< Faarfannaa 123 >
1 Faarfannaa ol baʼuu. Yaa isa teessoon kee samii irra jiru, ani ija koo gara keetti ol nan qabadha.
Wimbo wa kwenda juu. Ninayainua macho yangu kwako, kwako wewe ambaye kiti chako cha enzi kiko mbinguni.
2 Akkuma iji garbootaa harka gooftaa isaanii, iji garbittii immoo harka giiftii ishee ilaalu sana, hamma inni araara nuu buusutti, iji keenyas gara Waaqayyo Waaqa keenyaa ni ilaala.
Kama vile macho ya watumwa yatazamavyo mkono wa bwana wao, kama vile macho ya mtumishi wa kike yatazamavyo mkono wa bibi yake, ndivyo macho yetu yamtazamavyo Bwana Mungu wetu, mpaka atakapotuhurumia.
3 Nuu araarami; yaa Waaqayyo, nuu araarami; tuffatamuun nutti baayʼateeraatii.
Uturehemu, Ee Bwana, uturehemu, kwa maana tumevumilia dharau nyingi.
4 Arrabni warra of jajaniitii fi tuffiin warra of tuulanii nutti baayʼateera.
Tumevumilia dhihaka nyingi kutoka kwa wenye kiburi, dharau nyingi kutoka kwa wenye majivuno.