< دوم تواریخ 17 >

و پسرش یهوشافاط در جای او پادشاه شد و خود را به ضد اسرائیل تقویت داد. ۱ 1
Yehoshafati mwana wa Asa akawa mfalme katika nafasi yake. Yehoshafati akajiimarisha dhidi ya Israeli.
و سپاهیان در تمامی شهرهای حصارداریهودا گذاشت و قراولان در زمین یهودا و درشهرهای افرایم که پدرش آسا گرفته بود قرار داد. ۲ 2
Akaweka majeshi katika miji yote Yuda yenye ngome, na akaweka magereza katika nchi ya Yuda na katika miji ya Efraimu, ambayo Asa baba yake alikuwa ameiteka.
و خداوند با یهوشافاط می‌بود زیرا که درطریقهای اول پدر خود داود سلوک می‌کرد و ازبعلیم طلب نمی نمود. ۳ 3
Yahwe alikuwa pamoja na Yehoshafati kwa sababu alitembea katika njia za kwanza za baba yake Daudi, na hakuwatafuta Mabaali. (Baadhi ya mandiko ya kale hayana “Daudi”, na baadhi ya matoleo ya kisasa yameacha hili jina “Daudi).
بلکه خدای پدر خویش را طلبیده، در اوامر وی سلوک می‌نمود و نه موافق اعمال اسرائیل. ۴ 4
Badala yake, alimtegemea Mungu wa baba yake, na alitembea katika amri zake, siyo katika tabia ya Israeli.
پس خداوند سلطنت را دردستش استوار ساخت و تمامی یهودا هدایا برای یهوشافاط آوردند و دولت و حشمت عظیمی پیدا کرد. ۵ 5
Kwa hiyo Yahwe akaimarisha sheria katika mkono wake; Yuda wote wakaleta kodi kwa Yehoshafati. Alikuwa na utajiri na heshima kubwa.
و دلش به طریقهای خداوند رفیع شد، و نیز مکانهای بلند و اشیره‌ها را از یهودا دور کرد. ۶ 6
Moyo wake ulikuwa umejikita katika njia za Yahwe. Pia aliziondoa sehemu za juu na Maashera mbali na Yuda.
و در سال سوم از سلطنت خود، سروران خویش را یعنی بنحایل و عوبدیا و زکریا و نتنئیل و میکایا را فرستاد تا در شهرهای یهودا تعلیم دهند. ۷ 7
Katika mwaka wa tatu wa utawala wake aliwatuma wakuu wake Ben-haili, Obadia, Zekaria, Nethania, na Mikaya, ili wafundishe katika miji ya Yuda.
و با ایشان بعضی از لاویان یعنی شمعیا ونتنیا و زبدیا و عسائیل و شمیراموت و یهوناتان وادنیا و طوبیا و توب ادنیا را که لاویان بودند، فرستاد و با ایشان الیشمع و یهورام کهنه را. ۸ 8
Pamoja nao walikuwepo Walawi: Shemaya, Nethanieli, Zebadia, Asaheli, Shemiramothi, Yehonathani, Adoniya, Tobia, na Tob-adonia, pamoja nao walikuwepo makuhani Elishama na Yehoramu.
پس ایشان در یهودا تعلیم دادند و سفر تورات خداوند را با خود داشتند، و در همه شهرهای یهودا گردش کرده، قوم را تعلیم می‌دادند. ۹ 9
Walifundisha katika Yuda, wakiwa na kitabau cha sheria ya Yahwe. Wakaenda karibu miji yote ya Yuda na kufundisha miongoni mwa watu.
و ترس خداوند بر همه ممالک کشورها که در اطراف یهودا بودند مستولی گردید تا بایهوشافاط جنگ نکردند. ۱۰ 10
Hofu ya Yahwe ikashuka juu ya falme zote za nchi, zilizouzunguka Yuda, kwa hiyo hazikufanya vita dhidi ya Yehoshafati.
و بعضی ازفلسطینیان، هدایا و نقره جزیه را برای یهوشافاطآوردند و عربها نیز از مواشی هفت هزار و هفتصدقوچ و هفت هزار و هفتصد بز نر برای او آوردند. ۱۱ 11
Baadhi ya Wafilisti wakamletea Yehoshafati zawadi, fedha kama kodi. Waarabu pia wakamletea makundi, 7, 700 kondoo waume, na mbuzi 7, 770.
پس یهوشافاط ترقی نموده، بسیار بزرگ شد و قلعه‌ها و شهرهای خزانه در یهودا بنا نمود. ۱۲ 12
Yehoshafati akawa na nguvu sana.
ودر شهرهای یهودا کارهای بسیار کرد و مردان جنگ آزموده و شجاعان قوی در اورشلیم داشت. ۱۳ 13
Akajenga ngome na miji ya maghala katika Yuda. Alikuwa na kazi nyingi katika miji ya Yuda, na wanajeshsi—imara, wanaume hodari—katika Yerusalemu.
و شماره ایشان برحسب خاندان آبای ایشان این است: یعنی از یهودا سرداران هزاره که رئیس ایشان ادنه بود و با او سیصد هزار شجاع قوی بودند. ۱۴ 14
Hapa ni rodha yao, wamepangwa kwa majina ya nyumba za baba zo: Kutoka Yuda, maakida wa maelfu; Adna yule jemedari, na pamoja naye wanaume wa kwenda vitani 300, 000;
و بعد از، او یهوحانان رئیس بود وبا او دویست و هشتاد هزار نفر بودند. ۱۵ 15
akifuatiwa na Yehonani jemedari, na pamoja naye wanaume 280, 00;
و بعد ازاو، عمسیا ابن زکری بود که خویشن را برای خداوند نذر کرده بود و با او دویست هزار شجاع قوی بودند. ۱۶ 16
akifuatiwa na Amasia mwana wa Zikri, ambaye kwa hiari alijitoa kumtumikia Yahwe; na pamoja naye wanaume wa kwenda vitani 200, 000.
و از بنیامین، الیاداع که شجاع قوی بود و با او دویست هزار نفر مسلح به کمان و سپربودند. ۱۷ 17
Kutoka Benyamini: Eliada mtu jasiri, na pamoja naye watu 200, 000 waliovaa upinde na ngao;
و بعد از او یهوزاباد بود و با او صد وهشتاد هزار مرد مهیای جنگ بودند. ۱۸ 18
akifutiwa na Yehozabadi, na pamoja naye askari 180, 000 waliotayari kwa vita.
اینان خدام پادشاه بودند، سوای آنانی که پادشاه درتمامی یهودا در شهرهای حصاردار قرار داده بود. ۱۹ 19
Hawa walikuwa ni wale ambao walimtumikia mfalme, miongoni mwao wale ambao mfalme aliwaweka katika miji ya ngome katika Yuda yote.

< دوم تواریخ 17 >