< حزقیال 25 >
و کلام خداوند بر من نازل شده، گفت: | ۱ 1 |
Kisha neno la Yahwe likanijia, kusema,
«ای پسر انسان نظر خود را بربنی عمون بدار و به ضد ایشان نبوت نما. | ۲ 2 |
“Mwanadamu, weka uso wako juu ya watu wa Amoni na tabiri juu yao.
و به بنی عمون بگو: کلام خداوند یهوه را بشنوید! خداوند یهوه چنین میفرماید: چونکه درباره مقدس من حینی که بیعصمت شد و درباره زمین اسرائیل، حینی که ویران گردید و درباره خاندان یهودا، حینی که به اسیری رفتند هه گفتی، | ۳ 3 |
Waambie watu wa Amoni, 'Sikiliza neno la Bwana Yahwe. Hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo: Kwa sababu umesema, “Aha!” juu ya patakatifu pangu wakati palipotiwa unajisi, na juu ya nchi ya Israeli wakati ilipokuwa ukiwa, na juu ya nyumba ya Yuda wakati walipoenda utumwani,
بنابراین همانا من تو را به بنی مشرق تسلیم میکنم تا در تو تصرف نمایند. و خیمه های خودرا در میان تو زده، مسکن های خویش را در تو بر پاخواهند نمود. و ایشان میوه تو را خواهند خوردو شیر تو را خواهند نوشید. و ربه را آرامگاه شتران و (زمین ) بنی عمون را خوابگاه گله هاخواهم گردانید و خواهید دانست که من یهوه هستم. | ۴ 4 |
kwa hiyo, tazama, nitakupatia kwa watu katika mashariki kama milki yao. Watafanya kambi juu yako na kuweka mahema miongoni mwako. Watakula matunda yako na watakunywa maziwa yako.
Nitamfanya Raba malisho ya ngamia na watu wa Amoni shamba la mifugo. Kisha utajua yakwamba mimi ni Yahwe.
زیرا خداوند یهوه چنین میگوید: چونکه تو بر زمین اسرائیل دستک میزنی و پا برزمین میکوبی و به تمامی کینه دل خود شادی مینمایی، | ۶ 6 |
Kwa kuwa Bwana Yahwe asema hivi: Umepigia makofi mikono yako na kupiga chapa miguu yako, na kufurahi pamoja na dharau ndani yako dhidi ya nchi ya Israeli.
بنابراین هان من دست خود را بر تو دراز خواهم کرد و تو را تاراج امتها خواهم ساخت. و تو را از میان قومها منقطع ساخته، ازمیان کشورها نابود خواهم ساخت. و چون تو راهلاک ساخته باشم، آنگاه خواهی دانست که من یهوه هستم.» | ۷ 7 |
Kwa hiyo, tazama! Nitanyoosha mkono wangu na kukupatia kama mateka kwa mataifa. Nitakukatilia mbali kutoka watu na kukuangamiza kutoka miongoni mwa nchi! Nitakuharibu, na utajua yakwamba mimi ni Yahwe.'
خداوند یهوه چنین میگوید: «چونکه موآب و سعیر گفتهاند که اینک خاندان اسرائیل مانند جمیع امتها میباشند، | ۸ 8 |
Bwana Yahwe asema hivi, 'Kwa sababu Moabu na Seiri husema “Tazama! Nyumba ya Yuda ni kama kila taifa jingine.”
بنابراین اینک من حدود موآب را از شهرها یعنی از شهرهای حدودش که فخر زمین میباشد یعنی بیت یشیموت و بعل معون و قریه تایم مفتوح خواهم ساخت. | ۹ 9 |
Kwa hiyo, tazama! ntafungua miteremko ya Moabu, kuanzia kwenye miji yake juu ya mpaka-uzuri wa Beth Yeshimothi, Baal Meoni, na Kiriathaimu-
برای بنی مشرق آن را با بنی عمون (مفتوح خواهم ساخت ) و به تصرف ایشان خواهم داد تا بنی عمون دیگر در میان امت هامذکور نشوند. | ۱۰ 10 |
kwa watu wa mashariki waliokuwa juu ya watu wa Amoni. Nitawapatia kama milki ili kwamba watu wa Amoni hawatakumbukwa miongoni mwa mataifa.
و بر موآب داوری خواهم نمودو خواهند دانست که من یهوه میباشم.» | ۱۱ 11 |
Hivyo nitafanya hukumu juu ya Moabu, na watajua yakwamba mimi ni Yahwe.'
خداوند یهوه چنین میگوید: «از این جهت که ادوم از خاندان یهودا انتقام کشیدهاند و درانتقام کشیدن از ایشان خطایی عظیم ورزیدهاند، | ۱۲ 12 |
Bwana Yahwe asema hivi, Edomu amelipiza kisasi juu ya nyumba ya Yuda na amefanya makosa katika kufanya hivyo.
بنابراین خداوند یهوه چنین میفرماید: دست خود را برادوم دراز کرده، انسان و بهایم را از آن منقطع خواهم ساخت و آن را ویران کرده، ازتیمان تا ددان به شمشیر خواهند افتاد. | ۱۳ 13 |
Kwa hiyo, Bwana Yahwe asema hivi: Nitaunyoosha mkono wangu juu ya Edomu na kumharibu kila mtu na wanyama huko. Nitawaharibu, sehemu ya ukiwa, kutoka Temani hata Dedani. Wataanguka kwa upanga.
و بهدست قوم خود اسرائیل انتقام خود را از ادوم خواهم کشید و موافق خشم و غضب من به ادوم عمل خواهند نمود. و خداوند یهوه میگوید که انتقام مرا خواهند فهمید.» | ۱۴ 14 |
Nitaweka kisasi changu juu ya Edomu kwa mkono wa watu wangu Israeli, na watafanya kwa Edomu kulingana na hasira yangu na ghadhabu yangu, na wakitajua kisasi changu-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.'
خداوند یهوه چنین میگوید: «چونکه فلسطینیان انتقام کشیدند و با کینه دل خود انتقام سخت کشیدند تا آن را به عداوت ابدی خراب نمایند، | ۱۵ 15 |
Bwana Yahwe asema hivi, 'Wafilisti wamelipiza kisasi pamoja na uovu na kutoka ndani yao wamejaribu kuiharibu Yuda tena na tena.
بنابراین خداوند یهوه چنین میفرماید: اینک من دست خود را بر فلسطینیان دراز نموده، کریتیان را منقطع خواهم ساخت و باقی ماندگان ساحل دریا را هلاک خواهم نمود. | ۱۶ 16 |
Basi hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo: Tazam! Nitanyoosha mkono wangu dhidi ya Wafilisti, na nitakalia mbali Wakerethi na kuwaharibu mabaki yaliyobaki karibu na pwani.
و باسرزنش غضب آمیز انتقام سخت از ایشان خواهم گرفت. پس چون انتقام خود را از ایشان کشیده باشم، آنگاه خواهند دانست که من یهوه هستم.» | ۱۷ 17 |
Kwa kuwa nitalipiza kisasi kikubwa dhidi yao pamoja na matendo ya ghadhabu kubwa ya adhabu, hivyo watajua yakwamba mimi ni Yahwe, nitakapolipiza kisasi juu yao.”'