< Nehemias 10 >

1 På dei forsigla stykki stend: Nehemia, jarlen, son åt Hakalja, og Sidkia,
Wale waliotia muhuri walikuwa: Nehemia mtawala, mwana wa Hakalia. Sedekia,
2 Seraja, Azarja, Jeremia,
Seraya, Azaria, Yeremia,
3 Pashur, Amarja, Malkia,
Pashuri, Amaria, Malkiya,
4 Hattus, Sebanja, Malluk,
Hatushi, Shebania, Maluki,
5 Harim, Meremot, Obadja,
Harimu, Meremothi, Obadia,
6 Daniel, Ginneton, Baruk,
Danieli, Ginethoni, Baruku,
7 Mesullam, Abia, Mijjamin,
Meshulamu, Abiya, Miyamini,
8 Ma’azja, Bilgai og Semaja; dette er prestarne.
Maazia, Bilgai na Shemaya. Hawa ndio waliokuwa makuhani.
9 Og levitarne: Jesua Azanjason, Binnui av Henadads-sønerne og Kadmiel,
Walawi: Yeshua mwana wa Azania, Binui wa wana wa Henadadi, Kadmieli,
10 og brørne deira: Sebanja, Hodia, Kelita, Pelaja, Hanan,
na wenzao: Shebania, Hodia, Kelita, Pelaya, Hanani,
11 Mika, Rehob, Hasabja,
Mika, Rehobu, Hashabia,
12 Zakkur, Serebja, Sebanja,
Zakuri, Sherebia, Shebania,
13 Hodia, Bani og Beninu.
Hodia, Bani na Beninu.
14 Folkehovdingarne: Paros, Pahat-Moab, Elam, Zattu, Bani,
Viongozi wa watu: Paroshi, Pahath-Moabu, Elamu, Zatu, Bani,
15 Bunni, Azgad, Bebai,
Buni, Azgadi, Bebai,
16 Adonja, Bigvai, Adin,
Adoniya, Bigwai, Adini,
17 Ater, Hizkia, Azzur,
Ateri, Hezekia, Azuri,
18 Hodia, Hasum, Besai,
Hodia, Hashumu, Besai,
19 Harif, Anatot, Nobai,
Harifu, Anathothi, Nebai,
20 Magpias, Mesullam, Hezir,
Magpiashi, Meshulamu, Heziri,
21 Mesezabel, Sadok, Jaddua,
Meshezabeli, Sadoki, Yadua,
22 Pelatja, Hanan, Anaja,
Pelatia, Hanani, Anaya,
23 Hosea, Hananja, Hassub,
Hoshea, Hanania, Hashubu,
24 Hallohes, Pilha, Sobek,
Haloheshi, Pilha, Shobeki,
25 Rehum, Hasabna, Ma’aseja,
Rehumu, Hashabna, Maaseya,
26 Ahia, Hanan, Anan,
Ahiya, Hanani, Anani,
27 Malluk, Harim og Ba’ana.
Maluki, Harimu na Baana.
28 Og folket elles, prestarne, levitarne, portvaktarane, songarane, tempelsveinarne og alle som hev skilt seg frå dei framande folki og vendt seg til Guds lov, like eins konorne deira, sønerne og døtterne deira, alle som kann skyna det -
“Watu wengine wote, wakiwa ni makuhani, Walawi, mabawabu, waimbaji, watumishi wa Hekalu, na wale wote waliojitenga na mataifa jirani kwa ajili ya Sheria ya Mungu, pamoja na wake zao na wana wao na binti zao wote waliokuwa na uwezo wa kufahamu,
29 dei slær lag med stormennene og gjeng med på eiden og sver at dei vil fylgja Guds lov, som er gjevi ved Guds tenar Moses, og halda og gjera etter alle bodi og rettarne og fyreskrifterne frå Herren, vår Herre,
basi hawa wote wanajiunga na ndugu zao na wakuu wao, na kujifunga kwa laana na kwa kiapo kufuata Sheria ya Mungu iliyotolewa kupitia kwa Mose mtumishi wa Mungu, na kutii kwa uangalifu amri zote, maagizo na sheria za Bwana, Bwana wetu.
30 at me ikkje skal gifta døtterne våre med folki i landet eller taka døtterne deira til konor åt sønerne våre,
“Tunaahidi kutowaoza binti zetu kwa watu wanaotuzunguka, wala kuwaoza wana wetu binti zao.
31 og når folki i landet kjem um kviledagen og vil selja handelsvaror og allslags korn, då skal me ikkje kjøpa av deim på kviledag eller helgedag; at me let jordi liggja og kvila kvart sjuande år, og då gjev etter allslags krav;
“Wakati mataifa jirani waletapo bidhaa zao au nafaka kuuza siku ya Sabato, hatutazinunua kutoka kwao siku ya Sabato, wala siku nyingine yoyote takatifu. Kila mwaka wa saba, tutaacha kuilima ardhi na tutafuta madeni yote.
32 att me tek på oss skyldnaden å svara ein tridjepart av ein dalar i årleg reida til tenesta i vår Guds hus -
“Tunakubali wajibu wa kutimiza amri za kutoa theluthi ya shekeli kila mwaka kwa ajili ya utumishi wa nyumba ya Mungu:
33 til skodebrødi, det faste grjonofferet og det faste brennofferet, til offer på kviledagarne, på nymånedagarne og i høgtiderne, til takkofferet og syndofferet til soning for Israel, og til alle tenester i vår Guds hus.
Kwa ajili ya mikate ya Wonyesho, kwa ajili ya sadaka za kawaida za nafaka na sadaka za kuteketezwa, kwa ajili ya sadaka za siku za Sabato, Sikukuu za Mwandamo wa Mwezi na sikukuu nyingine zilizoamriwa, kwa ajili ya sadaka takatifu, kwa ajili ya sadaka za dhambi ili kufanya upatanisho kwa ajili ya Israeli, na kwa ajili ya kazi zote za nyumba ya Mungu wetu.
34 Um vedhaldet hev me, prestarne, levitarne og folket, drege strå, um å føra veden til vår Guds hus, etter ættgreinerne våre, kvart år på visse dagar, til brennefang på altaret åt Herren, vår Gud, som fyreskrive er i lovi.
“Sisi makuhani, Walawi na watu, tumepiga kura kuamua kuwa kila mmoja wa jamaa zetu lazima alete katika nyumba ya Mungu wetu kwa nyakati maalum kila mwaka mchango wa kuni za kukokea moto katika madhabahu ya Bwana Mungu wetu, kama ilivyoandikwa katika Sheria.
35 Me vil års årleg føra til Herrens hus det fyrste av grøda på marki vår og dei fyrste mogne frukterne på alle slag tre,
“Pia tunachukua wajibu wa kuleta malimbuko ya mazao yetu na matunda ya kwanza ya kila mti wa matunda katika nyumba ya Bwana kila mwaka.
36 og det som er frumbore av folk og fe, som skrive er i lovi, og føra det frumbore av storfe og småfe til Herrens hus, til prestarne som gjer tenesta i vår Guds hus;
“Kama pia ilivyoandikwa katika Sheria, tutawaleta wazaliwa wetu wa kwanza wa kiume, na wa mifugo yetu, yaani wa ngʼombe wetu na wa makundi yetu ya kondoo na mbuzi, katika nyumba ya Mungu wetu, kwa ajili ya makuhani wanaohudumu huko.
37 like eins det fyrste gropet med mel, og reidorne våre, og frukti av alle tre, og druvesaft og olje vil me føra til prestarne, til kovarne i vår Guds hus; like eins tiendi av marki vår til levitarne. Levitarne samlar sjølv inn tiendi i alle jordbruksbyarne våre.
“Zaidi ya hayo, tutaleta katika ghala za nyumba ya Mungu wetu, kwa makuhani, vyakula vya kwanza vya mashamba yetu, sadaka zetu za nafaka, matunda ya miti yetu yote, divai yetu mpya na mafuta. Nasi tutaleta zaka za mazao yetu kwa Walawi, kwa kuwa Walawi ndio ambao hukusanya zaka katika miji yote tunakofanya kazi.
38 Ein prest, ein av Arons-sønerne, er med levitarne når dei samlar inn tiendi; og sjølve fører levitarne tiendeparten av tienden si upp til vår Guds hus, til kovarne i forrådshuset.
Kuhani atokanaye na uzao wa Aroni atashirikiana na Walawi wakati wanapopokea zaka, nao Walawi itawapasa kuleta sehemu ya kumi ya zaka katika nyumba ya Mungu wetu katika ghala za hazina.
39 Både Israels-sønerne og Levi-sønerne føre reidorne av korn og druvesaft og olje til kovarne, der kjeraldi er som høyrer til heilagdomen, og der prestarne som gjer tenesta, og like eins portvaktarane og songarane. - Soleis vil me ikkje gløyma vår Guds hus.
Watu wa Israeli pamoja na Walawi itawapasa kuleta michango yao ya nafaka, divai mpya na mafuta katika vyumba vya ghala, mahali vifaa vya mahali patakatifu vinapohifadhiwa, na wanapokaa makuhani wanaohudumu, na mabawabu na waimbaji. “Hatutaacha kuijali nyumba ya Mungu wetu.”

< Nehemias 10 >