< 4 Mosebok 28 >
1 Og Herren talte til Moses og sa:
Bwana akamwambia Mose,
2 Byd Israels barn og si til dem: Mitt offer, min mat, mine ildoffer, som er til velbehagelig duft for mig, skal I akte på å bære frem for mig til fastsatt tid.
“Wape Waisraeli agizo hili na uwaambie: ‘Hakikisheni kwamba mnaniletea mimi kwa wakati uliowekwa chakula kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa kwa moto, kama harufu nzuri ya kupendeza.’
3 Og du skal si til dem: Dette er det ildoffer som I skal bære frem for Herren: hver dag to årsgamle lam uten lyte til et stadig brennoffer.
Waambie: ‘Hii ni sadaka ya kuteketezwa kwa moto mnayomtolea Bwana: wana-kondoo wawili wa mwaka mmoja wasio na dosari, kama sadaka ya kawaida ya kuteketezwa kila siku.
4 Det ene lam skal du ofre om morgenen, og det andre skal du ofre mellem de to aftenstunder,
Andaa mwana-kondoo mmoja asubuhi na mwingine jioni,
5 og som matoffer tiendedelen av en efa fint mel blandet med fjerdedelen av en hin olje av støtte oliven.
kila mmoja atolewe pamoja na sadaka ya nafaka sehemu ya kumi ya efa ya unga laini uliochanganywa pamoja na robo ya hini ya mafuta ya zeituni.
6 Dette er det stadige brennoffer, det samme som blev ofret ved Sinai berg til en velbehagelig duft, et ildoffer for Herren.
Hii ni sadaka ya kawaida ya kuteketezwa iliyoanzishwa katika Mlima Sinai kama harufu nzuri ya kupendeza, sadaka iliyotolewa kwa Bwana kwa moto.
7 Og drikkofferet som hører til det første lam, skal være fjerdedelen av en hin; i helligdommen skal du ofre drikkoffer av sterk drikk til Herren.
Sadaka ya kinywaji itakayotolewa pamoja na kila mwana-kondoo ni robo ya hini ya kinywaji kilichochachuka. Mimina sadaka ya kinywaji kwa Bwana mahali patakatifu.
8 Det andre lam skal du ofre mellem de to aftenstunder; med det samme matoffer som om morgenen og med det samme drikkoffer skal du ofre det; det er et ildoffer til en velbehagelig duft for Herren.
Andaa yule mwana-kondoo wa pili jioni, pamoja na sadaka ya nafaka na sadaka ya kinywaji kama ulivyofanya kwa ile sadaka nyingine ya asubuhi. Hii ni sadaka iliyotolewa kwa kuteketezwa kwa moto, harufu nzuri ya kumpendeza Bwana.
9 På sabbatsdagen skal du ofre to årsgamle lam uten lyte og som matoffer to tiendedeler av en efa fint mel blandet med olje, og drikkofferet som hører til.
“‘Siku ya Sabato, utatoa sadaka ya wana-kondoo wawili wa mwaka mmoja wasiokuwa na dosari pamoja na sadaka yake ya kinywaji na sadaka ya nafaka yenye uzito wa sehemu mbili za kumi za efa za unga laini uliochanganywa na mafuta.
10 Dette er sabbats-brennofferet, som skal bæres frem hver sabbat, foruten det stadige brennoffer med tilhørende drikkoffer.
Hii ni sadaka ya kuteketezwa itakayotolewa kwa ajili ya kila Sabato, pamoja na sadaka ya kawaida ya kuteketezwa na sadaka yake ya kinywaji.
11 Den første dag i hver måned skal I ofre Herren et brennoffer: to unge okser og en vær og syv årsgamle lam uten lyte,
“‘Siku ya kwanza ya kila mwezi, mtamletea Bwana sadaka ya kuteketezwa ya fahali wawili wachanga, kondoo dume mmoja na wana-kondoo saba wa mwaka mmoja, wote wasiokuwa na dosari.
12 og til matoffer tre tiendedeler av en efa fint mel blandet med olje for hver okse, og til væren to tiendedeler fint mel blandet med olje
Pamoja na kila fahali, kutakuwa na sadaka ya nafaka ya unga laini sehemu tatu za kumi za efa, uliochanganywa na mafuta, pamoja na kondoo dume mmoja, sadaka ya nafaka ya unga laini uliochanganywa na mafuta;
13 og en tiendedel fint mel blandet med olje for hvert lam; da er det et brennoffer til en velbehagelig duft, et ildoffer for Herren;
pamoja na kila mwana-kondoo, sadaka ya nafaka yenye uzito wa sehemu ya kumi ya efa ya unga laini uliochanganywa na mafuta. Hii ni kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa, harufu nzuri, sadaka ya kuteketezwa iliyotolewa kwa moto kwa Bwana.
14 og drikkofferne som hører til, skal være en halv hin vin for hver okse og tredjedelen av en hin til væren og fjerdedelen av en hin for hvert lam. Dette er måneds-brennofferet, som skal bæres frem hver nymånedag i året.
Pamoja na kila fahali kutakuwa na sadaka ya kinywaji nusu ya hini ya divai; pamoja na kila kondoo dume, theluthi moja ya hini, na pamoja na kila mwana-kondoo robo hini. Hii ni sadaka ya kuteketezwa ya kila mwezi itakayotolewa kila mwandamo wa mwezi kwa mwaka.
15 Der skal også ofres en gjetebukk som syndoffer til Herren, foruten det stadige brennoffer med tilhørende drikkoffer.
Zaidi ya sadaka ya kawaida ya kuteketezwa pamoja na sadaka yake ya kinywaji, mbuzi mmoja dume atatolewa kwa Bwana kama sadaka ya dhambi.
16 I den første måned, på den fjortende dag i måneden, er det påske for Herren.
“‘Katika siku ya kumi na nne ya mwezi wa kwanza, itafanyika Pasaka ya Bwana.
17 Og på den femtende dag i samme måned er det høitid; i syv dager skal der etes usyret brød.
Katika siku ya kumi na tano ya mwezi huo itakuwa sikukuu; kwa siku saba mtakula mikate isiyotiwa chachu.
18 På den første dag skal det være en hellig sammenkomst; I skal ikke gjøre nogen arbeidsgjerning.
Katika siku ya kwanza mtakuwa na kusanyiko takatifu, msifanye kazi za kawaida.
19 Og I skal ofre et ildoffer, et brennoffer for Herren: to unge okser og en vær og syv årsgamle lam - uten lyte skal de være -
Leteni mbele za Bwana sadaka ya kuteketezwa, sadaka ya kuteketezwa ya mafahali wawili wachanga, kondoo dume mmoja na wana-kondoo dume saba wenye umri wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari.
20 og som tilhørende matoffer fint mel blandet med olje; tre tiendedeler av en efa skal I ofre for hver okse og til væren to tiendedeler,
Pamoja na kila fahali, andaa sadaka ya nafaka sehemu tatu za kumi za efa za unga laini uliochanganywa na mafuta; pamoja na kondoo dume, andaa sehemu mbili za kumi za efa;
21 og en tiendedel for hvert av de syv lam,
pia pamoja na kila mmoja wa wale wana-kondoo saba, andaa sehemu ya kumi ya efa.
22 og en gjetebukk som syndoffer, til å gjøre soning for eder.
Pia mtoe beberu mmoja kama sadaka ya dhambi ambaye atafanya upatanisho kwa ajili yenu.
23 Dette skal I ofre foruten morgen-brennofferet, som hører til det stadige brennoffer.
Andaa hizi licha ya zile sadaka za kawaida za kuteketezwa za kila asubuhi.
24 Sådanne offer skal I ofre hver dag i syv dager; det er ildoffermat til en velbehagelig duft for Herren; foruten det stadige brennoffer med tilhørende drikkoffer skal det ofres.
Kwa njia hii andaa chakula cha sadaka ya kuteketezwa kila siku, kwa siku saba kama harufu nzuri impendezayo Bwana. Hii itaandaliwa licha ya ile sadaka ya kawaida ya kuteketezwa ya kila siku pamoja na sadaka yake ya kinywaji.
25 Og på den syvende dag skal I holde en hellig sammenkomst; I skal ikke gjøre nogen arbeidsgjerning.
Siku ya saba mwe na kusanyiko takatifu na msifanye kazi zenu za kawaida.
26 På førstegrødens dag, når I bærer frem for Herren et offer av den nye grøde, på ukenes høitid, skal I holde en hellig sammenkomst; I skal ikke gjøre nogen arbeidsgjerning.
“‘Siku ya malimbuko, mnapomletea Bwana sadaka ya nafaka mpya wakati wa Sikukuu ya Majuma, mwe na kusanyiko takatifu na msifanye kazi zenu za kawaida.
27 Og I skal ofre et brennoffer til en velbehagelig duft for Herren: to unge okser og en vær og syv årsgamle lam,
Mlete sadaka ya kuteketezwa ya mafahali wawili wachanga, kondoo dume mmoja, na pia wana-kondoo saba wenye umri wa mwaka mmoja, kama harufu nzuri ya kumpendeza Bwana.
28 og som tilhørende matoffer fint mel blandet med olje, tre tiendedeler av en efa for hver okse og til væren to tiendedeler,
Pamoja na kila fahali itatolewa sadaka ya nafaka ya unga laini sehemu tatu za kumi za efa uliochanganywa na mafuta; pamoja na kondoo dume, andaa sehemu mbili za kumi za efa za unga laini;
29 og en tiendedel for hvert av de syv lam,
na sehemu ya kumi ya efa ya unga laini kwa kila mmoja wa wana-kondoo saba.
30 og en gjetebukk til å gjøre soning for eder.
Ongeza beberu mmoja kwa kufanya upatanisho kwa ajili yenu.
31 Foruten det stadige brennoffer med tilhørende matoffer skal I ofre disse offer - uten lyte skal de være - med tilhørende drikkoffer.
Andaa hizi sadaka pamoja na sadaka zake za vinywaji, kuwa nyongeza ya sadaka za kawaida za kuteketezwa, pamoja na sadaka yake ya nafaka. Hakikisha kuwa wanyama hao hawana dosari.