< Salmenes 111 >

1 Halleluja! Eg vil prisa Herren av alt mitt hjarta i råd og samling av ærlege.
Msifuni Yahwe. Nitamshukuru Yahwe kwa moyo wangu wote katikati ya kusanyiko la wanye haki, na katika mkutano.
2 Store er Herrens verk, gjenomtenkte etter alle sine fyremål.
Kazi za Yahwe ni kuu, zikisubiriwa na wale wazitamanio.
3 Høgd og herlegdom er hans gjerning, og hans rettferd stend æveleg fast.
Kazi yake ni adhama na utukufu, na haki yake yadumu milele.
4 Han hev sett eit minne for sine under, nådig og miskunnsam er Herren.
Hufanya mambo makuu ambayo yatakumbukwa; Yahwe ni mwenye huruma na neema.
5 Mat hev han gjeve deim som ottast honom; han kjem æveleg i hug si pakt.
Huwapa chakula wafuasi wake waaminifu. Siku zote atalikumbuka agano lake.
6 Krafti av sine verk hev han kunngjort for sitt folk, då han gav deim arven til heidningarne.
Alionesha uweza wa kazi zake kwa watu wake kwa kuwapa urithi wa mataifa.
7 Det hans hender gjer, er sanning og rett, alle hans fyresegner er trufaste,
Kazi za mikono yake ni za kuaminika na haki; maagizo yake yote ni ya kuaminika.
8 fast stend dei æveleg og alltid, dei er gjorde i sanning og rettvisa.
Yamethibitika milele, yamefanywa katika uaminifu na vizuri.
9 Han hev sendt sitt folk utløysing, han hev skipa si pakt æveleg, hans namn er heilagt og skræmelegt.
Aliwapa ushindi watu wake; aliliteuwa agano lake milele; jina lake ni takatifu na lakutisha.
10 Otte for Herren er upphav til visdom, godt vit hev alle som gjer etter det. Hans pris varer æveleg.
Kumcha Yahwe ni mwanzo wa hekima; wale washikao maagizo yake wana uelewa mzuri. Sifa yake yadumu milele.

< Salmenes 111 >