< Salmenes 63 >

1 En salme av David, da han var i Juda ørken. Gud! Du er min Gud, jeg søker dig årle; min sjel tørster efter dig, mitt kjød lenges efter dig i et tørt og vansmektende land, hvor det ikke er vann.
Mungu, wewe ni Mungu wangu! Ninakutafuta wewe kwa bidii, moyo wangu unakiu yako, mwili wangu unakutamani sana wewe, katika ukame na nchi iliyochoka mahali ambapo hakuna maji.
2 Således har jeg skuet dig i helligdommen, idet jeg så din makt og din herlighet.
Hivyo nimekutafuta wewe katika watu watakatifu kuona nguvu zako na utukufu wako.
3 For din miskunnhet er bedre enn livet; mine leber priser dig.
Kwa sababu uaminifu wa agano lako ni bora kuliko uhai, midomo yangu itakusifu wewe.
4 Således vil jeg love dig mitt liv igjennem; i ditt navn vil jeg opløfte mine hender.
Hivyo nitakutukuza wewe niwapo hai; kwa jina lako nitainua mikono yangu juu.
5 Min sjel skal bli mettet som av marg og fett, og med jublende leber skal min munn lovprise dig.
Itakuwa kana kwamba nilikula mlo wa mafuta na wenye kunona, kwa midomo ya furaha kinywa changu kitakusifu wewe,
6 Når jeg kommer dig i hu på mitt leie, tenker jeg på dig gjennem nattevaktene.
nikufikiripo kitandani mwangu na kukutafakari wewe wakati wa saa za usiku.
7 For du har vært min hjelp, og under dine vingers skygge jubler jeg.
Kwa maana umekuwa msaada wangu, na katika uvuli wa mbawa zako ninafurahia.
8 Min sjel henger ved dig; din høire hånd holder mig oppe.
Ninashikamana nawe; mkono wako wa kuume unanisaidia.
9 Og de som står mig efter livet for å ødelegge det, de skal komme til jordens nederste dyp.
Lakini wale watafutao kuuharibu uhai wangu wataenda chini kwenye sehemu ya chini kabisa ya nchi;
10 De skal gis sverdet i vold, bli til rov for rever.
watakabidhiwa kwa wale ambao mikono yao hutumia upanga, nao watakuwa chakula cha mbweha.
11 Og kongen skal glede sig i Gud; hver den som sverger ved ham, skal prise sig lykkelig, for løgneres munn skal tilstoppes.
Bali mfalme atashangilia katika Mungu; yeyote anaye apa kupitia yeye atajivunia yeye, lakini vinywa ya wale wasemao uongo watanyamazishwa.

< Salmenes 63 >