< Salmenes 120 >

1 En sang ved festreisene. Til Herren ropte jeg i min nød, og han svarte mig.
Katika dhiki yangu nilimuita Yahwe, naye akanijibu.
2 Herre, fri min sjel fra en løgnaktig lebe, fra en falsk tunge!
Uiokoe nasfi yangu, yahwe, dhidi ya wale wadanganyao kwa midomo yao na wanenao hila kwa ndimi zao.
3 Hvad vil han gi dig, og hvad mere vil han gi dig, du falske tunge?
Yahwe atawaadhibu vipi, na atawafanyia kitu gani zaidi, ninyi mlio na ulimi mdanganyifu?
4 Voldsmannens skarpe piler og glør av gyvelbusken.
Atawaadhibu kwa mishale ya shujaa iliyo nolewa kwa makaa ya moto ya mretemu.
5 Ve mig, at jeg lever som fremmed iblandt Mesek, at jeg bor ved Kedars telt!
Ole wangu mimi kwa sababu ninaishi kwa muda Mesheki; huko nyuma niliishi kati ya maskani ya Kedari.
6 Lenge nok har min sjel bodd hos dem som hater fred.
Kwa muda mrefu sana niliisha na wale waichukiao amani.
7 Jeg er bare fred, men når jeg taler, er de ferdige til krig.
Nipo kwa ajili ya amani, lakini ninenapo, wao wako kwa ajili ya vita.

< Salmenes 120 >