< Jobs 14 >

1 Sjå - menneskjet, av kvinna født, det liver stutt, av uro mett.
Mwanadamu, ambaye amezaliwa na mwanamke, huishi siku chache tu na amejaa mahangaiko.
2 Som blom det sprett og visnar burt, ja, lik ein skugge burt det fer.
Yeye huchanua kutoka katika ardhi kama ua na kukatwa chini; yeye hukimbia kama kivuli na hawezi kudumu.
3 Men du med honom auga held, og meg du dreg for domen din.
Je, wewe unatazama chochote katika hivi? Mnanileta mimi hukumuni pamoja nanyi?
4 Skal tru det av ein urein kjem ein som er rein? Nei, ikkje ein!
Ni nani anayeweza kukileta kitu safi kutoka katika kitu kichafu? Hakuna awaye yote.
5 Når dagetalet hans er sett, hans månads-tal sett fast hjå deg, når du for han ei grensa drog som ei han yverskrida kann,
Siku za mwanadamu zimeamriwa. Idadi ya miezi yake unayo wewe; umekiweka kikomo chake ambacho hawezi kukivuka.
6 so snu deg frå, lat han få fred og ha sin dag som leigekaren!
Tazama mbali kutoka kwake kwamba yeye aweze kupumzika, ili kwamba aweze kufurahia siku yake kama mtu aliyekodishwa kama yeye anaweza kufanya hivyo.
7 For treet er det endå von; um det vert det hogge, sprett det att, på renningar det vantar ikkje.
Kunaweza kuwa na tumaini kwa mti; kama ukikatwa chini, unaweza kuchipua tena, hivyo chipukizi lake halitapotea.
8 Når røterne i jordi eldest, og stomnen døyr i turre mold,
Japokuwa mizizi yake inakua na kuzeeka katika ardhi, na shina lake kufa katika udongo,
9 ved dåm av vatnet skyt det knupp, fær som ein stikling grøne greiner.
hata kama bado lina harufu ya maji pekee, litachipua tena na kutoa nje matawi kama mche.
10 Men døyr ein mann, då ligg han der; han andast, og kvar er han då?
Lakini mwanadamu hufa; yeye huwa dhaifu; haswaa, mwanadamu hukoma kupumua, na tena yuko wapi yeye?
11 Som vatnet renn ut or ein sjø, som elvi minkar, turkast ut,
Kama maji yanavyopotea kutoka ziwani, na kama vile mto upotezavyo maji na kukauka,
12 so ligg ein mann, ris ikkje upp; til himmeln kverv, dei vaknar ikkje; ein kann’kje vekkja deim or svevnen.
vivyo hivyo watu hulala chini na hawaamki tena. Mpaka pale mbingu zitakapokuwa hazipo tena, hawataamka wala kuamshwa kutoka katika kulala kwao.
13 Å, gjev du gøymde meg i helheim, løynde meg, til din vreide gav seg, gav meg ein frest, og so meg hugsa! (Sheol h7585)
Laiti, kwamba ungenificha mimi mbali katika kuzimu mbali kutoka katika mahangaiko, na kwamba ungenitunza mimi katika siri hadi hasira yake imalizike, kwamba ungeniwekea mimi muda maalumu wa kukaa huko na kisha kuniita mimi katika fahamu! (Sheol h7585)
14 Tru mannen døyr og livnar att? I all min strid eg skulde vona og venta til avløysing kom.
Ikiwa mwanadamu akifa, yeye ataishi tena? Ikiwa hivyo, ningependa kusubiri kule muda wangu wote wa kuharibika mpaka kufunguliwa kwangu kutakapokuja.
15 Eg skulde svara, når du ropa og lengta mot dine eige verk.
Wewe ungeita, na mimi ningekujibu wewe. Wewe ungekuwa na shauku ya kazi ya mikono yako.
16 Men no du tel kvart stig eg tek og agtar vel på syndi mi;
Wewe ungehesabu na kutunza nyayo zangu; Wewe usingejali kumbukumbu ya dhambi yangu.
17 mi synd er læst i pungen inn, og på mi skuld du gøymer vel!
Uovu wangu ungetiwa muhuri katika mkoba; wewe ungeufunga uovu wangu.
18 Som fjellet fell og smuldrast burt, og berget frå sin stad vert flutt,
Lakini hata milima huanguka na kuwa si chochote; hata miamba huhamishwa kutoka mahali pake;
19 Som vatnet holar steinen ut, og flaumen skolar moldi burt, so tek du ifrå mannen voni
maji yaliyokuwa chini ya mawe; kufurika kwake huondoa mbali mavumbi ya nchi. Kama hivi, ninyi mnavyoharibu matumaini ya mwanadamu.
20 og tyngjer honom ned for alltid. Han fer av stad; med åsyn rengd du sender honom burt frå deg.
Ninyi daima humshinda yeye, na yeye hupita mbali; Ninyi mnabadilisha uso wake na kumtuma yeye mbali kufa.
21 Han veit’kje um hans born vert heidra; han merkar ikkje um dei armast;
Kama watoto wake wa kiume ni wa kuheshimiwa, yeye, hatambui hicho; na kama wakishushwa chini, yeye haoni hicho.
22 Hans eigen kropp hans liding valdar, og sjæli græt for eigi sorg.»
Yeye hujisikia tu maumivu ya mwili wake mwenyewe, na hujiombolezea yeye mwenyewe.

< Jobs 14 >