< ایّوب 33 >
«لیکنای ایوب، سخنان مرا استماع نما. و به تمامی کلام من گوش بگیر. | ۱ 1 |
“Lakini Ayubu, sasa, sikiliza maneno yangu; zingatia kila kitu nitakachosema.
اینک الان دهان خود را گشودم، و زبانم در کامم متکلم شد. | ۲ 2 |
Karibu nitafungua kinywa changu; maneno yangu yapo katika ncha ya ulimi wangu.
کلام من موافق راستی قلبم خواهدبود. و لبهایم به معرفت خالص تنطق خواهدنمود. | ۳ 3 |
Maneno yangu yanatoka katika moyo mnyofu; midomo yangu hunena kwa uaminifu yale niyajuayo.
روح خدا مرا آفریده، و نفخه قادرمطلق مرا زنده ساخته است. | ۴ 4 |
Roho wa Mungu ameniumba; pumzi ya Mwenyezi hunipa uhai.
اگر میتوانی مرا جواب ده، و پیش روی من، کلام را ترتیب داده بایست. | ۵ 5 |
Unijibu basi, kama unaweza; jiandae kunikabili mimi.
اینک من مثل تو از خدا هستم. و من نیز از گل سرشته شدهام. | ۶ 6 |
Mimi ni kama wewe mbele za Mungu; mimi pia nimetolewa kwenye udongo.
اینک هیبت من تو را نخواهدترسانید، و وقار من بر تو سنگین نخواهد شد. | ۷ 7 |
Huna sababu ya kuniogopa, wala mkono wangu haupaswi kukulemea.
«یقین در گوش من سخن گفتی و آواز کلام تو را شنیدم | ۸ 8 |
“Lakini umesema nikiwa ninakusikia, nami nilisikia maneno yenyewe:
که گفتی من زکی و بیتقصیر هستم. من پاک هستم و در من گناهی نیست. | ۹ 9 |
‘Mimi ni safi na sina dhambi; mimi ni safi na sina hatia.
اینک او علتها برمن میجوید. و مرا دشمن خودمی شمارد. | ۱۰ 10 |
Lakini bado Mungu amepata dosari kwangu, naye ananiona kama adui yake.
پایهایم را در کنده میگذارد و همه راههایم را مراقبت مینماید. | ۱۱ 11 |
Ananifunga miguu kwa pingu, tena anaziangalia njia zangu zote kwa karibu.’
هان در این امر توصادق نیستی. من تو را جواب میدهم، زیرا خدااز انسان بزرگتر است. | ۱۲ 12 |
“Lakini mimi ninakuambia, katika jambo hili wewe una makosa, kwa maana Mungu ni mkuu kuliko mwanadamu.
چرا با او معارضه مینمایی، از این جهت که از همه اعمال خوداطلاع نمی دهد؟ | ۱۳ 13 |
Kwa nini unamlalamikia kwamba yeye hamjibu mwanadamu?
زیرا خدا یک دفعه تکلم میکند، بلکه دو دفعه و انسان ملاحظه نمی نماید. | ۱۴ 14 |
Kwa kuwa Mungu husema, wakati huu kwa njia moja, au wakati mwingine kwa njia nyingine, ingawa mwanadamu anaweza asielewe.
در خواب، در رویای شب، چون خواب سنگین بر انسان مستولی میشود، حینی که دربستر خود در خواب میباشد. | ۱۵ 15 |
Mungu husema na mwanadamu katika ndoto, katika maono ya usiku, wakati usingizi mzito uwaangukiapo wanadamu wasinziapo vitandani mwao,
آنگاه گوشهای انسان را میگشاید و تادیب ایشان را ختم میسازد. | ۱۶ 16 |
anaweza akasemea masikioni mwao, na kuwatia hofu kwa maonyo,
تا انسان را از اعمالش برگرداند وتکبر را از مردمان بپوشاند. | ۱۷ 17 |
ili kumgeuza mtu kutoka kwenye kutenda mabaya na kumwepusha na kiburi,
جان او را از حفره نگاه میدارد و حیات او را از هلاکت شمشیر. | ۱۸ 18 |
kuiokoa nafsi yake na shimo, uhai wake usiangamizwe kwa upanga.
بادرد در بستر خود سرزنش مییابد، و اضطراب دایمی در استخوانهای وی است. | ۱۹ 19 |
Mtu anaweza kutiwa adabu kwa maumivu kitandani mwake, kwa dhiki za mfululizo katika mifupa yake,
پس جان اونان را مکروه میدارد و نفس او خوراک لطیف را. | ۲۰ 20 |
kiasi kwamba maisha yake yenyewe yanakataa chakula nayo nafsi yake ikakichukia kabisa hata chakula kizuri.
گوشت او چنان فرسوده شد که دیده نمی شودو استخوانهای وی که دیده نمی شد برهنه گردیده است. | ۲۱ 21 |
Nyama ya mwili wake huisha kwa kukonda, nayo mifupa yake ambayo mwanzoni ilikuwa imefichika, sasa inatokeza nje.
جان او به حفره نزدیک میشود و حیات او به هلاک کنندگان. | ۲۲ 22 |
Nafsi yake inakaribia kaburi, nao uhai wake karibu na wajumbe wa kifo.
«اگر برای وی یکی به منزله هزار فرشته یامتوسطی باشد، تا آنچه را که برای انسان راست است به وی اعلان نماید، | ۲۳ 23 |
“Kama bado kuna malaika upande wake kama mtetezi, mmoja miongoni mwa elfu, wa kumwambia mwanadamu lililo jema kwake,
آنگاه بر او ترحم نموده، خواهد گفت: او را از فرو رفتن به هاویه برهان، من کفارهای پیدا نمودهام. | ۲۴ 24 |
kumwonea huruma na kusema, ‘Mwokoe asije akatumbukia shimoni; nimepata ukombozi kwa ajili yake’:
گوشت او ازگوشت طفل لطیف تر خواهد شد. و به ایام جوانی خود خواهد برگشت. | ۲۵ 25 |
ndipo nyama ya mwili wake hufanywa mpya kama ya mtoto; hurudishwa upya kama siku za ujana wake.
نزد خدا دعا کرده، او رامستجاب خواهد فرمود، و روی او را با شادمانی خواهد دید. و عدالت انسان را به او رد خواهدنمود. | ۲۶ 26 |
Humwomba Mungu, akapata kibali kwake, huuona uso wa Mungu na kushangilia kwa furaha; Mungu humrudisha katika hali yake ya uadilifu.
پس در میان مردمان سرود خوانده، خواهد گفت: گناه کردم و راستی را منحرف ساختم، و مکافات آن به من نرسید. | ۲۷ 27 |
Ndipo huja mbele za watu na kusema, ‘Nilitenda dhambi na kupotosha kilichokuwa haki, lakini sikuadhibiwa kama nilivyostahili.
نفس مرا ازفرورفتن به هاویه فدیه داد، و جان من، نور رامشاهده میکند. | ۲۸ 28 |
Alinikomboa nafsi yangu nisitumbukie shimoni, nami nitaishi ili kuufurahia mwanga.’
اینک همه این چیزها را خدابه عمل میآورد، دو دفعه و سه دفعه با انسان. | ۲۹ 29 |
“Mungu hufanya haya yote kwa mwanadamu; mara mbili hata mara tatu,
تا جان او را از هلاکت برگرداند و او را از نورزندگان، منور سازد. | ۳۰ 30 |
ili aigeuze nafsi yake toka shimoni, ili nuru ya uzima imwangazie.
ای ایوب متوجه شده، مرااستماع نما، و خاموش باش تا من سخن رانم. | ۳۱ 31 |
“Ayubu, zingatia, nisikilize mimi; nyamaza, nami nitanena.
اگر سخنی داری به من جواب بده، متکلم شوزیرا میخواهم تو را مبری سازم. | ۳۲ 32 |
Kama unalo lolote la kusema, unijibu; sema, kwa maana ninataka uonekane huna hatia.
و اگر نه، تومرا بشنو. خاموش باش تا حکمت را به تو تعلیم دهم.» | ۳۳ 33 |
Lakini kama huna la kusema, basi nisikilize mimi; nyamaza, nami nitakufundisha hekima.”