< اشعیا 21 >

وحی درباره بیابان بحر: چنانکه گردباد در جنوب می‌آید، این نیز از بیابان از زمین هولناک می‌آید. ۱ 1
Tamko kuhusu jangwa pembezoni mwa bahari. Kama dhuruba yenye upepo inayotokea kupita Negevi kuelekea jangwani, kutoka kwenye aridhi ya kutisha.
رویای سخت برای من منکشف شده است، خیانت پیشه خیانت می‌کند و تاراج کننده تاراج می‌نماید. ای عیلام برآی و‌ای مدیان محاصره نما. تمام ناله آن را ساکت گردانیدم. ۲ 2
Nimepewa maono ya kusikitisha: Wasaliti wamepanga hila, na waharibifu kuharibu. Nenda juu na uvamie, Elamu; zingira Media; Mimi nitasimamisha maumivu yao yote.
از این جهت کمر من از شدت درد پر شده است و درد زه مثل درد زنی که می‌زاید مرادرگرفته است. پیچ و تاب می‌خورم که نمی توانم بشنوم، مدهوش می‌شوم که نمی توانم ببینم. ۳ 3
Hivyo basi simba wangu wamejawa na maumivu; ni kama mwanamke anayejifungua kwa uchungu yamenipata mimi; Nimeina chini kwa kile nilichokisikia; nimesumbuliwa kwa kile nilichokiona.
دل من می‌طپید و هیبت مرا ترسانید. او شب لذت مرابرایم به خوف مبدل ساخته است. ۴ 4
Moyo wangu unajinga, nimetitishika kwa hofu. Mapema jioni, mda wangu mzuri kwa siku, imeniletea hofu.
سفره را مهیاساخته و فرش را گسترانیده به اکل و شرب مشغول می‌باشند. ای سروران برخیزید و سپرهارا روغن بمالید. ۵ 5
Wameandaa meza, wametawanya vitambaa, na wanakula na kunjwa; tokea, mkuu, pakeni ngao yenu kwa mafuta.
زیرا خداوند به من چنین گفته است: «برو ودیده بان را قرار بده تا آنچه را که بیند اعلام نماید. ۶ 6
Hiili ndilo Bwana aliloniambia, ''Nenda, baada ya mlinzi; lazima atoe taarifa kwa kile atakacho kiona.
و چون فوج سواران جفت جفت و فوج الاغان وفوج شتران را بیند آنگاه به دقت تمام توجه بنماید.» ۷ 7
Kama ataona gari, jozi ya farasi, farasi juu ya punda na farasi juu ya ngamia, hivyo basi anatakiwa kuwa makini na kuwa macho.''
پس او مثل شیر صدا زد که «ای آقا من دائم در روز بر محرس ایستاده‌ام و تمامی شب بردیده بانگاه خود برقرار می‌باشم. ۸ 8
Mlinzi analia nje, ''Bwana, ninasimama juu ya mnara siku zote, kila siku, na kwa nguzo yangu nitasimama usiku wote.''
و اینک فوج مردان و سواران جفت جفت می‌آیند و او مزیدکرده، گفت: بابل افتاد افتاده است و تمامی تمثال های تراشیده خدایانش را بر زمین شکسته‌اند.» ۹ 9
Tazama gari linakuja na wakiwa wawili wawili. anaita, ''Babeli umeanguka, umeanguka, na sanamu za kuchonga za miungu yao zimevunjika chini.''
‌ای کوفته شده من و‌ای محصول خرمن من آنچه از یهوه صبایوت خدای اسرائیل شنیدم به شما اعلام می‌نمایم. ۱۰ 10
Watu wangu niliwapururu na kuwapepeta, watoto niliyewatoa kwenye sakafu yangu mwenyeweNilichokisikia kutoka kwa Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israeli, Nimekutangazia wewe.
وحی درباره دومه: کسی از سعیر به من ندا می‌کند که «ای دیده بان از شب چه خبر؟ ای دیده بان از شب چه خبر؟» ۱۱ 11
Tamko kuhusu Duma. Mtu mmoja amenita mimi kutoka Seiri, ''Mlinzi, ni kitu gani kilichobakizwa usiku?
دیده بان می‌گوید که صبح می‌آید و شام نیز. اگر پرسیدن می‌خواهید بپرسید و بازگشت نموده، بیایید.» ۱۲ 12
Mlinzi akasema, ''Asubuhi itafika na vilevile usiku. Ikiwa unataka kuuliza basi uliza; na urudi tena.''
وحی درباره عرب: ای قافله های ددانیان در جنگل عرب منزل کنید. ۱۳ 13
Tamko kuhusu Arabia. Katika jangwa la Arabia mmeutumia usiku, enyi misafara ya Dedanite.
‌ای ساکنان زمین تیما تشنگان را به آب استقبال کنید و فراریان را به خوراک ایشان پذیره شوید. ۱۴ 14
Leteni maji kwa wenye kiu; wenyeji wa nchi ya Tema, waoneni watuhumiwa kwa mikate.
زیرا که ایشان از شمشیرها فرارمی کنند. از شمشیر برهنه و کمان زه شده و ازسختی جنگ. ۱۵ 15
Maana wameukimbia upanga, kutoka upanga unaotolewa, kutoka kwenye upinde ulopinda, na kutokana na uzito wa vita.
زانرو که خداوند به من گفته است بعد ازیکسال موافق سالهای مزدوران تمامی شوکت قیدار تلف خواهد شد. ۱۶ 16
Maana hili ndilo Bwana alichosema na mimi, ''Ndani ya mwaka mmoja, kama mtu aliyeajiriwa kwa mwaka ataona, utukufu wa Kedari utakwisha.
و بقیه شماره تیراندازان و جباران بنی قیدار قلیل خواهد شدچونکه یهوه خدای اسرائیل این را گفته است. ۱۷ 17
Ni baadhi ya ya wavuta upinde, mashujaa wa Kader watabakia,'' maana Bwana, Mungu wa Israeli, amesema.

< اشعیا 21 >