< 4 Mosebok 15 >

1 Og Herren talte til Moses og sa:
Kisha BWANA akanena na Musa, akasema,
2 Tal til Israels barn og si til dem: Når I kommer inn i det land som I skal bo i, det som jeg vil gi eder,
“Sema na wana wa Israeli uwaambie, 'Mtakapoingia katka nchi ambayo mtaishi, ambayo BWANA atawapa,
3 og I ofrer Herren ildoffer - brennoffer eller slaktoffer av storfeet eller av småfeet til en velbehagelig duft for Herren - enten for å opfylle et løfte eller som et frivillig offer eller på eders høitider,
mtatakiwa kuandaa sadaka kwa moto kwa BWANA, sadaka ya kuteketezwa au sadaka ya kukamilisha kiapo au sadaka ya hiari, au sadaka katika sikukuu zenu, ili kutoa harufu nzuri kwa BWANA ya ng'ombe au ya kondoo.
4 da skal den som bærer sitt offer frem for Herren, som matoffer ofre tiendedelen av en efa fint mel blandet med en fjerdedel av en hin olje,
Utamtolea BWANA sadaka ya kuteketezwa pamoja na sehemu ya kumi ya efa ya sadaka ya unga mwembamba uliochanganywa na robo ya hini ya mafuta.
5 og som drikkoffer skal du ofre fjerdedelen av en hin vin sammen med brennofferet eller slaktofferet, hvis det er et lam.
Na tena mtatoa pamoja na sadaka ya kuteketezwa, au kwa sadaka ya divai robo ya hini ya sadaka ya vinywaji kwa kila mwanakondoo.
6 Men hvis det er en vær, da skal du ofre som matoffer to tiendedeler av en efa fint mel blandet med en tredjedel av en hin olje,
Kama unatoa sadaka ya kondoo dume, utaandaa sadaka ya unga ya sehemu za kumi mbili za efa ya unga mwembamba uliochanganywa na sehemu ya tatu ya hini ya divai.
7 og som drikkoffer tredjedelen av en hin vin; du skal ofre det til en velbehagelig duft for Herren.
Kwa sadaka ya kinywaji, mtatoa sehemu ya tatu ya hini ya divai ambayo itatoa harufu nzuri kwa BWANA.
8 Ofrer du en ung okse til brennoffer eller slaktoffer for å opfylle et løfte eller som takkoffer til Herren,
Utakapoandaa fahari kwa ajiliy a sadaka ya kuteketezwa au sadaka ya kutimiza kiapo, au sadaka ya amani kwa BWANA,
9 da skal der sammen med den unge okse ofres som matoffer tre tiendedeler av en efa fint mel blandet med en halv hin olje,
Ndipo utakapotoa sadaka ya fahari pamoja na sadaka ya unga ya sehemu za kumi tatu za unga mwembamba uliochanganywa na nusu ya hini ya mafuta.
10 og som drikkoffer skal du ofre en halv hin vin; det er et ildoffer til en velbehagelig duft for Herren.
Mtatoa sadaka ya kinywaji nusu ya hini ya divai, sadaka iloyotengenezwa kwa moto ili kufanya harufu nzuri kwa BWANA.
11 Således skal der gjøres for hver okse og for hver vær og for hvert lam eller kje.
Itafanyika hivi kwa kila fahari, kwa kila kondoo dume, na kila mwanakondoo dume au mbuzi mchanga.
12 Efter tallet på de dyr I ofrer, skal I gjøre således for hvert enkelt dyr, så mange som de er.
Kila sdaka utakayoindaa na kuitoa itafanyika kama ilivyoanishwa hapa.
13 Hver innfødt skal gjøre således når han ofrer et ildoffer til en velbehagelig duft for Herren.
Wazawa wote wa Israeli watafanya mambo haya kwa utaratibu huu, yeyote atakayeleta sadaka iliyotengenezwa kwa moto, ili kufanya harufu nzuri kwa BWANA.
14 Og hvis en fremmed som holder til hos eder, eller som for alltid bor blandt eder, ofrer et ildoffer til en velbehagelig duft for Herren, så skal han gjøre like ens som I.
Na kama kuna mgeni anayeishi kati yenu, au yeyote atakayeishi na watu wa vizazi vyenu vyote, lazima atengeneze sadaka iliytoengenezwa kwa moto, ili kutoa harufu nzuri kwa BWANA. Atafanya kama mnavyofanya.
15 I menigheten skal det være én lov for eder og for den fremmede som holder til hos eder - en evig lov, fra slekt til slekt; for Herrens åsyn gjelder det samme for den fremmede som for eder selv.
Kutakuwa na sheria hiyo hiyo kwa watu wote na kwa mgeni anayeishi kati yenu, sheria ya kudumu kwa watu wote wa uzao wako. Ninyi mlivyo, ndivyo atakavyokuwa mgeni aliyeishi kati yenu. Atafanya kama mnavyofanya mbele ya BWANA.
16 Én lov og én rett skal det være for eder og for den fremmede som holder til hos eder.
Sheria na amri hiyohiyo ndiyo itakayotumika kwa mgeni anayeishi kati yenu.”
17 Og Herren talte til Moses og sa:
Tena BWANA akanena na Musa, akasema,
18 Tal til Israels barn og si til dem: Når I kommer inn i det land som jeg fører eder til,
“Nena wana wa Israeli uwaambie, 'mtakapofika katika nchi ninayowapeleka,
19 og eter av landets brød, da skal I utrede en offergave til Herren.
mtakapokula chakula kinachozalishwa katika nchi hiyo, mtatoa sadaka ya kunipendeza mimi.
20 Av det første av eders deig skal I gi en kake som gave; I skal gi den likesom I utreder gaven fra treskeplassen.
Kutoka kwenye mikate yenu ya kwanza mtatoa mkate wa kuinuliwa kama sadaka iliyoinuliwa kutoka mahali pa kupuria nafaka. Mtaiinua kwa jinsi hii.
21 Av det første av eders deig skal I alltid gi Herren en gave, slekt efter slekt.
Watu wa uzao wako wote wtanitolea sadaka ya kuinuliwa kutoka kwenye unga wenu wa kwanza.
22 Når I uforvarende gjør en synd og ikke holder alle disse bud som Herren har forkynt Moses,
Wakati mwingine mtafanya dhambi pasipo kukusudia, Kama hamtatii amri zote hizi ambazo nimemwambia Musa
23 alt det som Herren har befalt eder ved Moses fra den dag av da Herren befalte det, og siden gjennem alle følgende slekter,
-kila kitu ambacho nimewaamuru kupitia Musa kuanzia siku ambayo nilianza kuwaamuru na kuendelea kwa watu wote wa uzao wako.
24 da skal hele menigheten, hvis det er gjort uten dens vitende og av vanvare, ofre en ung okse som brennoffer til en velbehagelig duft for Herren med tilhørende matoffer og drikkoffer, som foreskrevet er, og en gjetebukk som syndoffer.
Kwa swala la dhambi isiyokusudiwa ambayo watu wote hawaijui, basi watu wote watatoa fahari mchanga sadaka ya kuteketezwa ili kufanya harufu nzuri kwa BWANA. Pamoja na haya yote, lazima itengenezwe sadaka ya unga na sadaka ya kinywaji, kama ilivyoagaizwa katika amri, na beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi.
25 Og presten skal gjøre soning for hele Israels barns menighet, så får de forlatelse; for det var gjort av vanvare, og de har båret frem for Herrens åsyn sitt offer, et ildoffer til Herren, og sitt syndoffer for den synd de har gjort av vanvare.
Kuhani atafanya sadaka upatanisho kwa watu wote wa Israeli. Watasemehewa kwa sababu dhambi haikukusudiwa. Wametoa sadaka yao, sadaka iliyotengenezwa kwa moto kwa ajili yangu. Wameleta sadaka yao kwangu iliyotengenezwa kwa moto. Wameleta sadaka yao ya uovu mbele yangu kwa ajili ya kosa lao.
26 Og hele Israels barns menighet og den fremmede som holder til hos dem, får forlatelse, fordi det var hendt hele folket av vanvare.
Ndipo watu wote wa Israeli watasamehewa, pia wageni wote wanaoishi kati yao, kwa sababu watu wote walitenda dhambi pasipo kukusudia.
27 Men når en enkelt mann synder av vanvare, da skal han ofre en årsgammel gjet til syndoffer.
Kama mtu atatenda dhambi bila kukusudia, atatoa mbuzi jike wa umri wa mwaka mmoja kuwa sadaka ya dhambi.
28 Og presten skal gjøre soning for Herrens åsyn for den som har forsyndet sig av vanvare, så han, når soningen for ham er fullført, kan få forlatelse.
Naye kuhani atafanya upatanisho kwa BWANA kwa ajili ya mtu yule aliyefanya dhambi pasipo kukusudia. Yule mtu atasamehewa baada ya upatanisho kufanyika.
29 For den innfødte blandt Israels barn og for den fremmede som holder til hos dem, skal det være én lov; den gjelder for eder alle når nogen gjør noget av vanvare.
Mtakuwa na sheria hiyohiyo kwa mtu yeyote anayefanya dhambi hiyo pasipo kukusudia, sheria hiyohiyo hata kwa mzawa wa Isreli na kwa wageni wanaoishi kati yao.
30 Men den som gjør noget med opløftet hånd, enten det er en innfødt eller en fremmed, han håner Herren, og han skal utryddes av sitt folk;
Lakini mtu afanyaye chochote kwa KUkusudia, awe mzawa au mgeni, ananikufuru mimi. Huyo mtu ataondolewa kati ya watu wake.
31 for han har ringeaktet Herrens ord og brutt hans bud. Den mann skal utryddes, han skal lide for sin misgjerning.
Kwa sababu atakuwa amedharau neno langu na amevunja neno amri yangu, mtu huyo ataondolewa kabisa. Dhambi yake itakuwa juu yake.'”
32 Mens Israels barn var i ørkenen, traff de på en mann som sanket ved på sabbatsdagen.
Wakati wana wa Israeli walipokuwa katika jangwa, wakamuona mwanamume akikusanya kuni sikiu ya Sabato.
33 Og de som traff på ham da han sanket ved, førte ham frem for Moses og Aron og for hele menigheten.
Wale waliomwona wakamleta kwa Musa, Haruni na kwa watu wote.
34 Og de satte ham fast; for det var ikke gitt dem noget bud om hvad der skulde gjøres med ham.
Wakamweka kifungoni kwa sababu ilikuwa haijaamuliwa atakachotendewa.
35 Da sa Herren til Moses: Mannen skal late livet, hele menigheten skal stene ham utenfor leiren.
Kisha BWANA akanena na Musa, “Yule mwanamume lazima auawe. Watu wote lazima wampige kwa mawe nje ya kambi.”
36 Så førte hele menigheten ham utenfor leiren og stenet ham, så han døde, således som Herren hadde befalt Moses.
Kwa hiyo watu wote wakamtoa nje ya kambi nao wakampiga kwa mawe mpaka akafa kama vile BWANA alivyokuwa amemwamuru Musa.
37 Og Herren sa til Moses:
BWANA akanena na Musa tena, akasema,
38 Tal til Israels barn og si til dem at de skal gjøre sig dusker på kantene av sine klær, slekt efter slekt, og de skal sette en blå snor på hver enkelt dusk.
“Waambie wana wa Israeli na uwaamuru wajifanyie vishada wavining'inize katika mapindo ya mavazi yao, wavining'ineze katika ncha zote kwa nyuzi za rangi ya samawi. Watu wote watafanya hivi kwa watu wote wa kizazi chote.
39 Sådanne dusker skal I ha, forat I, når I ser på dem, skal komme i hu alle Herrens bud og holde dem og ikke fare hit og dit efter eders hjerte og efter eders øine, som lokker eder til utroskap
Huu utakuwa ukumbusho maalumu kwenu, kila mtakapovitazama, mtakumbuka amri zangu, na kuzishika ili kwamba msije mkatangatanga katika mioyo na macho yenu na kuwa waasherati wa hayo.
40 - forat I skal komme i hu alle mine bud og holde dem og være hellige for eders Gud.
Fanyeni hivi ili kwamba mweze kukumbuka na kutii amri zangu zote, na ili kwamba mpate kuwa watakatifu, waliotunzwa kwa ajili yangu, Mungu wenu.
41 Jeg er Herren eders Gud, som førte eder ut av Egyptens land for å være eders Gud. Jeg er Herren eders
Mimi ndimi BWANA Mungu wenu niliyekutoa toka nchi ya Misri, ili niwe Mungu wenu. Mimi ndimi BWANA Mungu wenu.”

< 4 Mosebok 15 >