< Salmenes 135 >

1 Halleluja! Lova Herrens namn, lova, de Herrens tenarar,
Msifuni Bwana. Lisifuni jina la Bwana, msifuni, enyi watumishi wa Bwana,
2 de som stend i Herrens hus, i fyregardarne til vår Guds hus!
ninyi ambao mnatumika ndani ya nyumba ya Bwana, katika nyua za nyumba ya Mungu wetu.
3 Lova Herren, for Herren er god! Syng lov for hans namn, for det er yndelegt.
Msifuni Bwana, kwa kuwa Bwana ni mwema, liimbieni sifa jina lake, kwa maana hilo lapendeza.
4 For Jakob hev Herren valt seg ut, Israel til sin eigedom.
Kwa maana Bwana amemchagua Yakobo kuwa wake mwenyewe, Israeli kuwa mali yake ya thamani.
5 For eg veit at Herren er stor, og vår Herre er meir enn alle gudar.
Ninajua ya kuwa Bwana ni mkuu, kwamba Bwana wetu ni mkuu kuliko miungu yote.
6 Herren gjer alt det han vil i himmelen og på jordi, i havi og i alle djup,
Bwana hufanya lolote apendalo, mbinguni na duniani, katika bahari na vilindi vyake vyote.
7 han som let eim stiga upp frå enden av jordi, gjer eldingar til regn, som fører ut or sine gøymslor vind,
Hufanya mawingu kupanda kutoka miisho ya dunia; hupeleka umeme wa radi pamoja na mvua na huleta upepo kutoka ghala zake.
8 han som slo dei fyrstefødde i Egyptarland både av folk og fe,
Alimuua mzaliwa wa kwanza wa Misri, mzaliwa wa kwanza wa wanadamu na wanyama.
9 som sende teikn og under midt i deg, Egyptarland, mot Farao og alle hans tenarar.
Alipeleka ishara zake na maajabu katikati yako, ee Misri, dhidi ya Farao na watumishi wake wote.
10 Han som slo mange heidningefolk og drap megtige kongar,
Aliyapiga mataifa mengi, na akaua wafalme wenye nguvu:
11 Sihon, amoritarkongen, og Basans konge Og, og alle Kana’ans kongerike,
Mfalme Sihoni na Waamori, Ogu mfalme wa Bashani na wafalme wote wa Kanaani:
12 og gav deira land til arv, til arv for Israel, sitt folk.
akatoa nchi yao kuwa urithi, urithi kwa watu wake Israeli.
13 Herre, ditt namn varer æveleg, Herre, ditt minne frå ætt til ætt.
Ee Bwana, jina lako ladumu milele, kumbukumbu za fahari zako, Ee Bwana, kwa vizazi vyote.
14 For Herren skal døma sitt folk og ynkast yver sine tenarar.
Maana Bwana atawathibitisha watu wake, na kuwahurumia watumishi wake.
15 Heidninge-avgudar er sylv og gull, eit verk av menneskjehender.
Sanamu za mataifa ni fedha na dhahabu, zilizotengenezwa kwa mikono ya wanadamu.
16 Dei hev munn, men talar ikkje, dei hev augo, men ser ikkje,
Zina vinywa, lakini haziwezi kusema, zina macho, lakini haziwezi kuona;
17 dei hev øyro, men høyrer ikkje, og ingen ande er i deira munn.
zina masikio, lakini haziwezi kusikia, wala hakuna pumzi katika vinywa vyao.
18 Som desse er, vert dei som lagar deim, alle som set si lit til deim.
Wale wanaozitengeneza watafanana nazo, vivyo hivyo wale wote wanaozitumainia.
19 Israels hus, lova Herren! Arons hus, lova Herren!
Ee nyumba ya Israeli, msifuni Bwana; ee nyumba ya Aroni, msifuni Bwana;
20 Levis hus, lova Herren! De som ottast Herren, lova Herren!
ee nyumba ya Lawi, msifuni Bwana; ninyi mnaomcha, msifuni Bwana.
21 Lova vere Herren frå Sion, han som bur i Jerusalem! Halleluja!
Msifuni Bwana kutoka Sayuni, msifuni yeye aishiye Yerusalemu. Msifuni Bwana.

< Salmenes 135 >