< 3 Mosebok 23 >

1 Og Herren talte til Moses og sa:
Yahweh akamwambia Musa:
2 Tal til Israels barn og si til dem: Dette er Herrens høitider - mine høitider - som I skal utrope som hellige sammenkomster:
“Zungumza na watu wa Israeli, na uwaambie, 'Hizi ndizo sikukuu zilizoamriwa kwa ajili ya Yahweh, ambazo ni lazima mzitangaze kuwa makusanyiko matakatifu, ni sikukuu zangu za mara kwa mara.
3 I seks dager skal I arbeide; men på den syvende dag er det høihellig sabbat, en hellig sammenkomst; da skal I ikke gjøre noget arbeid; det er sabbat for Herren i alle eders hjem.
Mnaweza kufanya kazi kwa siku sita, lakini siku ya saba ni Sabato ya kupumzika kabisa. Usifanye kazi kwa sababu ni Sabato kwa ajili ya Yahweh mahali pote mnaposhi.
4 Dette er Herrens høitider, de hellige sammenkomster, som I skal utrope til deres fastsatte tider:
Hizi ndizo sikukuu za Yahweh zilizoamriwa, Makusanyiko matakatifu mtakayoyatangaza kwa nyakati zilioamriwa:
5 I den første måned, på den fjortende dag i måneden, mellem de to aftenstunder, er det påske for Herren.
Katika mwenzi wa kwanza, siku ya kumi na nne ya mwezi kwenye mwanga hafifu wa machweo ya jua, ni Pasaka ya Yahweh.
6 Og på den femtende dag i samme måned er det de usyrede brøds høitid for Herren; i syv dager skal I ete usyret brød.
Siku ya kumi na tano ya mwezi ule ule ni sikukuu ya mikate isiotiwa hamira kwa ajili ya Yahweh. Kwa muda wa siku saba mtakula mikate isiotiwa hamira.
7 På den første dag skal I holde en hellig sammenkomst, I skal ikke gjøre nogen arbeidsgjerning.
Siku ya kwanza ni lazima mjitenge kwa pamoja, hamtafanya kazi ya kawaida.
8 I syv dager skal I ofre ildoffer for Herren; på den syvende dag skal det være en hellig sammenkomst, I skal ikke gjøre nogen arbeidsgjerning.
Kwa siku saba mtamletea Yahweh matoleo ya chakula. Siku ya saba ni ya kusanyiko takatifu lililotengwa kwa ajili ya Yahweh, nanyi katika siku hiyo hamtafanya kazi yoyote ya kawaida.”
9 Og Herren talte til Moses og sa:
Yahweh akamwambia Musa, akisema,
10 Tal til Israels barn og si til dem: Når I kommer inn i det land som jeg vil gi eder, og I høster dets grøde, da skal I komme til presten med det første kornbånd av eders høst.
“Sema na watu wa Israeli uwaambie, 'mtakapika kwenye nchi nitakayowapa nyinyi, na mtakapovuna mazao yake, nanyi yawapasa kumletea kuhani fungu la masuke ya nafaka ya matunda yake ya kwanza.
11 Og han skal svinge kornbåndet for Herrens åsyn, forat Herren kan ha velbehag i eder; dagen efter sabbaten skal presten svinge det.
Naye ataliinua hilo fungu la masuke ya nafaka mbele za Yahweh na kulileta kwake, kwa kuwa litakubalika kwa niaba yenu. Nalo litaletwa siku baada ya Sabato ili kwamba kuhani ataliinua na kulileta kwangu.
12 Og samme dag som I svinger kornbåndet, skal I ofre et årsgammelt lam uten lyte til brennoffer for Herren
Siku ile mtakapoliinua lile fungu la masuke ya nafaka na kulileta kwangu, itawabidi kutoa mwana—kondoo dume wa mwaka mmoja na asiye na dosari awe sadaka ya kuteketezwa kwa Yahweh.
13 og matofferet som hører til: to tiendedeler av en efa fint mel, blandet med olje, til ildoffer for Herren, til en velbehagelig duft, og drikkofferet som hører til: fjerdedelen av en hin vin.
Matoleo ya nafaka yatakuwa sehemu za kumi za efa za unga laini uliochanganywa na mafuta, uwe matoleo yaliyofanywa kwa moto kwa Yahweh, ili kutoa harufu nzuri ya kupendeza, pamoja na hiyo kutakuwa na matoleo ya kinywaji ya divai, moja ya nne ya hini.
14 Og I skal ikke ete brød eller ristet eller friskt korn før den dag - før I har båret frem offeret for eders Gud; det skal være en evig lov for eder, fra slekt til slekt, i alle eders hjem.
Hamtakula mkate, wala nafaka iliyokaangwa au nafaka mpya hata siku ile mliyoleta matoleo haya kwa Mungu wenu. Hii itakuwa amri ya kudumu katika vizazi vyote vya watu wenu, popote pale mnapoishi.
15 Fra dagen efter sabbaten, fra den dag I bærer frem svinge-kornbåndet, skal I telle fulle syv uker;
Tangu siku iliyofuata baada ya Sabato—hiyo ilikuwa siku mlipolileta lie fungu la nafaka la matoleo ya kutikiswa—hesabuni majuma saba kamili.
16 femti dager skal I telle til dagen efter den syvende sabbat, og da skal I bære frem for Herren et offer av den nye grøde:
Mtahesabu siku hamsini, ambazo zingekuwa siku baada ya Sabato ya saba. Kisha mtaleta matoleo ya nafaka mpya kwa Yahweh.
17 Fra eders hjemsteder skal I komme med to svingebrød, som er laget av to tiendedeler av en efa fint mel og bakt med surdeig; de er en førstegrøde for Herren.
Mtaleta kutoka nyumbani mwenu mikate miwili iliyotengenezwa kutokana na mbili za kumi za efa. Ni lazima ifanywe kwa unga laini na uliochanganywa na hamira; zitakuwa matoleo ya kutikiswa ya malimbuko ya kwanza kwa Yahweh.
18 Og sammen med brødet skal I føre frem syv årsgamle lam uten lyte og en oksekalv og to værer - de skal være til brennoffer for Herren - og matofferet og drikkofferne som hører til; det er et ildoffer til velbehagelig duft for Herren.
Mtaileta hiyo mikate pamoja na wana—kondoo saba wa mwaka mmoja na wasiokuwa na dosari, fahali mmoja mchanga na dume wa kondoo wawili. Watakuwa matoleo ya kuteketezwa kwa moto kwa Yahweh, pamoja na matoleo yao ya nafaka na matoleo ya kinywaji, matoleo yaliyofanywa kwa moto na kutoa harufu nzuri ya kupendeza kwa Yahweh.
19 Og I skal ofre en gjetebukk til syndoffer og to årsgamle lam til takkoffer.
Ni lazima mtowe mbuzi dume mmoja kwa ajili ya matoleo ya dhambi, na wana—kondoo dume wawili wa mwaka mmoja kwa ajili ya dhabihu, wawe matoleo ya ushirika.
20 Og presten skal svinge dem sammen med førstegrødens brød og to lam for Herrens åsyn; de skal være Herren helliget og tilhøre presten.
Ni lazima kuhani azitikise pamoja na mkate wa malimbuko ya kwanza mbele za Yahweh na kuzileta kwake kuwa matoleo pamoja na kondoo dume wawili. Watakuwa sadaka takatifu kwa Yahweh kwa ajili ya kuhani.
21 Og samme dag skal I la utrope at det skal holdes en hellig sammenkomst; I skal ikke gjøre nogen arbeidsgjerning; det skal være en evig lov for eder, fra slekt til slekt, hvor I så bor.
Mtatoa tangazo siku iyo hiyo. Kutakuwa na kusanyiko takatifu, na hamtafanya kazi za kawaida. Hii itakuwa amri ya kudumu katika vizazi vya watu wenu mahali pote mnapoishi.
22 Og når I høster grøden i eders land, skal du ikke under din innhøsting skjære kornet helt ut til ytterste kant av din aker, og de aks som blir liggende efter innhøstingen, skal du ikke sanke op; du skal la dem være igjen til den fattige og den fremmede; jeg er Herren eders Gud.
Mtakapovuna mazao ya nchi yenu, Msivune kabisa kabisa pembeni mwa mashamba yenu, wala msivune mazazo ya mavuno yenu. Inawapasa kuyaacha kwa ajili ya masikini na mgeni. Mimi ndimi Yahweh Mungu wenu.”
23 Og Herren talte til Moses og sa:
Yahweh akazungumza na Musa, akisema,
24 Tal til Israels barn og si: I den syvende måned, på den første dag i måneden, skal I holde hviledag med basunklang til ihukommelse og en hellig sammenkomst.
“Zungumza na watu wa Israeli na uwaambie, “Siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza itakuwa siku ya pumzika makini kwa ajili yenu, kumbukumbu pamoja na kupigwa kwa tarumbeta na kusanyiko takatifu,
25 Da skal I ikke gjøre nogen arbeidsgjerning, og I skal ofre ildoffer til Herren.
Hamtafanya kazi ya kawaida, na ni lazima mtoe dhabihu inayofanywa kwa moto kwa Yahweh.”
26 Og Herren talte til Moses og sa:
Kisha Yahweh akamwambia Musa, akisema,
27 Men på den tiende dag i den samme syvende måned er det soningsdag; da skal I holde en hellig sammenkomst, og I skal faste og ofre ildoffer til Herren.
“Sasa, siku ya kumi ya mwezi huu wa saba, ni Siku ya Upatanisho. Kutakuwa na kusanyiko takatifu, na ni lazima mjinyenyekeze na kuleta kwa Yahweh matoleo kwa moto.
28 Den dag skal I ikke gjøre noget arbeid; for det er en sonings-dag; da skal det gjøres soning for eder for Herrens, eders Guds åsyn.
Hamtafanya kazi katika siku hiyo kwa sababu ni Siku ya Upatanisho, ili kufanya upatanisho kwa ajili yenu mbele za Yahweh Mungu wenu.
29 For enhver som ikke faster den dag, skal utryddes av sitt folk.
Yeyote asiyejinyenyekeza siku hiyo lazima akatiliwe mbali na watu wake.
30 Og enhver som gjør noget arbeid den dag, han skal utryddes av sitt folk.
Yeye afanyaye kazi yoyote katika siku hiyo, Mimi, Yahweh, nitamwangamiza atoke miongoni mwa watu wake.
31 Intet arbeid må I gjøre den dag; det skal være en evig lov for eder, fra slekt til slekt, hvor I så bor.
Msifanye kazi ya aina yoyote katika siku hiyo. Hii itakuwa amri ya kudumu katika vizazi vyote vya watu wenu mahali pote mnapoishi.
32 En høihellig sabbat skal den være for eder, og I skal faste; på den niende dag i måneden om aftenen, fra den aften til den næste, skal I holde eders sabbatshvile.
Siku hii itakuwa Sabato ya pumziko lenye utlivu, na ni lzima siku ya tisa ya mwezi mjinyenyekeze katika majira ya jioni. Tangu jioni hata jioni mtaishika Sabato yenu.”
33 Og Herren talte til Moses og sa:
Yahweh akazungumza na Musa, akisema,
34 Tal til Israels barn og si: På den femtende dag i denne samme syvende måned skal løvsalenes fest holdes for Herren, og den skal vare syv dager.
“Zungumza na watu ISraeli, uwaambie 'Katika siku ya kumi na tano ya mwezi wa saba kutakuwa na Sikukuu ya vibanda kwa Yahweh. nayo itadumu siku saba.
35 På den første dag skal det være en hellig sammenkomst; I skal ikke gjøre nogen arbeidsgjerning.
Siku ya kwanza kutakuwa na kusanyiko takatifu. Hamtafanya kazi ya kawaida.
36 I syv dager skal I ofre ildoffer til Herren; på den åttende dag skal I holde en hellig sammenkomst og ofre ildoffer til Herren; det er en festsammenkomst; I skal ikke gjøre nogen arbeidsgjerning.
Kwa muda wa siku saba mtatoa dhabihu iliyofanywa kwa moto kwa Yahweh. Siku ya nane kutakuwa na kusanyiko takatifu, nanyi mtato dhabihu iliyofanywa kwa moto kwa Yahweh. Hili ni kusanyiko lenye utulivu, nanyi msifanye kazi yoyote ya kawaida.
37 Dette er Herrens høitider; dem skal I utrope som hellige sammenkomster, og på dem skal I ofre Herren ildoffer, brennoffer og matoffer, slaktoffer og drikkoffer, hver dag det som hører dagen til,
Hizi ndizo sikukuu zilizoamriwa kwa ajili ya Yahweh, ambazo mnapaswa kuzitangaza kuwa ni makusanyiko matakatifu ya kutoa dhabihu kwa moto kwa Yahweh, matoleo ya kuteketezwa na matoleo ya nafaka, dhabihu na matoleo ya vinywaji, kila moja kwa siku yake.
38 foruten Herrens sabbater og foruten eders gaver og foruten alle eders lovede offer og foruten alle eders frivillige offer som I gir Herren.
Sikukuu hizi zitakuwa nyongeza kwa Sabato za Yahweh na zawadi zenu, viapo vyenu vyote, na sadaka zenu zote za hiari mzitoazo kwa Yahweh.
39 Men på den femtende dag i den syvende måned, når I innsamler landets grøde, skal I holde Herrens fest, og den skal vare i syv dager; den første dag skal være hviledag, og den åttende dag skal være hviledag.
Kuhusu Sikukuu ya vibanda, siku ya kumi na tano ya mwezi wa saba, mtakapokuwa mmeyakusanya ndani matunda ya nchi, ni lazima muitunze sikukuu hii ya Yehweh kwa muda wa siku saba. Siku ya kwanza itakuwa ya pumziko lenye utulivu, na siku ya nane pia itakuwa ya pumziko lenye utulivu.
40 Og den første dag skal I ta frukter av fagre trær, palmegrener og kvister av løvrike trær og siljer som vokser ved bekkene; og I skal være glade for Herrens, eders Guds åsyn i syv dager.
Siku ya kwanza mtachuma tunda lililobora kutoka kwenye miti, mtakata makuti ya mtende, na matawi ya miti minene yenye majani mengi, na majani ya mierebi kutoka chemchemi za maji, nanyi mtashangilia mbele za Yahweh Mungu wenu kwa siku saba.
41 Denne høitid skal I holde som en fest for Herren syv dager om året; det skal være en evig lov for eder, fra slekt til slekt; i den syvende måned skal I holde den.
Kwa muda wa siku saba kila mwaka, mtaisherehekea sikukuu hii kwa Yahweh. Hii itakuwa amri ya kudumu katika vizazi vyote vya watu wenu mahali potepote mtakapoishi. Mtaisherehekea sikukuu hii katika mwezi wa saba.
42 I skal bo i løvhytter i syv dager, alle innfødte i Israel skal bo i løvhytter,
Mtaishi kwenye vibanda vidogovidogo kwa siku saba. Waisraeli wenyeji wa kuzaliwa wote itawapasa kuishi katika vibanda vidogovidogo kwa siku saba,
43 forat eders efterkommere skal vite at jeg lot Israels barn bo i løvhytter da jeg førte dem ut av Egyptens land; jeg er Herren eders Gud.
ili kwamba wazao wenu, kizazi baada ya kizazi, waweze kujifunza nilivyowafanya wana wa Israeli kuishi kwenye vibanda kama hivi nilipowaongoza kutoka katika nchi ya Misri. Mimi ndimi Yahweh Mungu wenu.'”
44 Og Moses kunngjorde Herrens høitider for Israels barn.
Katika njia hii Musa akazitangaza kwa watu wa ISraeli sikukuu zilizoamria kwa ajili ya Yahweh.

< 3 Mosebok 23 >