< Iyyoob 14 >
1 “Nama dubartoota irraa dhalate, barri isaa gabaabaa fi kan rakkinaan guutamee dha.
Mwanadamu, ambaye amezaliwa na mwanamke, huishi siku chache tu na amejaa mahangaiko.
2 Inni akkuma daraaraa ni biqila; ni coollagas; akkuma gaaddidduu ariifatee darba malee hin turu.
Yeye huchanua kutoka katika ardhi kama ua na kukatwa chini; yeye hukimbia kama kivuli na hawezi kudumu.
3 Iji kee nama akkasii xiyyeeffatee ilaalaa? Ati murtiif fuula kee duratti isa fiddaa?
Je, wewe unatazama chochote katika hivi? Mnanileta mimi hukumuni pamoja nanyi?
4 Eenyutu waan xuraaʼaa keessaa waan qulqullaaʼaa baasuu dandaʼa? Namni tokko iyyuu hin dandaʼu!
Ni nani anayeweza kukileta kitu safi kutoka katika kitu kichafu? Hakuna awaye yote.
5 Barri jireenya namaa murtaaʼaa dha; baayʼinni jiʼoota isaas si bira jira; daangaa inni darbuu hin dandeenye daangessiteefii jirta.
Siku za mwanadamu zimeamriwa. Idadi ya miezi yake unayo wewe; umekiweka kikomo chake ambacho hawezi kukivuka.
6 Hamma inni akka hojjetaa tokkootti bara isaa raawwatutti, fuula kee isa irraa deebifadhu; isas dhiisi.
Tazama mbali kutoka kwake kwamba yeye aweze kupumzika, ili kwamba aweze kufurahia siku yake kama mtu aliyekodishwa kama yeye anaweza kufanya hivyo.
7 “Mukni illee abdii qaba: Yoo murame deebiʼee ni lata; dameen isaa haaraanis hin gogu.
Kunaweza kuwa na tumaini kwa mti; kama ukikatwa chini, unaweza kuchipua tena, hivyo chipukizi lake halitapotea.
8 Yoo gufuun isaa lafa keessatti dulloomee gufuun isaa biyyoo keessatti tortore iyyuu,
Japokuwa mizizi yake inakua na kuzeeka katika ardhi, na shina lake kufa katika udongo,
9 foolii bishaaniitiin lata; akka biqiltuuttis damee ni baafata.
hata kama bado lina harufu ya maji pekee, litachipua tena na kutoa nje matawi kama mche.
10 Namni garuu duʼee awwaalama; lubbuun isaa keessaa baati; innis hin jiraatu.
Lakini mwanadamu hufa; yeye huwa dhaifu; haswaa, mwanadamu hukoma kupumua, na tena yuko wapi yeye?
11 Akkuma bishaan galaanaa gogu yookaan lagnis dhumee gogu sana,
Kama maji yanavyopotea kutoka ziwani, na kama vile mto upotezavyo maji na kukauka,
12 namnis akkasuma ni ciisa; hin kaʼus; hamma samiiwwan darbanittis hin dammaqu yookaan hirribaa hin kaʼu.
vivyo hivyo watu hulala chini na hawaamki tena. Mpaka pale mbingu zitakapokuwa hazipo tena, hawataamka wala kuamshwa kutoka katika kulala kwao.
13 “Maaloo utuu awwaala keessa na dhoksitee hamma dheekkamsi kee darbutti na haguugdee! Maaloo utuu beellama naa kennitee ergasii immoo na yaadattee! (Sheol )
Laiti, kwamba ungenificha mimi mbali katika kuzimu mbali kutoka katika mahangaiko, na kwamba ungenitunza mimi katika siri hadi hasira yake imalizike, kwamba ungeniwekea mimi muda maalumu wa kukaa huko na kisha kuniita mimi katika fahamu! (Sheol )
14 Namni tokko yoo duʼe deebiʼee ni jiraataa? Ani hamma haaromfamni koo dhufutti, bara rakkoo koo hunda obsaan nan eeggadha.
Ikiwa mwanadamu akifa, yeye ataishi tena? Ikiwa hivyo, ningependa kusubiri kule muda wangu wote wa kuharibika mpaka kufunguliwa kwangu kutakapokuja.
15 Ati na waamta; anis si jalaa nan owwaadha; hojii harka keetiis ni hawwita.
Wewe ungeita, na mimi ningekujibu wewe. Wewe ungekuwa na shauku ya kazi ya mikono yako.
16 Yeroo sana ati tarkaanfii koo ni lakkoofta; cubbuu koo garuu hin toʼattu.
Wewe ungehesabu na kutunza nyayo zangu; Wewe usingejali kumbukumbu ya dhambi yangu.
17 Yakki koo korojootti naqamee chaappeffama; ati cubbuu koo ni haguugda.
Uovu wangu ungetiwa muhuri katika mkoba; wewe ungeufunga uovu wangu.
18 “Garuu akkuma tulluun lolaadhaan dhiqamee jigu, kattaanis iddoo isaatii buqqaʼu sana,
Lakini hata milima huanguka na kuwa si chochote; hata miamba huhamishwa kutoka mahali pake;
19 akkuma bishaan dhagaa nyaatee haphisu, akkuma lolaan biyyoo dhiqu sana, atis akkasuma abdii namaa ni balleessita.
maji yaliyokuwa chini ya mawe; kufurika kwake huondoa mbali mavumbi ya nchi. Kama hivi, ninyi mnavyoharibu matumaini ya mwanadamu.
20 Ati bara baraan isa ni moota; innis ni bada; bifa isaa ni geeddarta; of irraas isa fageessita.
Ninyi daima humshinda yeye, na yeye hupita mbali; Ninyi mnabadilisha uso wake na kumtuma yeye mbali kufa.
21 Yoo ilmaan isaa ulfina argatan inni hin beeku; yoo isaan salphatanis hin argu.
Kama watoto wake wa kiume ni wa kuheshimiwa, yeye, hatambui hicho; na kama wakishushwa chini, yeye haoni hicho.
22 Dhukkuba dhagna isaa qofatu isatti dhagaʼama; inni mataa isaa qofaaf booʼa.”
Yeye hujisikia tu maumivu ya mwili wake mwenyewe, na hujiombolezea yeye mwenyewe.