< Jobs 21 >

1 Då svara Job og sagde:
Kisha Ayubu akajibu na kusema,
2 «Å høyr då, høyr på mine ord! Gjev i minsto det til trøyst!
“Sikilizeni hotuba yangu kwa makini, hii na iwe faraja yenu.
3 Lat meg få lov å tala ut, so kann du spotta etterpå.
Nimeteswa, lakini pia nitasema; nikisha kusema, endeleeni kudhihaki.
4 Klagar eg vel på menneskje? Og hev eg ikkje grunn til harm?
Lakini kwangu mimi, malalamikio yangu ni kwa mtu? Kwa nini nisiwe mwenye subira?
5 Vend dykk til meg, og ottast so; legg handi so på dykkar munn.
Nitazameni na mshangae, nanyi wekeni mkono wenu midomoni mwenu.
6 Eg støkk, når eg det kjem i hug; ei bivring gjenom kroppen gjeng.
Ninapoyafikiria mateso yangu, ninaumizwa, mwili wangu unaogopa.
7 Kvifor fær dei gudlause liva, auka i magt som åri gjeng?
Kwa nini waovu wanaendelea kuishi, wanazeeka, na kuwa na uwezo katika madaraka?
8 Dei ser si ætt stå fast ikring deim, dei hev sitt avkjøme for augo.
Wazao wao wanathibitishwa mbele zao, na uzao wao unaimarika machoni pao.
9 I fred stend husi deira trygge, Guds svipa råkar ikkje deim;
Nyumba zao ziko salama mbali na hofu; wala fimbo ya Mungu haiko juu yao.
10 med heppa parast deira fe, og kyrne kastar aldri kalv.
Dume lao la ng'ombe linazalisha; halishindwi kufanya hivyo; ng'ombe wao anazaa na hafishi ndama wake akiwa mchanga.
11 Dei slepper borni ut som lamb, og gutarne i leiken hoppar;
Wanawapeleka wadogo wao kama kundi la kondoo, na watoto wao hucheza.
12 Dei syng til trumma og til cither og frygdar seg ved fløyteljod.
Wanaimba kwa tari na vinubi na hufurahi kwa muziki na zomari.
13 I lukka liver dei si tid og fer so brått til helheim ned. (Sheol h7585)
Wanatumia siku zao katika mafanikio, na wanashuka kuzimu kwa utulivu. (Sheol h7585)
14 Til Gud dei segjer: «Haldt deg burte!» Me vil’kje kjenna dine vegar!
Wanamwambia Mungu, 'Ondoka kwetu kwani hatutaki ufahamu wowote juu ya njia zako.
15 Kvi skal me tena den Allsterke? Kva gagnar det å be til honom?»
Mwenye enzi ni nani, hata tumwabudu? Tutafaidika na nini tukimwabudu? Tutapata faida gani ikiwa tutamwomba?
16 «Dei hev’kje lukka si i handi» - Langt burt frå meg med gudlaus råd!
Tazama, je mafanikio yao hayamo katika mikono yao wenyewe? Sina cha kufanya na ushauri wa waovu.
17 Når sloknar lampa for gudlause? Når kjem ulukka yver deim? Gjev han deim straff i vreidesmod?
Mara ngapi taa za waovu huzimwa, au kwamba majanga huja juu yao? Mara ngapi inatokea kwamba Mungu husambaza huzuni kwao kwa hasira?
18 Fer dei vel burt som strå for vind, lik agner som i stormen fyk?
Ni mara ngapi inatokea kwamba wanakuwa kama mabua mbele ya upepo au kama makapi yanayopeperushwa na dhoruba?
19 «Gud gøymer straffi til hans born.» Nei, sjølv skal mannen straffi kjenna!
Mnasema, 'Mungu huweka hatia ya mtu kwa watoto wake kuilipa.' Na alipe yeye mwenyewe, ili kwamba aweze kujua hatia yake mwenyewe.
20 Lat han få sjå sitt eige fall og drikka harm frå den Allsterke!
Acha macho yake yaone uangamivu wake mwenyewe, na acha anywe gadhabu ya Mwenyezi.
21 Kva bryr han seg vel um sitt hus, når månadstalet hans er fullt?
Kwani anaangaliaje familia yake mbele yake idadi ya miezi yake inapokwisha.
22 Vil nokon hjelpa Gud til kunnskap, han som er domar for dei høgste?
Je kuna mtu anaweza kumfundisha Mungu maarifa kwa kuwa yeye huwaukumu hata walio juu?
23 Den eine døyr på velmagts høgd, fullkomleg trygg og fredeleg;
Mtu mmoja ufa katika nguvu zake kamili, akiwa na utulivu kabisa na kwa amani.
24 hans fat er fulle utav mjølk, og i hans bein er mergen frisk;
Mwili wake hauna uhitaji, na kiini cha mifupa yake ina unyevu na afya njema.
25 den andre døyr so beisk i hug, hev ingenting av lukka smaka.
Mtu mwingine ufa kwa uchungu wa nafsi, bila kujifurahisha kwa jambo lolote jema.
26 Dei båe vert i moldi lagde, og deira klednad makkar er.
Wanazikwa kaburini wote kwa pamoja, funza wanawafunika wote.
27 Sjå kor eg kjennar dykkar tankar, og dykkar meinkrokar mot meg.
Tazama, nayajua mawazo yenu, na jinsi mnavyotaka kunikosesha.
28 De spør: «Kvar er vel stormannshuset? Kvar er det tjeld der gudlause bur?»
Kwa kuwa mwasema, 'Iko wapi sasa nyumba ya mwana wa mfalme? Liko wapi kao alipokaa mwovu?'
29 Hev de’kje høyrt av ferdafolk - de trur vel det som dei fortel -:
Je hamjawauliza wasafiri? Hamfahamu wanavyoweza kusema,
30 «Den vonde frå ulukka slepp; han berga vert på vreidedagen.
kwamba mwovu anaepushwa na siku ya shida, na kwamba anawekwa mbali na siku ya gadhabu?
31 Kven lastar honom for hans ferd? Og straffar honom for hans gjerd?
Ni nani atakaye ituhumu siku ya mwovu mbele yake? Ni nani atakayemwadhibu kwa alichokifanya?
32 Han vert til gravi båren burt, og ved hans gravhaug held dei vakt.
Hata hivyo atapelekwa kaburini; watu wataliona kaburi lake.
33 Søtt søv han under torv i dal, og i hans far all verdi fer, som tallause gjekk fyre honom.
Udongo wa bondeni utakuwa mtamu kwake; watu wote watamfuata, hata kuwe na watu wengi mbele yake.
34 Det trøystar meg med tome ord; av dykkar svar er sviket att.»
Ni jinsi gani basi mtanifariji bila kufikiri, kwa kuwa majibu yenu hayana lolote ila uongo?”

< Jobs 21 >