< هوشع 5 >

ای کاهنان این را بشنوید و‌ای خاندان اسرائیل اصغا نمایید و‌ای خاندان پادشاهان گوش گیرید، زیرا که این فتوی برای شماست چونکه شما در مصفه دام شدید و توری گسترده شده، بر تابور. ۱ 1
Sikilizeni haya, makuhani! kuweni makini, nyumba ya Israeli! Sikilizeni, nyumba ya mfalme! Kwa maana hukumu itakuja juu yenu nyote. Mmekuwa mtego huko Mizpa na wavu uliosambazwa juu ya Tabori.
عاصیان در کشتار مبالغه نموده‌اند؛ پس من همگی ایشان را تادیب خواهم نمود. ۲ 2
Waasi husimama sana katika mauaji, lakini nitawaadhibu wote.
من افرایم را می‌شناسم و اسرائیل از من مخفی نیست زیرا که حال، تو‌ای افرایم مرتکب زنا شده‌ای و اسرائیل خویشتن را نجس ساخته است. ۳ 3
Najua Efraimu, na Israeli hajajificha kwangu. Efraimu, sasa umekuwa kama kahaba; Israeli ni unajisi.
کارهای ایشان مانع می‌شود که بسوی خدا بازگشت نمایند چونکه روح زناکاری درقلب ایشان است و خداوند را نمی شناسند. ۴ 4
Matendo yao hayawataruhusu kumgeukia Mungu, maana mawazo ya uzinzi yako ndani yao, na hawatamjua Bwana.
وفخر اسرائیل پیش روی ایشان شهادت می‌دهد. اسرائیل و افرایم در گناه خود می‌لغزند و یهودانیز همراه ایشان خواهد لغزید. ۵ 5
Kiburi cha Israeli kinawashuhudia; Kwa hiyo Israeli na Efraimu watajikwaa kwa hatia zao; na Yuda pia wataanguka pamoja nao.
گوسفندان وگاوان خود را می‌آورند تا خداوند را بطلبند، اما اورا نخواهند یافت چونکه خود را از ایشان دورساخته است. ۶ 6
Watakwenda pamoja na kondoo zao na ng'ombe zao kumtafuta Bwana, lakini hawatamuona, kwa kuwa amejiondoa kutoka kwao.
به خداوند خیانت ورزیده‌اند زیرافرزندان اجنبی تولید نموده‌اند. الان هلالها ایشان را با ملکهای ایشان خواهد بلعید. ۷ 7
Walikuwa wasio waaminifu kwa Bwana, kwa kuwa wamezaa watoto haramu. Sasa sherehe mpya za mwezi zitawaangamiza na mashamba yao.
در جبعه کرنا و در رامه سرنا بنوازید و دربیت آون صدا بزنید در عقب تو‌ای بنیامین. ۸ 8
Piga tarumbeta huko Gibea, na tarumbeta huko Rama. Sauti ya kilio cha vita huko Beth Aveni 'Tutakufuata, Benyamini!'
افرایم در روز عتاب خراب خواهد شد. در میان اسباط اسرائیل به یقین اعلام نمودم. ۹ 9
Efraimu itakuwa ukiwa siku ya adhabu. Miongoni mwa makabila ya Israeli nimetangaza habari itakayotokea.
سروران اسرائیل مثل نقل کنندگان حدود می‌باشند. پس خشم خویش را مثل آب بر ایشان خواهم ریخت. ۱۰ 10
Viongozi wa Yuda ni kama wale wanaondoao jiwe la mipaka. Nami nitamwaga ghadhabu yangu juu yao kama maji.
افرایم مقهور شده و در داوری کوفته گردیده است زیرا که به پیروی تقالید خرسندمی باشد. ۱۱ 11
Efraimu ameangamizwa; ameangamizwa kwa hukumu, kwa sababu ametembea kwa hiari kufuata sanamu.
بنابراین من برای افرایم مثل بیدشده‌ام و برای خاندان یهودا مانند پوسیدگی. ۱۲ 12
Kwa hiyo nitakuwa kama nondo kwa Efraimu, na kama uozo kwa nyumba ya Yuda.
چون افرایم بیماری خود را و یهودا جراحت خویش را دیدند، افرایم به آشور رفته و نزدپادشاهی که دشمن بود فرستاده است اما او شمارا شفا نمی تواند داد و جراحت شما را التیام نتواند نمود. ۱۳ 13
Efraimu alipoona ugonjwa wake, Yuda akaona jeraha lake; Efraimu akaenda Ashuru; Yuda akatuma wajumbe kwa mfalme mkuu. Lakini hakuweza kuwaponya watu au kuponya jeraha lako.
و من برای افرایم مثل شیر و برای خاندان یهودا مانند شیر ژیان خواهم بود. من خودم خواهم درید و رفته خواهم ربود ورهاننده‌ای نخواهد بود. ۱۴ 14
Kwa hiyo nitakuwa kama simba kwa Efraimu, na kama simba kwa nyumba ya Yuda. Mimi, naam mimi, nitapotea na kwenda mbali; Nitawachukua, na hakutakuwa na mtu wa kuwaokoa.
من روانه شده، به مکان خود خواهم برگشت تا ایشان به عصیان خوداعتراف نموده، روی مرا بطلبند. در تنگی خودصبح زود مرا خواهند طلبید. ۱۵ 15
Nitakwenda na kurudi mahali pangu, mpaka watambue hatia yao na kutafuta uso wangu, hata wakanitafute kwa bidii katika dhiki yao.

< هوشع 5 >