< Jobs 26 >
2 Kvar helst hev du den veike hjelpt? Når studde du den trøytte arm?
“Tazama jinsi ulivyomsaidia mtu asiye na uwezo! Jinsi ulivyouokoa mkono ulio dhaifu!
3 Kvar gav du uklok mann ei råd? Kor ovleg visdom hev du synt?
Ni shauri gani ulilompa yeye asiye na hekima? Nayo ni busara gani kubwa uliyoonyesha!
4 Kven hev du bore melding til? Kva ånd hev tala gjenom deg?
Ni nani aliyekusaidia kutamka maneno hayo? Nayo ni roho ya nani iliyosema kutoka kinywani mwako?
5 Skuggarne i angest skjelva, vatsdjup og dei som deri bur.
“Wafu wako katika maumivu makuu, wale walio chini ya maji na wale waishio ndani yake.
6 Helheimen open ligg for honom, avgrunnen utan noko dekkje. (Sheol )
Mauti iko wazi mbele za Mungu; Uharibifu haukufunikwa. (Sheol )
7 Nordheimen han i audni spana, og hengde jordi yver inkje.
Hutandaza anga la kaskazini mahali patupu; naye huiningʼiniza dunia mahali pasipo na kitu.
8 Han vatnet inn i skyer bind; og skyi brest ei under det.
Huyafungia maji kwenye mawingu yake, hata hivyo mawingu hayapasuki kwa uzito wake.
9 Kongsstolen sin han gøymer burt og breider skyer yver honom.
Huufunika uso wa mwezi mpevu, akitandaza mawingu juu yake.
10 Kring vatni han ei grensa set, der som ljos og myrker byta skal.
Amechora mstari wa upeo juu ya uso wa maji, ameweka mpaka wa nuru na giza.
11 Stolparne under himmelen skjelv, og rædde vert dei for hans trugsmål.
Nguzo za mbingu nazo zatetemeka, zinatishika anapozikemea.
12 Han rører havet upp med velde, og med sit vit han krasar ubeist.
Kwa nguvu zake aliisukasuka bahari; kwa hekima yake alimkata Rahabu vipande vipande.
13 Og himmelen klårnar ved hans ande; hans hand den snøgge ormen drap.
Aliisafisha anga kwa pumzi yake; kwa mkono wake alimchoma joka aendaye mbio.
14 Sjå her utkanten av hans veg; det berre kviskring er me høyrer. Kven skynar, når hans allmagt torar?
Haya ni mambo madogo tu katika matendo yake; tazama jinsi ulivyo mdogo mnongʼono tunaousikia kumhusu! Ni nani basi awezaye kuelewa ngurumo za nguvu zake?”