< اول تواریخ 3 >

و پسران داود که براي او در حَبرُون زاييده شدند، اينانند: نخست زاده اش اَمنون از اَخينُوعِم يزرَعِيليه؛ و دومين دانيال از اَبِيجايلِ کَرمَلِيه؛ ۱ 1
Hawa ndio waliokuwa wana wa Daudi waliozaliwa huko Hebroni: Mzaliwa wa kwanza alikuwa Amnoni ambaye mama yake aliitwa Ahinoamu wa Yezreeli; wa pili, Danieli ambaye mama yake alikuwa Abigaili wa Karmeli;
و سومين ابشالوم پسر مَعکَه دختر تَلماي پادشاه جَشور؛ و چهارمين اُدُونيا پسر حَجّيت. ۲ 2
wa tatu alikuwa Absalomu, ambaye mama yake alikuwa Maaka, binti Talmai mfalme wa Geshuri; wa nne, Adoniya, ambaye mama yake alikuwa Hagithi;
و پنجمين شَفَطيا از اَبيطال و ششمين يتَرعام از زن او عجلَه. ۳ 3
wa tano alikuwa Shefatia ambaye mama yake alikuwa Abitali; wa sita alikuwa Ithreamu, aliyezaliwa na mke wake Egla.
اين شش براي او در حَبرون زاييده شدند که در آنجا هفت سال و شش ماه سلطنت نمود و در اورشليم سي سه سال سلطنت کرد. ۴ 4
Hawa sita walizaliwa huko Hebroni ambako Daudi alitawala kwa miaka saba na miezi sita. Daudi alitawala Yerusalemu kwa miaka thelathini na mitatu,
و اينها براي وي در اورشليم زاييده شدند: شِمعي و شوباب و ناتان و سُليمان. اين چهار از بَتشُوع دخترعَمّيئيل بودند. ۵ 5
nao hawa ndio watoto wa Daudi waliozaliwa huko Yerusalemu: mkewe Bathsheba, binti Amieli, alimzalia Shamua, Shobabu, Nathani na Solomoni.
ويبِحار و اَليشامَع و اَليفالَط. ۶ 6
Pia kulikuwa na wana wengine: Ibihari, Elishua, Elifeleti,
و نُوجَه و نافَج و يافيع. ۷ 7
Noga, Nefegi, Yafia,
و اَلِشَمَع و اَلياداع و اَلِيفَلَط که نه نفر باشند. ۸ 8
Elishama, Eliada na Elifeleti; wote walikuwa tisa.
همه اينها پسران داود بودند سواي پسران مُتعه ها. و خواهر ايشان تامار بود. ۹ 9
Hawa wote walikuwa wana wa Daudi, mbali na wale wana waliozaliwa na masuria. Naye Tamari alikuwa dada yao.
و پسرسُليمان، رَحَبعام و پسر او ابّيا و پسر او آسا و پسر اويهُوشافاط. ۱۰ 10
Mwana wa Solomoni alikuwa Rehoboamu, mwanawe huyo alikuwa Abiya, mwanawe huyo alikuwa Yehoshafati, mwanawe huyo alikuwa Asa,
و پسر او يورام و پسر او اَخَزيا و پسر او يوآش. ۱۱ 11
mwanawe huyo alikuwa Yehoramu, mwanawe huyo alikuwa Ahazia, mwanawe huyo alikuwa Yoashi,
و پسر او اَمَصيا و پسر او عَزَريا وپسر او يوتام. ۱۲ 12
mwanawe huyo alikuwa Amazia, mwanawe huyo alikuwa Azaria, mwanawe huyo alikuwa Yothamu,
و پسر او آحاز و پسر او حِزقيا و پسر او مَنَّسي. ۱۳ 13
mwanawe huyo alikuwa Ahazi, mwanawe huyo alikuwa Hezekia, mwanawe huyo alikuwa Manase,
و پسر او آمون و پسر او يوشيا. ۱۴ 14
mwanawe huyo alikuwa Amoni na mwanawe huyo alikuwa Yosia.
و پسران يوشيا نخست زاده اش يوحانان و دومين يهُوياقيم و سومين صِدقَيا و چهارمين شَلّوم. ۱۵ 15
Wana wa Yosia walikuwa: Yohanani mzaliwa wake wa kwanza, Yehoyakimu mwanawe wa pili, wa tatu Sedekia, wa nne Shalumu.
و پسران يهُوياقيم پسر او يکُنيا و پسر او صِدقَيا. ۱۶ 16
Walioingia mahali pa Yehoyakimu kama wafalme ni: Yekonia mwanawe, na Sedekia.
و پسران يکُنيا اَشّير و پسر او شأَلِتيئيل. ۱۷ 17
Hawa ndio waliokuwa wazao wa Yekonia aliyekuwa mateka: Shealtieli mwanawe,
و مَلکيرام و فَدايا و شَنأَصَّر و يقَميا و هوشاماع و نَدَبيا. ۱۸ 18
Malkiramu, Pedaya, Shenasari, Yekamia, Hoshama na Nedabia.
و پسران فَدايا زَرُبّابِل و شِمعي و پسران زَرُبّابِل مَشُلاّم وحَنَنيا و خواهرايشان شَلُوميت بود. ۱۹ 19
Wana wa Pedaya walikuwa: Zerubabeli na Shimei. Wana wa Zerubabeli walikuwa: Meshulamu na Hanania. Shelomithi alikuwa dada yao.
و حَشُوبَه و اُوهَل و بَرَخِيا و حَسَديا و يوشَب حَسَد که پنج نفر باشند. ۲۰ 20
Pia walikuwepo wengine watano: Hashuba, Oheli, Berekia, Hasadia na Yushab-Hesedi.
و پسران حَنَنيا فَلَطيا و اِشعيا، بني رفايا و بني اَرنان و بني عُوبَديا و بني شَکُنيا. ۲۱ 21
Wazao wa Hanania walikuwa: Pelatia na Yeshaya, na wana wa Refaya, na wana wa Arnani, na wana wa Obadia, na wana wa Shekania.
و شَکُنيا شَمَعيا و پسران شَمَعيا، حَطّوش و يبحآل و باريح و نَعَريا و شافاط که شش باشند. ۲۲ 22
Wazao wa Shekania: Shemaya na wanawe: Hatushi, Igali, Baria, Nearia na Shafati; jumla yao walikuwa sita.
و پسران نَعَريا اَليوعيناي و حِزقيا و عَزريقام که سه باشند. ۲۳ 23
Wana wa Nearia walikuwa: Elioenai, Hizkia na Azrikamu; jumla yao watatu.
و بني اَليوعيناي هُودايا و اَلياشيب و فَلايا و عَقُّوب و يوحانان و دَلاياع و عَناني که هفت باشند. ۲۴ 24
Wana wa Elioenai walikuwa: Hodavia, Eliashibu, Pelaya, Akubu, Yohanani, Delaya na Anani; jumla yao wote saba.

< اول تواریخ 3 >