< اول تواریخ 25 >

و داود و سرداران لشکر بعضي از پسران آساف و هِيمان و يدُوتُون را به جهت خدمت جدا ساختند تا با بربط و عود و سنج نبوت نمايند؛ و شماره آناني که بر حسب خدمت خود به کار مي پرداختند اين است: ۱ 1
Daudi, pamoja na majemadari wa jeshi, wakawatenga baadhi ya wana wa Asafu, wana wa Hemani na wana wa Yeduthuni, kwa ajili ya huduma ya kutoa unabii, wakitumia vinubi, zeze na matoazi. Hii ndiyo orodha ya watu waliofanya huduma hii:
و اما از بني آساف، زَکُّور و يوسف و نَتَنيا و اَشرَئيلَه پسران آساف زير حکم آساف بودند که بر حسب فرمان پادشاه نبوت مي نمود. ۲ 2
Kutoka kwa wana wa Asafu walikuwa: Zakuri, Yosefu, Nethania na Asarela. Wana wa Asafu walikuwa chini ya usimamizi wa Asafu, ambaye alitoa unabii chini ya usimamizi wa mfalme.
و از يدُوتُون، پسران يدُوتون جَدَليا و صَرِي و اَشعيا و حَشَبيا و مَتَّتيا شش نفر زير حکم پدر خويش يدُوتُون با بربطها بودند که با حمد و تسبيح خداوند نبوت مي نمود. ۳ 3
Wana wa Yeduthuni walikuwa sita: Gedalia, Seri, Yeshaya, Shimei, Hashabia, na Matithia, nao walikuwa chini ya usimamizi wa baba yao Yeduthuni, wao walikuwa wakitoa unabii wakitumia vinubi, wakimshukuru na kumtukuza Bwana.
و از هَيمان، پسران هَيمان بُقِّيا و مَتَنيا و عُزّيئيل و شَبُوئيل و يريموت و حَنَنيا و حَناني و اَلِيآتَه و جدَّلتِي و رُومَمتِي عَزَر و يشبِقاشَه و مَلُّوتِي و هُوتير و مَحزِيوت. ۴ 4
Wana wa Hemani walikuwa: Bukia, Matania, Uzieli, Shebueli na Yeremothi, Hanania, Hanani, Eliatha, Gidalti na Romamti-Ezeri, Yoshbekasha, Malothi, Hothiri na Mahaziothi.
جميع اينها پسران هِيمان بودند که در کلام خدا به جهت برافراشتن بوق رايي پادشاه بود. و خدا به هِيمان چهارده پسر و سه دختر داد. ۵ 5
Wote hawa walikuwa wana wa Hemani mwonaji wa mfalme. Aliwapata wana hawa kutokana na ahadi ya Mungu ili kumwinua. Mungu alimpa Hemani wana kumi na wanne na binti watatu.
جميع اينها زير فرمان پدران خويش بودند تا در خانه خداوند با سنج و عود و بربط بسرايند و زير دست پادشاه و آساف و يدُوتُون و هِيمان به خدمت خانه خدا بپردازند. ۶ 6
Hawa wanaume wote walikuwa chini ya usimamizi wa baba yao kwa ajili ya uimbaji katika Hekalu la Bwana wakitumia matoazi, zeze na vinubi, kwa ajili ya huduma katika nyumba ya Mungu. Asafu, Yeduthuni na Hemani walikuwa chini ya usimamizi wa mfalme.
و شماره ايشان با برادران ايشان که سراييدن را به جهت خداوند آموخته بودند، يعني همه کسان ماهر دويست و هشتاد وهشت نفر بودند. ۷ 7
Pamoja na ndugu zao wote walikuwa wamefundishwa na kuwa stadi wa uimbaji kwa Bwana. Idadi yao walikuwa 288.
و براي وظيفه هاي خود کوچک با بزرگ و معلم با تلميذ علي السويه قرعه انداختند. ۸ 8
Vijana kwa wazee, walimu kwa wanafunzi, wote walipanga kazi zao kwa kupiga kura.
پس قرعه اولِ بني آساف براي يوسف بيرون آمد. و قرعه دوم براي جَدَليا و او و برادرانش و پسرانش دوازده نفر بودند. ۹ 9
Kura ya kwanza, ambayo ilikuwa kwa ajili ya Asafu, ilimwangukia Yosefu, wanawe na jamaa zake, 12 Ya pili ikamwangukia Gedalia, yeye na wanawe pamoja na jamaa zake, 12
و سوم براي زَکّور و پسران و برادران او دوازده نفر. ۱۰ 10
Ya tatu ikamwangukia Zakuri, wanawe na jamaa zake, 12
و چهارم براي يصرِي و پسران و برادران او دوازده نفر. ۱۱ 11
ya nne ikamwangukia Isri, // wanawe na jamaa zake, 12
و پنجم براي نَتَنيا و پسران و برادران او دوازده نفر. ۱۲ 12
ya tano ikamwangukia Nethania, wanawe na jamaa zake, 12
و ششم براي بُقِّيا و پسران و برادران او دوازده نفر. ۱۳ 13
ya sita ikamwangukia Bukia, wanawe na jamaa zake, 12
و هفتم براي يشَرئيله و پسران و برادران او دوازده نفر. ۱۴ 14
ya saba ikamwangukia Yesarela, // wanawe na jamaa zake, 12
و هشتم براي اِشَعيا و پسران و برادران او دوازده نفر. ۱۵ 15
ya nane ikamwangukia Yeshaya, wanawe na jamaa zake, 12
نهم براي مَتَنيا و پسران و برادران او دوازده نفر. ۱۶ 16
ya tisa ikamwangukia Matania, wanawe na jamaa zake, 12
و دهم براي شِمعي و پسران او و برادران او دوازده نفر. ۱۷ 17
ya kumi ikamwangukia Shimei, wanawe na jamaa zake, 12
و يازدهم براي عَزَرئيل و پسران و برادران او دوازده نفر. ۱۸ 18
ya kumi na moja ikamwangukia Azareli, // wanawe na jamaa zake, 12
و دوازدهم براي حَشَبيا و پسران و برادران او دوازده نفر. ۱۹ 19
ya kumi na mbili ikamwangukia Hashabia, wanawe na jamaa zake, 12
و سيزدهم براي شُوبائيل و پسران و برادران او دوازده نفر. ۲۰ 20
ya kumi na tatu ikamwangukia Shubaeli, wanawe na jamaa zake, 12
و چهاردهم براي مَتَّتيا و پسران و برادران او دوازده نفر. ۲۱ 21
ya kumi na nne ikamwangukia Matithia, wanawe na jamaa zake, 12
و پانزدهم براي يريموت و پسران و برادران او دوازده نفر. ۲۲ 22
ya kumi na tano ikamwangukia Yeremothi, wanawe na jamaa zake, 12
و شانزدهم براي حَنَنيا و پسران و برادران او دوازده نفر. ۲۳ 23
Ya kumi na sita ikamwangukia Hanania, wanawe na jamaa zake, 12
و هفدهم براي يشبَقاشه و پسران و برادران او دوازده نفر. ۲۴ 24
ya kumi na saba ikamwangukia Yoshbekasha, wanawe na jamaa zake, 12
و هجدهم براي حَنانِي و پسران و برادران او دوازده نفر. ۲۵ 25
ya kumi na nane ikamwangukia Hanani, wanawe na jamaa zake, 12
و نوزدهم براي مَلوتي و پسران و برادران او دوازده نفر. ۲۶ 26
ya kumi na tisa ikamwangukia Malothi, wanawe na jamaa zake, 12
و بيستم براي اِيلِيآتَه و پسران و برادران او دوازده نفر. ۲۷ 27
ya ishirini ikamwangukia Eliatha, wanawe na jamaa zake, 12
و بيست و يکم براي هُوتير و پسران و برادران او دوازده نفر. ۲۸ 28
ya ishirini na moja ikamwangukia Hothiri, wanawe na jamaa zake, 12
و بيست و دوم براي جِدَّلتِي و پسران و برادران او دوازده نفر. ۲۹ 29
ya ishirini na mbili ikamwangukia Gidalti, wanawe na jamaa zake, 12
و بيست و سوم براي مَحزِيوت و پسران و برادران او دوازده نفر. ۳۰ 30
ya ishirini na tatu ikamwangukia Mahaziothi, wanawe na jamaa zake, 12
و بيست و چهارم براي رُومَمتِي عَزَر و پسران و برادران او دوازده نفر. ۳۱ 31
ya ishirini na nne ikamwangukia Romamti-Ezeri, wanawe na jamaa zake, 12.

< اول تواریخ 25 >