< Salmenes 45 >

1 Til sangmesteren; efter "Liljer"; av Korahs barn; en læresalme, en sang om kjærlighet. Mitt hjerte strømmer over med liflig tale; jeg sier: Min sang er om en konge; min tunge er en hurtigskrivers griffel.
Moyo wangu unafurika kwa neno zuri; nitasoma kwa sauti maneno niliyo yaandika kuhusu mfalme; ulimi wangu ni kalamu ya mwandishi mwenye ustadi.
2 Du er den fagreste blandt menneskenes barn, livsalighet er utgytt på dine leber; derfor har Gud velsignet dig evindelig.
Wewe u mzuri sana kuliko mwanadamu yeyote; neema imemiminwa midomoni mwako; Kwa hiyo tunajua ya kuwa Mungu amekubariki milele.
3 Omgjord din lend med ditt sverd, du veldige, med din høihet og din herlighet!
Weka upanga wako upande wako, wewe uliye mwenye nguvu, katika utukufu wako na enzi yako.
4 Og i din herlighet fare du seierrik frem for sannhets og rettferdig saktmodighets skyld! Og din høire hånd skal lære dig forferdelige storverk.
Katika enzi yako enenda katika ushindi kwa sababu ya uaminifu, upole, na haki; mkono wako wa kuume utakufundisha mambo ya kutisha.
5 Dine piler er hvesset - folkeferd faller under dig - de trenger inn i hjertet på kongens fiender.
Mishale yako ni mkali; watu huanguka chini yako; mishale yako imo ndani ya mioyo ya adui za mfalme.
6 Din trone, Gud, står fast evindelig og alltid; rettvishets kongestav er ditt rikes kongestav.
Kiti chako cha enzi, Mungu ni cha milele na milele; na fimbo ya haki ni fimbo ya utawala wako.
7 Du elsker rettferd og hater ugudelighet; derfor har Gud, din Gud, salvet dig med gledens olje fremfor dine medbrødre.
Umeipenda haki na kuchukia uovu; kwa hiyo Mungu, Mungu wako, amekupaka mafuta ya furaha kuliko wenzako.
8 Av myrra og aloë og kassia dufter alle dine klær; fra elfenbens-slott fryder dig strengelek.
Mavazi yako yote hunukia manemane, udi, na mdalasini; kukoka katika majumba ya pembe vyombo vya muziki wa nyuzi vimekufurahisha.
9 Kongedøtre er iblandt dine utvalgte; dronningen står ved din høire hånd i gull fra Ofir.
Binti za wafalme ni kati ya wake zako waheshimiwa; na mkono wako wa kuume amesimama malikia aliye vaa mavazi ya dhahabu ya Ofiri.
10 Hør, datter, og gi akt og bøi ditt øre, og glem ditt folk og din fars hus,
Sikiliza, mwanangu, tafakari na utege sikio lako; uwasahahu watu wako na watu wa nyumba ya baba yako.
11 og la kongen ha sin lyst i din skjønnhet! For han er din herre, og du skal falle ned for ham.
Hivyo mfalme atautamani uzuri wako; yeye ni Bwana wako; umstahi.
12 Og Tyrus' datter skal søke din yndest med gaver - de rike blandt folket.
Binti wa Tiro atakuwepo akiwa na zawadi; matajiri kati wa watu watajipendekeza kwako.
13 Såre herlig er kongedatteren der inne; hennes klædning er gjennemvirket med gull.
Binti mfalme katika jumba la kifahari ana utukufu wote; mavazi yake yametengenezwa kwa dhahabu.
14 I stukne klær ledes hun frem til kongen; jomfruer, hennes venninner, følger henne; de føres inn til dig.
Naye ataongozwa kwa mfalme akiwa katika mavazi ya dhahabu; mabikra, wenzake wanoumfuata, wataletwa kwako mafalme.
15 De ledes frem med fryd og jubel, de går inn i kongens slott.
Wao wataongozwa kwa furaha na shangwe; wataingia mahali pa mfalme.
16 I dine fedres sted skal dine sønner trede; du skal sette dem til fyrster på den hele jord.
Katika mahali pa baba zako watoto wako watakuwepo, ambao wewe utawafanya kuwa wakuu katika nchi yote.
17 Jeg vil prise ditt navn iblandt alle slekter; derfor skal folkene love dig evindelig og alltid.
Nami nitalifanya jina lako kukumbukwa katika uzao wote; kwa hiyo watu watakushukuru milele na milele.

< Salmenes 45 >