< اشعیا 57 >

مرد عادل تلف شد و کسی نیست که این را در دل خود بگذراند و مردان روف برداشته شدند و کسی فکر نمی کند که عادلان ازمعرض بلا برداشته می‌شوند. ۱ 1
Mwenye haki hupotea, wala hakuna hata mmoja awazaye hilo moyoni mwake; watu wanaomcha Mungu huondolewa, wala hakuna hata mmoja anayeelewa kuwa wenye haki wameondolewa ili wasipatikane na maovu.
آنانی که به استقامت سالک می‌باشند بسلامتی داخل شده، بربسترهای خویش آرامی خواهند یافت. ۲ 2
Wale waendao kwa unyofu huwa na amani; hupata pumziko walalapo mautini.
و اماشما‌ای پسران ساحره و اولاد فاسق و زانیه به اینجا نزدیک آیید! ۳ 3
“Lakini ninyi: Njooni hapa, ninyi wana wa wachawi, ninyi wazao wa wazinzi na makahaba!
بر که تمسخر می‌کنید و برکه دهان خود را باز می‌کنید و زبان را درازمی نمایید؟ آیا شما اولاد عصیان و ذریت کذب نیستید ۴ 4
Mnamdhihaki nani? Ni nani mnayemcheka kwa dharau, na kumtolea ndimi zenu? Je, ninyi si watoto wa waasi, uzao wa waongo?
که در میان بلوطها و زیر هر درخت سبزخویشتن را به حرارت می‌آورید و اطفال را دروادیها زیر شکاف صخره‌ها ذبح می‌نمایید؟ ۵ 5
Mnawaka tamaa katikati ya mialoni na chini ya kila mti uliotanda matawi; mnawatoa kafara watoto wenu kwenye mabonde na chini ya majabali yenye mianya.
در میان سنگهای ملسای وادی نصیب تواست همینها قسمت تو می‌باشد. برای آنها نیزهدیه ریختنی ریختی و هدیه آردی گذرانیدی آیا من از اینها تسلی خواهم یافت؟ ۶ 6
“Sanamu zilizo katikati ya mawe laini ya mabondeni ndizo fungu lenu; hizo ndizo sehemu yenu. Naam, kwa hizo mmemimina sadaka za vinywaji, na kutoa sadaka za nafaka. Katika haya yote, niendelee kuona huruma?
بر کوه بلند ورفیع بستر خود را گستردی و به آنجا نیز برآمده، قربانی گذرانیدی. ۷ 7
Umeweka kitanda chako juu kwenye kilima kirefu kilichoinuka, huko ulikwenda kutoa dhabihu zako.
و پشت درها و باهوها یادگارخود را واگذاشتی زیرا که خود را به کسی دیگرغیر از من مکشوف ساختی و برآمده، بستر خودرا پهن کردی و درمیان خود و ایشان عهد بسته، بستر ایشان را دوست داشتی جایی که آن رادیدی. ۸ 8
Nyuma ya milango yako na miimo yako umeweka alama zako za kipagani. Kwa kuniacha mimi, ulifunua kitanda chako, umepanda juu yake na kukipanua sana; ulifanya patano na wale ambao unapenda vitanda vyao, nawe uliangalia uchi wao.
و با روغن در حضور پادشاه رفته، عطریات خود را بسیار کردی و رسولان خود رابجای دور فرستاده، خویشتن را تا به هاویه پست گردانیدی. (Sheol h7585) ۹ 9
Ulikwenda kwa Moleki ukiwa na mafuta ya zeituni, na ukaongeza manukato yako. Ukawatuma wajumbe wako mbali sana, ukashuka kwenye kaburi lenyewe! (Sheol h7585)
از طولانی بودن راه درمانده شدی اما نگفتی که امید نیست. تازگی قوت خود رایافتی پس از این جهت ضعف بهم نرسانیدی. ۱۰ 10
Ulikuwa umechoshwa na njia zako zote, lakini hukusema, ‘Hakuna tumaini.’ Ulipata uhuisho wa nguvu zako, kwa sababu hiyo hukuzimia.
از که ترسان و هراسان شدی که خیانت ورزیدی و مرا بیاد نیاورده، این را در دل خود جاندادی؟ آیا من از زمان قدیم نیز ساکت نماندم پس از این جهت از من نترسیدی؟ ۱۱ 11
“Ni nani uliyemhofu hivyo na kumwogopa hata ukawa mwongo kwangu, wala hukunikumbuka au kutafakari hili moyoni mwako? Si ni kwa sababu nimekuwa kimya muda mrefu hata huniogopi?
من عدالت واعمال تو را بیان خواهم نمود که تو را منفعت نخواهد داد. ۱۲ 12
Nitaifunua haki yako na matendo yako, nayo hayatakufaidi.
چون فریاد برمی آوری اندوخته های خودت تو را خلاصی بدهد و لکن باد جمیع آنها را خواهد برداشت و نفس آنها راخواهد برد. اما هر‌که بر من توکل دارد مالک زمین خواهد بود و وارث جبل قدس من خواهد گردید. ۱۳ 13
Utakapolia kwa kuhitaji msaada, sanamu zako ulizojikusanyia na zikuokoe! Upepo utazipeperusha zote, pumzi peke yake itazipeperusha, Lakini mtu atakayenifanya kimbilio lake, atairithi nchi na kuumiliki mlima wangu mtakatifu.”
و گفته خواهد شد برافرازید! راه را برافرازید ومهیا سازید! و سنگ مصادم را از طریق قوم من بردارید! ۱۴ 14
Tena itasemwa: “Jengeni, jengeni, itengenezeni njia! Ondoeni vikwazo katika njia ya watu wangu.”
زیرا او که عالی و بلند است و ساکن درابدیت می‌باشد و اسم او قدوس است چنین می‌گوید: «من در مکان عالی و مقدس ساکنم و نیزبا کسی‌که روح افسرده و متواضع دارد. تا روح متواضعان را احیا نمایم و دل افسردگان را زنده سازم. ۱۵ 15
Kwa maana hili ndilo asemalo Aliye juu, yeye aliyeinuliwa sana, yeye aishiye milele, ambaye jina lake ni Mtakatifu: “Ninaishi mimi mahali palipoinuka na patakatifu, lakini pia pamoja na yeye aliye na roho iliyotubu na mwenye roho ya unyenyekevu, ili kuzihuisha roho za wanyenyekevu na kuihuisha mioyo yao waliotubu.
زیرا که تا به ابد مخاصمه نخواهم نمودو همیشه خشم نخواهم کرد مبادا روحها وجانهایی که من آفریدم به حضور من ضعف به هم رسانند. ۱۶ 16
Sitaendelea kulaumu milele, wala sitakasirika siku zote, kwa kuwa roho ya mwanadamu ingezimia mbele zangu: yaani pumzi ya mwanadamu niliyemuumba.
به‌سبب گناه طمع وی غضبناک شده، او را زدم و خود را مخفی ساخته، خشم نمودم و او به راه دل خود رو گردانیده، برفت. ۱۷ 17
Nilighadhibika na tamaa yake ya dhambi; nilimwadhibu, nikauficha uso wangu kwa hasira, na bado aliendelea katika njia zake za tamaa.
طریق های او را دیدم و او را شفا خواهم داد واو را هدایت نموده، به او و به آنانی که با وی ماتم گیرند تسلی بسیار خواهم داد.» ۱۸ 18
Nimeziona njia zake, lakini nitamponya, nitamwongoza na kumrudishia upya faraja,
خداوند که آفریننده ثمره لبها است می‌گوید: «بر آنانی که دورند سلامتی باد و بر آنانی که نزدیکند سلامتی باد و من ایشان را شفا خواهم بخشید.» ۱۹ 19
nikiumba sifa midomoni ya waombolezaji katika Israeli. Amani, amani, kwa wale walio mbali na kwa wale walio karibu,” asema Bwana. “Nami nitawaponya.”
اماشریران مثل دریای متلاطم که نمی تواند آرام گیرد و آبهایش گل و لجن برمی اندازد می‌باشند. ۲۰ 20
Bali waovu ni kama bahari ichafukayo, ambayo haiwezi kutulia, mawimbi yake hutupa takataka na matope.
خدای من می‌گوید که شریران را سلامتی نیست. ۲۱ 21
Mungu wangu asema, “Hakuna amani kwa waovu.”

< اشعیا 57 >