< Salmenes 36 >
1 Til sangmesteren; av Herrens tjener, av David. Syndens ord til den ugudelige er i mitt hjertes innerste. Det er ikke gudsfrykt for hans øine.
Dhambi hunena kama unabii katika moyo wa mwovu; machoni mwake hamna hofu ya Mungu.
2 For en smigrer ham i hans øine ved å finne hans synd, ved å hate ham.
Kwa maana yeye hujifariji mwenyewe, akifikiria kuwa dhambi zake hazitagundulika na kuchukiwa.
3 Hans munns ord er urett og svik; han har latt av å fare viselig frem, å gjøre godt.
Maneno yake ni yenye dhambi na udanganyifu; hataki kuwa mwenye hekima na kutenda mema.
4 Han optenker urett på sitt leie, han stiller sig på en vei som ikke er god; det onde hater han ikke.
Alalapo kitandani, hupanga namna ya kutenda dhambi; yeye hukaa nje kwenye nja ya uovu; yeye hakatai uovu.
5 Herre! til himmelen når din miskunnhet, din trofasthet inntil skyene.
Uaminifu wa agano lako, Yahwe, unafika mbinguni; uaminifu wako unafika mawinguni.
6 Din rettferdighet er som veldige fjell, dine dommer er et stort dyp; mennesker og dyr frelser du, Herre!
Haki yako ni kama milima ya Mungu; hukumu yako ni kama kina kirefu. Yahwe, wewe huwahifadhi wote wanadamu na wanyama.
7 Hvor kostelig er din miskunnhet, Gud! Menneskenes barn søker ly i dine vingers skygge.
Ni jinsi gani uaminifu wa aganao lako ni wa thamani, Mungu! Watu hukimbilia usalama chini ya uvuli wa mbawa zako.
8 De mettes overflødig av ditt huses fedme, og av dine gleders strøm gir du dem å drikke.
Nao watatoshelezwa tele na utajiri wa chakula nyumbani mwako; utawafanya wanywe kutoka katika mto wa baraka zako za thamani.
9 For hos dig er livets kilde, i ditt lys ser vi lys.
Kwa kuwa mna chemichemi ya uzima; na katika mwanga wako tutaiona nuru.
10 La din miskunnhet vare ved for dem som kjenner dig, og din rettferdighet for de opriktige av hjertet.
Uupanue uaminifu wa agano lako kikamilifu kwa wale wanao kujua wewe, ulinzi wako uwe juu ya wanyoofu wa moyo.
11 La ikke den overmodiges fot komme over mig og ikke de ugudeliges hånd jage mig bort!
Usiuache mguu wa mwenye kiburi unisogelee. Usiiache mkono wa mwovu unitoweshe.
12 Der faller de som gjør urett; de blir støtt ned og kan ikke reise sig.
Kule wafanyao maovu wameanguka; wameharibiwa hawawezi kuinuka.