< Salomos Ordsprog 20 >
1 Vinen er ein spottar, rusdrykken ein ståkar, ingen som tumlar av honom, er vis.
Mvinyo ni mdhihaki na kileo ni mgomvi; yeyote apotoshwaye navyo hana hekima.
2 Den rædsla kongen vekkjer, er som løveburing, den som fær hans vreide på seg, set livet sitt på spel.
Ghadhabu ya mfalme ni kama ngurumo ya simba; yeye amkasirishaye hupoteza uhai wake.
3 Mannsens æra er å halda seg frå trætta, men kvar uviting glefser til.
Ni kwa heshima ya mtu kujitenga ugomvi, bali kila mpumbavu ni mwepesi kugombana.
4 Letingen pløgjer ikkje um hausten, i skurdonni leitar han fåfengt etter grøda.
Mvivu halimi kwa majira; kwa hiyo wakati wa mavuno hutazama lakini hapati chochote.
5 Råd i mannsens hjarta er som vatn i djupet, men ein skynsam mann kann draga det upp.
Makusudi ya moyo wa mwanadamu ni maji yenye kina, lakini mtu mwenye ufahamu huyachota.
6 Mest kvar mann råkar ein som elskar honom, men kven finn ein som er å lita på?
Watu wengi hujidai kuwa na upendo usiokoma, bali mtu mwaminifu ni nani awezaye kumpata?
7 Den som ferdast ulastande og er rettferdig, sæle er borni hans etter honom.
Mtu mwenye haki huishi maisha yasiyo na lawama, wamebarikiwa watoto wake baada yake.
8 Ein konge som sit på domarstol, skil ut alt vondt med augo sine.
Wakati mfalme aketipo katika kiti chake cha enzi kuhukumu, hupepeta ubaya wote kwa macho yake.
9 Kven kann segja: «Eg hev halda hjarta reint og er fri frå syndi mi?»
Ni nani awezaye kusema, “Nimeuweka moyo wangu safi; mimi ni safi na sina dhambi?”
10 Tvo slag vegt og tvo slag mål er båe tvo ein styggedom for Herren.
Mawe ya kupimia yaliyo tofauti na vipimo tofauti, Bwana huchukia vyote viwili.
11 Alt guten syner i si gjerd um ferdi hans vert rein og rett.
Hata mtoto hujulikana kwa matendo yake, kama tabia yake ni safi na adili.
12 Øyra som høyrer og auga som ser - Herren hev skapt deim båe tvo.
Masikio yasikiayo na macho yaonayo, Bwana ndiye alivifanya vyote viwili.
13 Elska ikkje svevn, for då vert du fatig, haldt augo uppe, so fær du brød til mette.
Usiupende usingizi la sivyo utakuwa maskini, uwe macho nawe utakuwa na chakula cha akiba.
14 «Klent, klent!» segjer kjøparen, men når han gjeng burt, so rosar han seg.
“Haifai, haifai!” asema mnunuzi, kisha huondoka akijisifia ununuzi wake.
15 Vel finst det gull og mange perlor, men dyraste gogni er lippor med kunnskap.
Dhahabu kunayo, na marijani kwa wingi, lakini midomo inenayo maarifa ni kito cha thamani kilicho adimu.
16 Tak klædi hans! for han hev borga for ein annan, og panta honom for framande!
Chukua vazi la yule awekaye dhamana kwa ajili ya mgeni; lishikilie iwe dhamana kama anafanya hivyo kwa ajili ya mwanamke mpotovu.
17 Søtt er for mannen det brød han hev fenge med fals, men sidan vert munnen hans full av småstein.
Chakula kilichopatikana kwa hila ni kitamu kwa mwanadamu, bali huishia na kinywa kilichojaa changarawe.
18 Råder vert stødige med rådleggjing, få då klok styring når du fører krig!
Fanya mipango kwa kutafuta mashauri, ukipigana vita, tafuta maelekezo.
19 Den som fer med drøs, ber løynråd ut, og gapen skal du ikkje hava noko med.
Maneno ya kusengenya husababisha kutokuaminika, kwa hiyo mwepuke mtu anayezungumza kupita kiasi.
20 Den som bannar far og mor, hans lampa skal slokna i kolmyrkret.
Ikiwa mtu atamlaani baba yake au mama yake, taa yake itazimwa katika giza nene.
21 Ein arv som ein i fyrstundes er for fus på, vert på slutten utan velsigning.
Urithi upatikanao haraka mwanzoni, hautabarikiwa mwishoni.
22 Seg ikkje: «Eg vil løna med vondt!» Venta på Herren, han vil hjelpa deg.
Usiseme, “Nitakulipiza kwa ajili ya kosa hili!” Mngojee Bwana, naye atakuokoa.
23 Tvo slag vegt er ein styggedom for Herren, og den falske skålvegt er ikkje god.
Bwana anachukia sana mawe ya kupimia ya udanganyifu, nazo mizani zisizo halali hazimpendezi.
24 Frå Herren kjem mannsens stig, og kor kann eit menneskje skyna sin veg?
Hatua za mtu huongozwa na Bwana. Anawezaje basi mtu yeyote kuelewa njia yake mwenyewe?
25 Fårlegt er det for eit menneskje å vigsla eitkvart tankelaust, og fyrst granska lovnaden etterpå.
Ni mtego kwa mtu kuweka wakfu kitu kwa haraka na baada ya kitambo kidogo kufikiria tena nadhiri zake.
26 Ein vis konge skil ut dei gudlause og let hjulet ganga yver deim.
Mfalme mwenye hekima hupepeta waovu, hulipitisha gurudumu la kupuria juu yao.
27 Menneskjens ånd er Herrens lampa, og ho ransakar alle rom i hjarta.
Taa ya Bwana huchunguza roho ya mwanadamu, huchunguza utu wake wa ndani.
28 Kjærleik og truskap er vakt um kongen, og han styd sin kongsstol på kjærleik.
Upendo na uaminifu humweka mfalme salama, kwa njia ya upendo, kiti chake cha enzi huwa salama.
29 Ei æra for ungdomar er deira kraft, og ein prydnad for dei gamle er grått hår.
Utukufu wa vijana ni nguvu zao, mvi ni fahari ya uzee.
30 Svidande sår reinser burt det vonde, ja, slag reinsar hjartans inste rom.
Mapigo na majeraha huusafisha ubaya, nayo michapo hutakasa utu wa ndani.