< هوشع 7 >
چون اسرائیل را شفا میدادم، آنگاه گناه افرایم و شرارت سامره منکشف گردید، زیرا که مرتکب فریب شدهاند. دزدان داخل میشوند و رهزنان در بیرون تاراج مینمایند. | ۱ 1 |
kila mara nilipotaka kumponya Israeli, dhambi za Efraimu zinafichuliwa na maovu ya Samaria yanafunuliwa. Wanafanya udanganyifu, wevi huvunja nyumba, maharamia hunyangʼanya barabarani,
ودر دل خود تفکر نمی کنند که من تمامی شرارت ایشان را به یاد آوردهام. الان اعمالشان ایشان رااحاطه مینماید و آنها در نظر من واقع شده است. | ۲ 2 |
lakini hawafahamu kwamba ninakumbuka matendo yao yote mabaya. Dhambi zao zimewameza, ziko mbele zangu siku zote.
پادشاه را بشرارت خویش و سروران را به دروغهای خود شادمان میسازند. | ۳ 3 |
“Wanamfurahisha sana mfalme kwa maovu yao, wakuu wao kwa uongo wao.
جمیع ایشان زناکارند مثل تنوری که خباز آن را مشتعل سازدکه بعد از سرشتن خمیر تا مخمر شدنش ازبرانگیختن آتش باز میایستد. | ۴ 4 |
Wote ni wazinzi, wanawaka kama tanuru ambayo moto wake mwokaji hana haja ya kuuchochea kuanzia kukanda unga hadi umekwisha kuumuka.
در یوم پادشاه ما، سروران از گرمی شراب، خود را بیمار ساختند واو دست خود را به استهزاکنندگان دراز کرد. | ۵ 5 |
Katika sikukuu ya mfalme wetu wakuu wanawaka kwa mvinyo, naye anawaunga mkono wenye mizaha.
زیرا که دل خود را به مکاید خویش مثل تنورنزدیک آوردند؛ و تمامی شب خباز ایشان میخوابد و صبحگاهان آن مثل آتش ملتهب مشتعل میشود. | ۶ 6 |
Mioyo yao ni kama tanuru, wanamwendea kwa hila. Hasira yao inafoka moshi usiku kucha, wakati wa asubuhi inalipuka kama miali ya moto.
جمیع ایشان مثل تنور گرم شده، داوران خویش را میبلعند و همه پادشاهان ایشان میافتند و در میان ایشان کسی نیست که مرابخواند. | ۷ 7 |
Wote ni moto kama tanuru; wanawaangamiza watawala wao. Wafalme wake wote wanaanguka, wala hakuna yeyote kati yao aniitaye mimi.
افرایم با قومها مخلوط شده است. افرایم قرص نانی است که برگردانیده نشده است. | ۸ 8 |
“Efraimu anajichanganya na mataifa; Efraimu ni mkate ambao haukuiva.
غریبان قوتش را خوردهاند و او نمی داند. سفیدی بر مویهای او پاشیده شده است و اونمی داند. | ۹ 9 |
Wageni wananyonya nguvu zake, lakini hafahamu hilo. Nywele zake zina mvi hapa na pale, lakini hana habari.
فخر اسرائیل پیش رویش شهادت میدهد اما ایشان به یهوه خدای خود بازگشت نمی نمایند و با وجود این همه او را نمی طلبند. | ۱۰ 10 |
Kiburi cha Israeli kinashuhudia dhidi yake, lakini pamoja na haya yote harudi kwa Bwana Mungu wake wala kumtafuta.
افرایم مانند کبوتر ساده دل، بیفهم است. مصر را میخوانند و بسوی آشور میروند. | ۱۱ 11 |
“Efraimu ni kama hua, hudanganywa kwa urahisi na hana akili: mara anaita Misri, mara anageukia Ashuru.
وچون میروند من دام خود را بر ایشان میگسترانم و ایشان را مثل مرغان هوا به زیر میاندازم وایشان را بر وفق اخباری که به جماعت ایشان رسیده است، تادیب مینمایم. | ۱۲ 12 |
Wakati watakapokwenda, nitatupa wavu wangu juu yao; nitawavuta chini waanguke kama ndege wa angani. Nitakaposikia wakikusanyika pamoja, nitawanasa.
وای بر ایشان زیرا که از من فرار کردند. هلاکت بر ایشان باد زیراکه به من عصیان ورزیدند. اگرچه من ایشان رافدیه دادم، لکن به ضد من دروغ گفتند. | ۱۳ 13 |
Ole wao, kwa sababu wamepotoka kutoka kwangu! Maangamizi ni yao kwa sababu wameniasi! Ninatamani kuwakomboa, lakini wanasema uongo dhidi yangu.
و از دل خود نزد من استغاثه نمی نمایند بلکه بر بسترهای خود ولوله میکنند. برای روغن و شراب جمع شده، بر من فتنه میانگیزند. | ۱۴ 14 |
Hawanililii mimi kutoka mioyoni mwao, bali wanaomboleza vitandani mwao. Hukusanyika pamoja kwa ajili ya nafaka na divai mpya, lakini hugeukia mbali nami.
و اگرچه من بازوهای ایشان را تعلیم دادم و تقویت نمودم لیکن با من بداندیشی نمودند. | ۱۵ 15 |
Niliwafundisha na kuwatia nguvu, lakini wanapanga mabaya dhidi yangu.
ایشان رجوع میکنند اما نه به حضرت اعلی. مثل کمان خطاکننده شدهاند. سروران ایشان بهسبب غیظزبان خویش به شمشیر میافتند و بهسبب همین در زمین مصر ایشان را استهزا خواهند نمود. | ۱۶ 16 |
Hawamgeukii Yeye Aliye Juu Sana, wako kama upinde wenye kasoro. Viongozi wao wataanguka kwa upanga kwa sababu ya maneno yao ya jeuri. Kwa ajili ya hili watadhihakiwa katika nchi ya Misri.