< Salmenes 116 >
1 Eg elskar Herren, for han høyrer mi røyst, mine bøner.
Ninampenda Bwana kwa maana amesikia sauti yangu; amesikia kilio changu ili anihurumie.
2 For han hev bøygt sitt øyra til meg, og alle mine dagar vil eg kalla på honom.
Kwa sababu amenitegea sikio lake, nitamwita siku zote za maisha yangu.
3 Daude-band hadde spent seg um meg, helheims trengsla hadde funne meg; naud og sorg fann eg. (Sheol )
Kamba za mauti zilinizunguka, maumivu makuu ya kuzimu yalinipata, nikalemewa na taabu na huzuni. (Sheol )
4 Men eg kalla på Herrens namn: «Å Herre, berga mi sjæl!»
Ndipo nikaliitia jina la Bwana: “Ee Bwana, niokoe!”
5 Herren er nådig og rettferdig, og vår Gud er miskunnsam.
Bwana ni mwenye neema na haki, Mungu wetu ni mwingi wa huruma.
6 Herren varar dei einfalde, eg var ein arming, og han frelste meg.
Bwana huwalinda wanyenyekevu, nilipokuwa katika shida kubwa, aliniokoa.
7 Kom attende, mi sjæl, til di ro! for Herren hev gjort vel imot deg.
Ee nafsi yangu, tulia tena, kwa kuwa Bwana amekuwa mwema kwako.
8 Ja, du fria mi sjæl frå dauden, mitt auga frå tåror, min fot frå fall.
Kwa kuwa wewe, Ee Bwana, umeniokoa nafsi yangu na mauti, macho yangu kutokana na machozi, miguu yangu kutokana na kujikwaa,
9 Eg skal vandra for Herrens åsyn i landi åt dei livande.
ili niweze kutembea mbele za Bwana, katika nchi ya walio hai.
10 Eg trudde, for eg tala; eg var i stor plåga.
Niliamini, kwa hiyo nilisema, “Mimi nimeteseka sana.”
11 Eg sagde i min ræddhug: «Kvar mann er ein ljugar!»
Katika taabu yangu nilisema, “Wanadamu wote ni waongo.”
12 Kva skal eg gjeva Herren att for alle hans velgjerningar imot meg?
Nimrudishie Bwana nini kwa wema wake wote alionitendea?
13 Eg vil lyfta frelse-staupet, og Herrens namn vil eg påkalla.
Nitakiinua kikombe cha wokovu na kulitangaza jina la Bwana.
14 Mine lovnader vil eg halda for Herren, og det for augo på alt hans folk.
Nitazitimiza nadhiri zangu kwa Bwana mbele za watu wake wote.
15 Dyr er i Herrens augo dauden åt hans heilage.
Kifo cha watakatifu kina thamani machoni pa Bwana.
16 Å Herre, eg er din tenar, veit du, eg er din tenar, son åt di tenestkvinna; du hev løyst mine band.
Ee Bwana, hakika mimi ni mtumishi wako, mimi ni mtumishi wako, mwana wa mjakazi wako; umeniweka huru toka katika minyororo yangu.
17 Til deg vil eg ofra takkoffer, og Herrens namn vil eg påkalla.
Nitakutolea dhabihu ya kukushukuru na kuliita jina la Bwana.
18 Mine lovnader vil eg halda for Herren, og det for augo på alt hans folk,
Nitazitimiza nadhiri zangu kwa Bwana mbele za watu wake wote,
19 i fyregardarne til Herrens hus, midt i deg, Jerusalem. Halleluja!
katika nyua za nyumba ya Bwana, katikati yako, ee Yerusalemu. Msifuni Bwana.