< Jobs 20 >

1 Då tok Sofar frå Na’ama til ords og sagde:
Ndipo Sofari Mnaamathi akajibu:
2 «Difor gjev mine tankar svar, og difor stormar det i meg.
“Mawazo yanayonisumbua yananisukuma kujibu, kwa sababu nimehangaika sana.
3 Ei skamleg skrapa fær eg høyra, men kloke svar mi ånd gjev meg.
Ninasikia makaripio ambayo yananivunjia heshima, nao ufahamu wangu unanisukuma kujibu.
4 Veit du’kje at frå ævords tid, frå mannen fyrst på jord vart sett,
“Hakika unajua jinsi ilivyokuwa tangu zamani, tangu zamani mwanadamu alipowekwa duniani,
5 ugudlege hev stokkut jubel, vanheilage stuttvarug gleda?
macheko ya mtu mwovu ni ya muda mfupi, nayo furaha ya wasiomcha Mungu hudumu kwa kitambo tu.
6 Når modet hans til himmels stig, når hovudet mot sky han lyfter,
Ingawa kujikweza kwake hufikia mbinguni na kichwa chake hugusa mawingu,
7 han evig gjeng til grunns som skarnet; «Kvar er han?» spør dei, honom såg.
ataangamia milele kama mavi yake mwenyewe. Wale waliomwona watauliza, ‘Yuko wapi?’
8 Lik draumen glid han burt og kverv, vert jaga som ei nattesyn.
Kama ndoto hutoweka, wala hapatikani tena, amefukuziwa mbali kama maono ya usiku.
9 Han burte er for alle augo, hans stad veit ikkje til han meir.
Jicho lililomwona halitamwona tena; mahali pake hapatamwona tena.
10 Hans born lyt hjelpa fatigfolk; hans hender gjev hans gods attende.
Watoto wake watalipa yote baba yao aliyowadhulumu maskini, nayo mikono yake itarudisha mali yote aliyonyangʼanya watu.
11 Hans bein var full’ av ungdomskraft; men den i moldi ligg med honom.
Nguvu za ujana zilizoijaza mifupa yake, zitalala naye mavumbini.
12 Er i hans munn det vonde søtt, vil han det under tunga gøyma,
“Ingawa uovu ni mtamu kinywani mwake naye huuficha chini ya ulimi wake,
13 sparer han det og slepper ikkje, held han det under gomen fast,
ingawa hawezi kukubali kuuachia uende, lakini huuweka kinywani mwake.
14 so vert i kroppen maten hans til orme-eiter i hans buk.
Hata hivyo chakula chake kitakuwa kichungu tumboni mwake, nacho kitakuwa sumu kali ya nyoka ndani yake.
15 Det gods han gløypte, spyr han ut; Gud driv det ut or magen hans.
Atatema mali alizozimeza; Mungu atalifanya tumbo lake kuzitapika.
16 Han orme-eiter i seg saug, og ødle-tunga honom drep.
Atanyonya sumu za majoka; meno ya nyoka mwenye sumu kali yatamuua.
17 Han fær visst ikkje skoda bekkjer, ei heller flaum av mjølk og honning.
Hatafurahia vijito, mito inayotiririsha asali na siagi.
18 Han rikdom vinn, men nyt han ikkje; han samlar gods, men vert’kje glad.
Vile alivyovitaabikia atavirudisha bila kuvila; hatafurahia faida itokanayo na biashara yake.
19 Han krasa småfolk, let deim liggja, han rana hus som han ei byggjer.
Kwa kuwa aliwaonea maskini na kuwaacha pasipo kitu; amenyangʼanya kwa nguvu nyumba asizozijenga.
20 Han kjende ikkje ro inni seg, men med sin skatt han slepp’kje undan.
“Hakika hatakuwa na raha katika kutamani kwake sana; hawezi kujiokoa mwenyewe kwa hazina zake.
21 Hans hækna sparer ingen ting; og difor kverv hans lukka burt.
Hakuna chochote kitakachosalia kwa ajili yake ili ale; kufanikiwa kwake hakutadumu.
22 I all si ovnøgd lid han naud; kvar armings-hand kjem yver honom.
Katikati ya wingi wa ustawi wake, dhiki itampata; taabu itamjia kwa nguvu zote.
23 Og til å fylla buken hans han sender vreiden yver honom, let maten sin på honom regna.
Atakapokuwa amelijaza tumbo lake, Mungu ataionyesha ghadhabu kali dhidi yake, na kumnyeshea mapigo juu yake.
24 Og um han frå jarnvåpen flyr, han såra vert frå koparbogen;
Ijapokuwa aikimbia silaha ya chuma, mshale wa shaba utamchoma.
25 ut gjenom ryggen pili kjem, den blanke odd ut or hans gall, og dauderædslor fell på honom.
Atauchomoa katika mgongo wake, ncha ingʼaayo kutoka ini lake. Vitisho vitakuja juu yake;
26 Alt myrker gøymt er åt hans skattar, ja, ukveikt eld et honom upp, og øyder all hans eigedom.
giza nene linavizia hazina zake. Moto usiopepewa na mtu utamteketeza, na kuangamiza yaliyosalia nyumbani mwake.
27 Himmelen ter hans brotsverk fram, og jordi reiser seg imot han.
Mbingu zitaweka wazi hatia yake, nayo nchi itainuka kinyume chake.
28 Hans heime-forråd fer sin veg, renn burt på vreidedagen hans.
Mafuriko yataichukua nyumba yake, maji yaendayo kasi katika siku ya ghadhabu ya Mungu.
29 Slikt etlar Gud til gudlaus mann; det lovar Gud til arv åt honom.»
Hili ndilo fungu Mungu alilowagawia waovu, urithi uliowekwa kwa ajili yao na Mungu.”

< Jobs 20 >