< هوشع 3 >

و خداوند مرا گفت: «بار دیگر برو و زنی راکه محبوبه شوهر خود و زانیه می‌باشد دوست بدار، چنانکه خداوند بنی‌اسرائیل رادوست می‌دارد با آنکه ایشان به خدایان غیر مایل می‌باشند و قرصهای کشمش را دوست می‌دارند.» ۱ 1
Bwana akaniambia, “Nenda, ukaonyeshe upendo wako kwa mke wako tena, ingawa amependwa na mwingine naye ni mzinzi. Mpende kama Bwana apendavyo Waisraeli, ingawa wanageukia miungu mingine na kupenda mikate mitamu ya zabibu kavu iliyowekwa wakfu.”
پس او را برای خود به پانزده مثقال نقره و یک حومر و نصف حومر جو خریدم، ۲ 2
Basi nilimnunua huyo mwanamke kwa shekeli kumi na tano za fedha, pia kwa kiasi kama cha homeri moja na nusu ya shayiri.
واو را گفتم: «برای من روزهای بسیار توقف خواهی نمود و زنا مکن و از آن مرد دیگر مباش ومن نیز از آن تو خواهم بود.» ۳ 3
Kisha nilimwambia, “Utaishi nami kwa siku nyingi, hupaswi kuwa kahaba au kuwa na uhusiano wa karibu na mtu yeyote, nami nitaishi na wewe.”
زیرا که بنی‌اسرائیل ایام بسیاری بدون پادشاه و بدون رئیس و بدون قربانی و بدون تمثال و بدون ایفود و ترافیم خواهند ماند. ۴ 4
Kwa maana Waisraeli wataishi siku nyingi bila kuwa na mfalme wala mkuu, bila kuwa na dhabihu wala mawe matakatifu, bila kisibau wala sanamu.
و بعد از آن بنی‌اسرائیل بازگشت نموده، یهوه خدای خویش و پادشاه خود داود را خواهند طلبید و در ایام بازپسین بسوی خداوند و احسان او با ترس خواهند آمد. ۵ 5
Baadaye Waisraeli watarudi na kumtafuta Bwana Mungu wao na Daudi mfalme wao. Watakuja wakitetemeka kwa Bwana na kwa baraka zake katika siku za mwisho.

< هوشع 3 >