< تثنیه 4 >
پس الانای اسرائیل، فرایض و احکامی راکه من به شما تعلیم میدهم تا آنها را بجاآورید بشنوید، تا زنده بمانید و داخل شده، زمینی را که یهوه، خدای پدران شما، به شمامی دهد به تصرف آورید. | ۱ 1 |
Sasa, Israeli, sikiliza sheria na amri ambayo niko karibu kukufundisha, kuzifanya, ili kwamba uweze kuishi na kuingia ndani na kumiliki nchi ambayo Yahwe, Mungu wa baba zako, anakupa.
بر کلامی که من به شماامر میفرمایم چیزی میفزایید و چیزی از آن کم منمایید، تا اوامر یهوه خدای خود را که به شماامر میفرمایم، نگاه دارید. | ۲ 2 |
Hautaongeza maneno ambayo nakuamuru, wala hautayapunguza, ili kwamba uweze kushika amri ya Yahwe Mungu wako ambazo naenda kukuamuru.
چشمان شما آنچه راخداوند در بعل فغور کرد دید، زیرا هرکه پیروی بعل فغور کرد، یهوه خدای تو، او را از میان توهلاک ساخت. | ۳ 3 |
Macho yako yamekwisha ona nini Yahwe alifanya kwa sababu ya Baal Peor, kwa kuwa watu wote waliomfuata Baali Peor, Yahwe Mungu wenu amekwisha kuwaangamiza kutoka miongoni mwenu.
اما جمیع شما که به یهوه خدای خود ملصق شدید، امروز زنده ماندید. | ۴ 4 |
Lakini walioambatana na Yahwe Mungu wenu wako hai leo, kila moja wenu.
اینک چنانکه یهوه، خدایم، مرا امر فرموده است، فرایض و احکام به شما تعلیم نمودم، تا درزمینی که شما داخل آن شده، به تصرف میآورید، چنان عمل نمایید. | ۵ 5 |
Tazama, nimewafundisha sheria na amri, kama Yahwe Mungu wangu alivyoniamuru mimi, ila kwamba mfanye hivyo katikati mwa nchi ambayo mnaiendea ili kusudi muimiliki.
پس آنها را نگاه داشته، بجا آورید زیرا که این حکمت و فطانت شماست، در نظر قومهایی که چون این فرایض رابشنوند، خواهند گفت: «هرآینه این طایفهای بزرگ، قوم حکیم، و فطانت پیشهاند.» | ۶ 6 |
Kwa hiyo washikilieni na kuwafanya, kwa kuwa hii ni hekima yenu na uelewa wenu mbele ya macho ya watu watakaosikia amri hizi zote na kusema, “Hakika taifa hili kubwa lina watu wa hekima na uelewa.'
زیرا کدام قوم بزرگ است که خدا نزدیک ایشان باشدچنانکه یهوه، خدای ما است، در هروقت که نزداو دعا میکنیم؟ | ۷ 7 |
Kuna taifa gani jingine la vile liko hapo lina mungu karibu nao, kama Yahwe Mungu wetu tunapomwita wakati wowote?
و کدام طایفه بزرگ است که فرایض و احکام عادلهای مثل تمام این شریعتی که من امروز پیش شما میگذارم، دارند؟ | ۸ 8 |
Kuna taifa kubwa gani jingine liko hapo ambalo lina sheria na amri ili kwamba haki pamoja na sheria ambayo ninaweka mbele yenu leo?
لیکن احتراز نما و خویشتن را بسیار متوجه باش، مبادا این چیزهایی را که چشمانت دیده است فراموش کنی و مبادا اینها در تمامی ایام عمرت از دل تو محو شود، بلکه آنها را به پسرانت و پسران پسرانت تعلیم ده. | ۹ 9 |
Zingatia peke na kuwa makini kujilinda, ili usisahau mambo ambayo macho yako yameona, ili kwamba yasiuwache moyo wako kwa siku zote za maisha yako. Badala yake, yafanye yajulikane kwa watoto wako na wana watoto wako.
در روزی که درحضور یهوه خدای خود در حوریب ایستاده بودی و خداوند به من گفت: «قوم را نزد من جمع کن تا کلمات خود را به ایشان بشنوانم، تا بیاموزندکه در تمامی روزهایی که برروی زمین زنده باشنداز من بترسند، و پسران خود را تعلیم دهند.» | ۱۰ 10 |
Kuhusu siku ile uliyosimama mbele ya Yahwe Mungu wako katika Horeb, wakati Yahwe alisema nami, 'Nikusanyie watu, na nitawafanya wasikia maneno yangu, ili kwamba waweze kujifunza kuniogopa mimi siku zote ambazo wanazoishi duniani, na kwamba waweze kuwafundisha watoto wao.
وشما نزدیک آمده، زیر کوه ایستادید، و کوه تا به وسط آسمان به آتش و تاریکی و ابرها و ظلمت غلیظ میسوخت. | ۱۱ 11 |
Mlikuja karibu na kusimama katika wayo wa mlima. Mlima uliwaka moto kwenye moyo wa mbinguni, pamoja na giza, mawingu na giza jembamba.
و خداوند با شما از میان آتش متکلم شد، و شما آواز کلمات را شنیدید، لیکن صورتی ندیدید، بلکه فقط آواز را شنیدید. | ۱۲ 12 |
Yahwe alizungumza katikati ya moto, ulisikia suati pamoja na maneno yake, lakini hakuona umbo, ila ulisikia sauti peke.
و عهد خود را که شما را به نگاه داشتن آن مامور فرمود، برای شما بیان کرد، یعنی ده کلمه را و آنها را بر دو لوح سنگ نوشت. | ۱۳ 13 |
Alitangaza kwenu agano lake ambalo aliwaamuru ninyi kulifanya, amri kumi. Aliziandika kwenye vibao viwili vya mawe.
و خداوندمرا در آنوقت امر فرمود که فرایض و احکام را به شما تعلیم دهم، تا آنها را در زمینی که برای تصرفش به آن عبور میکنید، بجا آورید. | ۱۴ 14 |
Yahwe aliniamuru mimi kwa wakati huo kuwafundisha sheria na amri, ili kwamba muweze kuzifanya katika nchi mnaoivuka kwenda kuimiliki.
پس خویشتن را بسیار متوجه باشید، زیرادر روزی که خداوند با شما در حوریب از میان آتش تکلم مینمود، هیچ صورتی ندیدید. | ۱۵ 15 |
Basi iweni waangalifu ninyi wenyewe - kwa kuwa mliona hakuna namna ya umbo siku hiyo ambapo Yahweh alizungumza nanyi huko Horeb kutoka katikati mwa moto,
مبادا فاسد شوید و برای خود صورت تراشیده، یا تمثال هر شکلی از شبیه ذکور یا اناث بسازید. | ۱۶ 16 |
ili kwamba usiharibike na kuchonga umbo katika sura ya kiumbe chochote, umbo la mwanaume au mtu wa kike,
یا شبیه هر بهیمهای که بر روی زمین است، یا شبیه هر مرغ بالدار که در آسمان میپرد. | ۱۷ 17 |
au sura ya mnyama aliye katika nchi, au sura ya ndege yoyote wa mabawa arukae katika anga, au
یا شبیه هر خزندهای بر زمین یا شبیه هرماهیای که در آبهای زیر زمین است. | ۱۸ 18 |
sura ya kitu chochote kitambaacho katika ardhi, au sura ya samaki yoyote katika maji chini ya ardhi.
و مباداچشمان خود را بسوی آسمان بلند کنی، و آفتاب و ماه و ستارگان و جمیع جنود آسمان را دیده، فریفته شوی و سجده کرده، آنها را که یهوه خدایت برای تمامی قومهایی که زیر تمام آسمانند، تقسیم کرده است، عبادت نمایی. | ۱۹ 19 |
Hautainua macho yako juu mbinguni na kutazama jua, mwezi, au nyota - jeshi lote la mbinguni- ukusogezwa na kuviabudu na kuvisujudia- vile vyote ambavyo Yahwe Mungu wenu amewapa hisa watu wote walio chini ya anga lote.
لیکن خداوند شما را گرفته، از کوره آهن ازمصر بیرون آورد تا برای او قوم میراث باشید، چنانکه امروز هستید. | ۲۰ 20 |
Lakini Yahwe amewatoa ninyi na kuwaleta nje ya tanuru la chuma, nje ya Misri, kuwa kwake watu wa urithi wake, kama mlivyo leo.
و خداوند بخاطر شما بر من غضبناک شده، قسم خورد که از اردن عبور نکنم و به آن زمین نیکو که یهوه خدایت به تو برای ملکیت میدهد، داخل نشوم. | ۲۱ 21 |
Yahwe alinikasirikia mimi kwa sababu yenu; aliapa kwamba nisiende ng'ambo ya Yordani, na kwamba nisiende kwenye nchi nzuri, nchi ambayo Yahwe Mungu wenu anawapa ninyi kama urithi.
بلکه من در این زمین خواهم مرد واز اردن عبور نخواهم کرد، لیکن شما عبورخواهید کرد، و آن زمین نیکو را به تصرف خواهیدآورد. | ۲۲ 22 |
Badala yake, ninapaswa kufa katika nchi hii, sipaswi kwenda ng'ambo ya Yordani, lakini mtaenda ng'ambo na kuimiliki nchi nzuri
پس احتیاط نمایید، مبادا عهد یهوه، خدای خود را که با شما بسته است فراموش نمایید، و صورت تراشیده یا شبیه هر چیزی که یهوه خدایت به تو نهی کرده است، برای خودبسازی. | ۲۳ 23 |
Zingatia ninyi wenyewe, ili kwamba msisahau agano la Yahwe Mungu wenu, alilolifanya pamoja nanyi, na kujichongea mfano wa sanamu katika uombo la kitu chochote ambacho Yahwe Mungu wenu amewakataza kufanya.
زیرا که یهوه خدایت آتش سوزنده وخدای غیور است. | ۲۴ 24 |
Kwa kuwa Yahwe Mungu wenu ni moto ulao, Mungu wa wivu.
چون پسران و پسران پسران را تولیدنموده، و در زمین مدتی ساکن باشید، اگر فاسدشده، صورت تراشیده، و شبیه هرچیزی رابسازید و آنچه در نظر یهوه خدای شما بد است بجا آورده، او را غضبناک سازید، | ۲۵ 25 |
Wakati mnapozaa watoto na wana watoto, na wakati mtakapo kuwa katika nchi kwa muda mrefu, na kama mtaharibikiwa ninyi na kuchonga umbo la umbo lolote, na kufanya uovu machoni pa Yahwe Mungu wenu, kumchoche katika hasira-
آسمان وزمین را امروز بر شما شاهد میآورم که از آن زمینی که برای تصرف آن از اردن بسوی آن عبورمی کنید البته هلاک خواهید شد. و روزهای خودرا در آن طویل نخواهید ساخت، بلکه بالکل هلاک خواهید شد. | ۲۶ 26 |
Nitaita nchi na mbingu kushuhudia dhidi yenu leo kwa kuwa mapema kabisa mtaangamia kutoka katika nchi ambayo mnaiendea huko ng'ambo ya Yordani kuimiliki, hamtazidisha siku zenu ndani yake, lakini mtaangamizwa kabisa.
و خداوند شما را در میان قومها پراکنده خواهد نمود، و شما در میان طوایفی که خداوند شما را به آنجا میبرد، قلیل العدد خواهید ماند. | ۲۷ 27 |
Yahwe atawatawanyisha ninyi miongoni mwa watu, na mtabaki wachache ki-idadi miongoni mwa mataifa, ambapo Yahwe atawaongoza mbali.
و در آنجا خدایان ساخته شده دست انسان از چوپ و سنگ راعبادت خواهید کرد، که نمی بینند و نمی شنوند ونمی خورند و نمی بویند. | ۲۸ 28 |
Huko mtatumikia miungu mingine, kazi ya mikono ya watu, mbao na mawe, ambayo wala haioni, kusikia, wala kunusa.
لیکن اگر از آنجا یهوه خدای خود را بطلبی، او را خواهی یافت. بشرطی که او را به تمامی دل و به تمامی جان خود تفحص نمایی. | ۲۹ 29 |
Lakini kuanzia hapo mtamtafuta Yahwe Mungu wenu, na mtampata, wakati mtakapomtafuta kwa moyo wenu wote na roho zenu zote.
چون در تنگی گرفتار شوی، و جمیع این وقایع برتو عارض شود، در ایام آخر بسوی یهوه خدای خود برگشته، آواز او را خواهی شنید. | ۳۰ 30 |
Wakati mnakuwa katika dhiki, na wakati haya yote yatakuwa yamekuja kwenu, katika siku za badae mtamrudia Yahwe Mungu wenu na kusikia sauti yake.
زیرا که یهوه خدای تو خدای رحیم است، تو را ترک نخواهد کرد و تو را هلاک نخواهد نمود، و عهد پدرانت را که برای ایشان قسم خورده بود، فراموش نخواهد کرد. | ۳۱ 31 |
Kwa kuwa Yahwe Mungu wenu ni Mungu wa rehema; hatawaangusha wala kuwaangamiza ninyi, wala kusahau agano la baba zenu ambalo aliapa kwao.
زیرا که از ایام پیشین که قبل از تو بوده است از روزی که خدا آدم را برزمین آفرید، و از یک کناره آسمان تا به کناره دیگر بپرس که آیا مثل این امر عظیم واقع شده یا مثل این شنیده شده است؟ | ۳۲ 32 |
Kwa ajili ya kuuliza sasa kuhusu siku zilizopita ambazo zilikuwa mbele yenu: tangu siku ile ambayo Mungu alimuumba mtu katika nchi, kutoka pande moja ya mbingu hadi nyingine, uliza kama kumekuwepo chochote kama hiki kikubwa, au chochote kama hicho imewahi kusikiwa?
آیا قومی هرگز آواز خدا را که از میان آتش متکلم شود، شنیده باشند و زنده بمانند، چنانکه تو شنیدی؟ | ۳۳ 33 |
Ilishawahi kutokea watu kusikia sauti ya Mungu kuongea katikati ya moto, kama mlivyosikia, na kuishi?
و آیا خدا عزیمت کرد که برود وقومی برای خود از میان قوم دیگر بگیرد باتجربهها و آیات و معجزات و جنگ و دست قوی و بازوی دراز شده و ترسهای عظیم، موافق هرآنچه یهوه خدای شما برای شما در مصر درنظر شما بعمل آورد؟ | ۳۴ 34 |
Au Mungu ameshawahi kujaribu kwenda na kujichukulia kwa ajili yake taifa kutoka miongoni mwa taifa, kwa majaribu, ishara na maajabu na kwa vita, na mkono wa nguvu, na mkono ulionyoshwa, na magaidi wakuu, vile vyovyote ambavyo Yahwe Mungu wenu alifanya kwa ajili yenu Misri mbele ya macho yenu?
این برتو ظاهر شد تابدانی که یهوه خداست و غیر از او دیگری نیست. | ۳۵ 35 |
Kwenu haya yalioneshwa, ili muweze kujua kuwa Yahwe ni Mungu, na kwamba hakuna mwingine zaidi yake.
از آسمان آواز خود را به تو شنوانید تا تو راتادیب نماید، و برزمین آتش عظیم خود را به تونشان داد و کلام او را از میان آتش شنیدی. | ۳۶ 36 |
Toka mbinguni alifanya msikie sauti yake, ili kwamba aweze kuwaelekeza, juu ya nchi aliwafanya muone moto wake mkuu, mlisikia maneno yake toka katikati ya moto.
و ازاین جهت که پدران تو را دوست داشته، ذریت ایشان را بعد از ایشان برگزیده بود، تو را به حضرت خود با قوت عظیم از مصر بیرون آورد. | ۳۷ 37 |
Kwa sababu aliwapenda baba zenu, alichagua wazao wao baada yao, na kuwatoa ninyi Misri kwa uwepo wake, kwa nguvu yake kubwa,
تا امتهای بزرگتر و عظیم تر از تو را پیش روی تو بیرون نماید و تو را درآورده، زمین ایشان رابرای ملکیت به تو دهد، چنانکه امروز شده است. | ۳۸ 38 |
ili kusudi awatowe kutoka mbele ya mataifa makubwa na yenye nguvu kuliko ninyi, kuwaleta ndani, kuwapa ninyi nchi yao kama urithi, hivi leo.
لهذا امروز بدان و دردل خود نگاه دار که یهوه خداست، بالا در آسمان و پایین برروی زمین ودیگری نیست. | ۳۹ 39 |
Tambua hivi leo, weka kwenye moyo wako, Yahwe ni Mungu juu ya mbingu na chini ya dunia, hakuna mwingine yeyote.
و فرایض و اوامر او را که من امروز به تو امر میفرمایم نگاهدار، تا تو را و بعداز تو فرزندان تو را نیکو باشد و تا روزهای خود رابر زمینی که یهوه خدایت به تو میدهد تا به ابدطویل نمایی. | ۴۰ 40 |
Mtazishika sheria zake na amri zake ambazo nawaamuru leo, ili kwamba iweze kuwa vizuri kwenu na watoto wenu baada yenu, na kwamba muweze kuongeza siku zenu katika nchi ambayo Yahwe Mungu wenu amewapa milele.”
آنگاه موسی سه شهر به آن طرف اردن بسوی مشرق آفتاب جدا کرد. | ۴۱ 41 |
Kisha Musa alichagua miji mitatu mashariki mwa Yordani,
تا قاتلی که همسایه خود را نادانسته کشته باشد و پیشتر باوی بغض نداشته به آنها فرار کند، و به یکی از این شهرها فرار کرده، زنده ماند. | ۴۲ 42 |
ili kwamba yoyote aweze kukimbia kati ya moja yao kama imemuua mtu mwingine kwa ajili, pasipo kuwa adui hapo awali. Kwa kukimbilia kwenye moja ya miji hii, atakuwa amenusurika.
یعنی باصر دربیابان، در زمین همواری به جهت روبینیان، وراموت در جلعاد به جهت جادیان، و جولان درباشان به جهت منسیان. | ۴۳ 43 |
Walikuwa: Bezeri katika jangwa, nchi tambarare, kwa Warubenites; Ramothi huko Gileadi, kwa Gadites; na Golani huko Bashani, kwa Manassites.
و این است شریعتی که موسی پیش روی بنیاسرائیل نهاد. | ۴۴ 44 |
Hii ni sheria ambayo Musa aliweka mbele ya watu wa Israeli,
این است شهادات و فرایض و احکامی که موسی به بنیاسرائیل گفت، وقتی که ایشان از مصر بیرون آمدند. | ۴۵ 45 |
hizi ni amri za agano, sheria, na amri zingine alizungumza na watu wa Israeli wakati walipotoka Misri,
به آنطرف اردن در دره مقابل بیت فغور در زمین سیحون، ملک اموریان که در حشبون ساکن بود، و موسی وبنیاسرائیل چون از مصر بیرون آمده بودند او رامغلوب ساختند. | ۴۶ 46 |
pindi walikuwa Mashariki mwa Yordani, katika bonde mkabala wa Beth Peori, katika nchi ya Sihoni, mfalme wa Amorites, aliyewahi kuishi Heshbon, ambaye Musa na watu wa Israeli waliwahi kumshinda wakati walipotoka Misri.
و زمین او را و زمین عوج ملک باشان را، دو ملک اموریانی که به آنطرف اردن بسوی مشرق آفتاب بودند، به تصرف آوردند. | ۴۷ 47 |
Walichukua nchi yake kama urithi, na nchi ya Ogi mfalme wa Bashani- hawa, wafalme wawili wa Amorites, waliokuwa ng'ambo ya pili ya Yordani kuelekea Mashariki.
از عروعیر که بر کناره وادی ارنون است تا جبل سیئون که حرمون باشد. | ۴۸ 48 |
Himaya hii ilienda kutoka Aroer, katika ukingo wa bonde la Arnon, kwa mlima wa Sion (mlima Hermon),
و تمامی عربه به آنطرف اردن بسوی مشرق تا دریای عربه زیر دامنه های فسجه. | ۴۹ 49 |
na ilijumuisha tambarare zote za bonde la mto Yordani, Mashariki mwa ng'ambo ya pili ya Yordani, kuelekea bahari ya Arabah, kuelekea miteremko ya mlima Pisgah.