< 1 Krønikebok 3 >
1 Dette var sønerne som David fekk då han var i Hebron: Amnon, den fyrste sonen hans, med Ahinoam frå Jizre’el; Daniel, den andre, med Abiga’il frå Karmel.
Hawa ndio waliokuwa wana wa Daudi waliozaliwa huko Hebroni: Mzaliwa wa kwanza alikuwa Amnoni ambaye mama yake aliitwa Ahinoamu wa Yezreeli; wa pili, Danieli ambaye mama yake alikuwa Abigaili wa Karmeli;
2 Absalom, den tridje, son åt Ma’aka, som var dotter åt Talmai, konge i Gesur; Adonia, den fjorde, son åt Haggit;
wa tatu alikuwa Absalomu, ambaye mama yake alikuwa Maaka, binti Talmai mfalme wa Geshuri; wa nne, Adoniya, ambaye mama yake alikuwa Hagithi;
3 Safatja, den femte, med Abital; Jitream, den sette, med Egla, kona hans.
wa tano alikuwa Shefatia ambaye mama yake alikuwa Abitali; wa sita alikuwa Ithreamu, aliyezaliwa na mke wake Egla.
4 Desse seks fekk han i Hebron; der rådde han i sju år og seks månader, og i tri og tretti år rådde han i Jerusalem.
Hawa sita walizaliwa huko Hebroni ambako Daudi alitawala kwa miaka saba na miezi sita. Daudi alitawala Yerusalemu kwa miaka thelathini na mitatu,
5 Og desse sønerne han fekk i Jerusalem: Simea og Sobab og Natan og Salomo, i alt fire, med Batsua Ammielsdotter,
nao hawa ndio watoto wa Daudi waliozaliwa huko Yerusalemu: mkewe Bathsheba, binti Amieli, alimzalia Shamua, Shobabu, Nathani na Solomoni.
6 og Jibhar og Elisama og Elifelet,
Pia kulikuwa na wana wengine: Ibihari, Elishua, Elifeleti,
7 og Nogah og Nefeg og Jafia,
Noga, Nefegi, Yafia,
8 Elisama og Eljada og Elifelet, ni i talet.
Elishama, Eliada na Elifeleti; wote walikuwa tisa.
9 Dette var alle sønerne hans David umfram sønerne han fekk med fylgjekonorne, og Tamar var syster deira.
Hawa wote walikuwa wana wa Daudi, mbali na wale wana waliozaliwa na masuria. Naye Tamari alikuwa dada yao.
10 Son åt Salomo var Rehabeam; hans son var Abia; hans son var Asa; hans son var Josafat;
Mwana wa Solomoni alikuwa Rehoboamu, mwanawe huyo alikuwa Abiya, mwanawe huyo alikuwa Yehoshafati, mwanawe huyo alikuwa Asa,
11 hans son var Joram; hans son var Ahazja; hans son var Joas;
mwanawe huyo alikuwa Yehoramu, mwanawe huyo alikuwa Ahazia, mwanawe huyo alikuwa Yoashi,
12 hans son var Amasja; hans son var Azarja; hans son var Jotam;
mwanawe huyo alikuwa Amazia, mwanawe huyo alikuwa Azaria, mwanawe huyo alikuwa Yothamu,
13 hans son var Ahaz; hans son var Hizkia; hans son var Manasse;
mwanawe huyo alikuwa Ahazi, mwanawe huyo alikuwa Hezekia, mwanawe huyo alikuwa Manase,
14 hans son var Amon; hans son var Josia.
mwanawe huyo alikuwa Amoni na mwanawe huyo alikuwa Yosia.
15 Sønerne åt Josia var Johanan, den fyrste, Jojakim, den andre, Sidkia, den tridje, Sallum, den fjorde.
Wana wa Yosia walikuwa: Yohanani mzaliwa wake wa kwanza, Yehoyakimu mwanawe wa pili, wa tatu Sedekia, wa nne Shalumu.
16 Sønerne åt Jojakim var: Hans son Jekonja; hans son Sidkia.
Walioingia mahali pa Yehoyakimu kama wafalme ni: Yekonia mwanawe, na Sedekia.
17 Sønerne åt den fengsla Jekonja var: Sealtiel, son hans,
Hawa ndio waliokuwa wazao wa Yekonia aliyekuwa mateka: Shealtieli mwanawe,
18 og Malkiram og Pedaja og Senassar, Jekamja, Hosama og Nedabja.
Malkiramu, Pedaya, Shenasari, Yekamia, Hoshama na Nedabia.
19 Sønerne åt Pedaja var Zerubbabel og Sime’i; og sønerne hans Zerubbabel var Mesullam og Hananja - og Selomit var syster deira -
Wana wa Pedaya walikuwa: Zerubabeli na Shimei. Wana wa Zerubabeli walikuwa: Meshulamu na Hanania. Shelomithi alikuwa dada yao.
20 og dertil Hasuba, Ohel og Berekja, Hasadja og Jusab-Hesed, fem i alt.
Pia walikuwepo wengine watano: Hashuba, Oheli, Berekia, Hasadia na Yushab-Hesedi.
21 Sønerne åt Hananja var Pelatja og Jesaja, og dertil sønerne åt Refaja, Arnan, Obadja og Sekanja.
Wazao wa Hanania walikuwa: Pelatia na Yeshaya, na wana wa Refaya, na wana wa Arnani, na wana wa Obadia, na wana wa Shekania.
22 Son åt Sekanja var Semaja; og sønerne hans Semaja var Hattus og Jigal og Bariah og Nearja og Safat, seks i talet.
Wazao wa Shekania: Shemaya na wanawe: Hatushi, Igali, Baria, Nearia na Shafati; jumla yao walikuwa sita.
23 Sønerne hans Nearja var Eljoenai og Hizkia og Azrikam, tri i alt.
Wana wa Nearia walikuwa: Elioenai, Hizkia na Azrikamu; jumla yao watatu.
24 Sønerne åt Eljoenai var Hodavja, Eljasib og Pelaja, og Akkub og Johanan og Delaja og Anani, sju i talet.
Wana wa Elioenai walikuwa: Hodavia, Eliashibu, Pelaya, Akubu, Yohanani, Delaya na Anani; jumla yao wote saba.