< Salmenes 110 >

1 Av David; en salme. Herren sa til min herre: Sett dig ved min høire hånd, til jeg får lagt dine fiender til skammel for dine føtter!
Yahwe humwambia bwana wangu, “Kaa mkono wangu wa kuume mpaka nitakapowaweka adui zako chini ya miguu yako.”
2 Ditt veldes kongestav skal Herren utstrekke fra Sion! hersk midt iblandt dine fiender!
Yahwe atainyosha fimbo ya nguvu yako toka Sayuni; utawale kati ya adui zako.
3 Ditt folk møter villig frem på ditt veldes dag; i hellig prydelse kommer din ungdom til dig, som dugg ut av morgenrødens skjød.
Siku ile ya uweza wako watu wako watakufuata wakiwa katika mavazi matakatifu ya hiari yao wenyewe; tokea tumbo la alfajiri ujana wako utakuwa kwako kama umande.
4 Herren har svoret, og han skal ikke angre det: Du er prest evindelig efter Melkisedeks vis.
Yahwe ameapa, na hatabadilika: “Wewe ni kuhani milele, baada ya namna ya Melkizedeki.”
5 Herren ved din høire hånd knuser konger på sin vredes dag.
Bwana yuko mkono wako wa kuume. Siku ile ya hasira yake atawaua wafalme.
6 Han holder dom iblandt hedningene, fyller op med lik, knuser hoder over den vide jord.
Yeye atahukumu matifa; ataujaza uwanja wa vita kwa maiti; atawauwa viongozi kaitka nchi nyingi.
7 Av bekken drikker han på veien, derfor løfter han høit sitt hode.
Atakunywa maji ya kijito njiani, kisha baada ya ushindi atainua kichwa chake juu.

< Salmenes 110 >