< ایّوب 18 >
پس بلدد شوحی در جواب گفت: | ۱ 1 |
Ndipo Bildadi Mshuhi alijibu na kusema, “
«تابه کی برای سخنان، دامها میگسترانید؟ تفکر کنید و بعد از آن تکلم خواهیم نمود. | ۲ 2 |
Je, lini utaacha kusema kwako? Fikiri, na baadaye tutazungumza.
چرا مثل بهایم شمرده شویم؟ و در نظر شما نجس نماییم؟ | ۳ 3 |
Kwa nini sisi tumehesabiwa kama wanyama mwitu; kwa nini tumekuwa wapumbavu machoni pako?
ای که در غضب خود خویشتن را پاره میکنی، آیا بهخاطر تو زمین متروک شود، یاصخره از جای خود منتقل گردد؟ | ۴ 4 |
Wewe ambaye wajirarua mwenyewe katika hasira yako, nchi haipaswi kuachwa kwa ajili yako au miamba inapaswa kuondolewa kutoka mahali pake?
البته روشنایی شریران خاموش خواهد شد، و شعله آتش ایشان نور نخواهد داد. | ۵ 5 |
Ni dhahiri, nuru ya watu waovu itawekwa nje; cheche ya moto wake haitanga'ra.
در خیمه اوروشنایی به تاریکی مبدل میگردد، و چراغش براو خاموش خواهد شد. | ۶ 6 |
Nuru itakuwa giza katika hema yake; taa yake juu yake yeye itawekwa nje.
قدمهای قوتش تنگ میشود. و مشورت خودش او را به زیر خواهدافکند. | ۷ 7 |
Hatua za nguvu zake yeye zitafanywa kuwa fupi; mipango yake yeye mwenyewe itamwangusha yeye chini.
زیرا به پایهای خود در دام خواهد افتاد، و به روی تلهها راه خواهد رفت. | ۸ 8 |
Kwa maana yeye atatupwa katika mtego kwa miguu yake mwenyewe; yeye atatembea katika mahangaiko.
تله پاشنه او راخواهد گرفت. و دام، او را به زور نگاه خواهدداشت. | ۹ 9 |
Tanzi litamchukua yeye kwa kisigino; mtego utabaki kushikilia juu yake.
دام برایش در زمین پنهان شده است، وتله برایش در راه. | ۱۰ 10 |
Tanzi limefichwa kwa ajili yake chini ya ardhi; na mtego kwa ajili yake katika njia.
ترسها از هر طرف او راهراسان میکند، و به او چسبیده، وی رامی گریزاند. | ۱۱ 11 |
Watishao watamfanya yeye aogope juu ya sehemu zote; wao watamkimbiza yeye kwenye visigino vyake.
شقاوت، برای او گرسنه است، وذلت، برای لغزیدن او حاضر است. | ۱۲ 12 |
Utajiri wake utageuka kuwa njaa, na majanga yatakuwa tayari upande wake.
اعضای جسد او را میخورد. نخست زاده موت، جسد اورا میخورد. | ۱۳ 13 |
Sehemu za mwili wake zitakuwa zimemezwa; Hakika, mzaliwa wa kwanza wa kifo atazila sehemu zake yeye.
آنچه بر آن اعتماد میداشت، ازخیمه او ربوده میشود، و خود او نزد پادشاه ترسها رانده میگردد. | ۱۴ 14 |
Yeye ameraruliwa kutoka kwenye usalama wa hema yake na hakuweza kutembea kwenda kwa mfalme mwenye utisho.
کسانی که از وی نباشنددر خیمه او ساکن میگردند، و گوگرد بر مسکن اوپاشیده میشود. | ۱۵ 15 |
Watu ambao siyo wa kwake wataishi kwenye hema yake baada ya kuona ule moto mesambaa ndani ya nyumba yake yeye.
ریشه هایش از زیرمی خشکد، و شاخهاش از بالا بریده خواهد شد. | ۱۶ 16 |
Mizizi yake itanyauka chini yake; juu tawi lake yeye litakatwa.
یادگار او از زمین نابود میگردد، و در کوچه هااسم نخواهد داشت. | ۱۷ 17 |
Kumbukumbu lake yeye litapotea kutoka katika nchi; yeye hatakuwa na jina katika mtaa.
از روشنایی به تاریکی رانده میشود. و او را از ربع مسکون خواهندگریزانید. | ۱۸ 18 |
Yeye atafukuzwa kutoka katika nuru mpaka kwenye giza na kuwa amefukuzwa nje na ulimwengu huu.
او را در میان قومش نه اولاد و نه ذریت خواهد بود، و در ماوای او کسی باقی نخواهد ماند. | ۱۹ 19 |
Hatakuwa na mtoto wa kiume wala mjukuu miongonni mwa watu wake, wala kizazi chochote kitakachobakia mahali alipokuwa amekaa.
متاخرین از روزگارش متحیر خواهند شد، چنانکه بر متقدمین، ترس مستولی شده بود. | ۲۰ 20 |
Wale wanaoishi upande wa magharibi watakuwa wametiwa hofu kwa kile kitakachotokea kwake siku moja; wale wanaoishi upande wa mashariki watakuwa wameogopeshwa kwa hicho.
به درستی که مسکن های شریران چنین میباشد، و مکان کسیکه خدا رانمی شناسد مثل این است.» | ۲۱ 21 |
Hakika hizo ni nyumba za watu wasio haki, ni sehemu ya wale wasiomjua Mungu.”