 19
Je utajiri wako waweza kukunufaisha, ili kwamba usiwe katika taabu, au nguvu zako zote za uwezo zaweza kukusaidia?
برای شب آرزومند مباش، که امت‌ها را از جای ایشان می‌برد. ۲۰ 20
Usiutamani usiku ili utende dhambi dhidi ya wengine wakati ambapo mataifa hukatiliwa mbali katika nafasi zao.
با حذر باش که به گناه مایل نشوی، زیرا که تو آن را بر مصیبت ترجیح داده‌ای. ۲۱ 21
Uwe mwangalifu ili kwamba usigeukie dhambi kwasababu unajaribiwa kwa mateso ili kwamba ukae mbali na dhambi.
اینک خدا در قوت خود متعال می‌باشد. کیست که مثل او تعلیم بدهد؟ ۲۲ 22
Angalia, Mungu ameinuliwa katika nguvu zake; ni nani aliye mwalimu kama yeye?
کیست که طریق او را به او تفویض کرده باشد؟ و کیست که بگویدتو بی‌انصافی نموده‌ای؟ ۲۳ 23
Ni nani alishamwalekeza njia yake? Nani anayeweza kumwambia, 'Wewe umetenda mambo yasiyo ya haki?'
به یاد داشته باش که اعمال او را تکبیر گویی که درباره آنها مردمان می‌سرایند. ۲۴ 24
Kumbuka kuyasifu matendo yake, ambayo watu wameyaimba.
جمیع آدمیان به آنها می‌نگرند. مردمان آنها را از دور مشاهده می‌نمایند. ۲۵ 25
Watu wote wameshayatazama hayo matendo, lakini wanayaona tu matendo hayo kwa mbali sana.
اینک خدا متعال است و او را نمی شناسیم. و شماره سالهای او را تفحص نتوان کرد. ۲۶ 26
Tazama, Mungu ni mkuu, lakini sisi hatumfahamu yeye vizuri; hesabu ya miaka yake haihesabiki.
زیرا که قطره های آب را جذب می‌کند و آنها باران را ازبخارات آن می‌چکاند. ۲۷ 27
Kwa kuwa yeye huvuta matone ya maji ili kuyachuja kama mvua katka mvuke wake,
که ابرها آن را به شدت می‌ریزد و بر انسان به فراوانی می‌تراود. ۲۸ 28
ambayo mawingu yake huyamwaga chini na kuyandondosha kwa wingi kwa mwanadamu.
آیاکیست که بفهمد ابرها چگونه پهن می‌شوند، یارعدهای خیمه او را بداند؟ ۲۹ 29
Hakika, kuna hata mmoja awezaye kuelewa kwa undani kusambaa kwa mawingu na radi kutoka katika nyumba yake?
اینک نور خود رابر آن می‌گستراند. و عمق های دریا را می‌پوشاند. ۳۰ 30
Angalia, hueneza mwanga wake kumzunguka na kufunika mizizi ya bahari.
زیرا که به واسطه آنها قوم‌ها را داوری می‌کند، و رزق را به فراوانی می‌بخشد. ۳۱ 31
Kwa namna hii huyahukumu mataifa na kuwapa chakula kwa wingi.
دستهای خودرا با برق می‌پوشاند، و آن را بر هدف مامورمی سازد. ۳۲ 32
Yeye huuijaza mikono yake kwa mwanga mpaka pale anapouamuru kupiga shabaha yake.
رعدش از او خبر می‌دهد و مواشی از برآمدن او اطلاع می‌دهند. ۳۳ 33
Na muungurumo wake huonya kwa dhoruba, wanyama wanaweza kusikia kuja kwake.

< ایّوب 36 >