< 3 Mosebok 10 >

1 Men Arons sønner Nadab og Abihu tok hver sitt ildkar og la ild i dem og la røkelse på ilden og bar fremmed ild inn for Herrens åsyn, som han ikke hadde befalt dem.
Nadabu na Abihu, wana wa Aroni, wakachukua kila mtu kifukizo chake, akaweka moto ndani yake, na kisha uvumba. Kisha wakatoa moto usiokuabalika mbele za Yahweh, moto ambao hakuwaamru wao kuutoa.
2 Da gikk det ild ut fra Herrens åsyn og fortærte dem, og de døde for Herrens åsyn.
Kwa hiyo moto ukashuka chini mbele za Yahweh na kuwala, nao wakafa mbele za Yahweh.
3 Da sa Moses til Aron: Dette var det Herren talte om da han sa: På dem som står mig nær, vil jeg åpenbare min hellighet, og for alt folkets åsyn vil jeg forherlige mig. Og Aron tidde.
Kisha Musa akamwambia Aroni, Hivi ndiyo Yahweh alivyokuwa akizunguzia aliposema, 'Nitaufunua utakatifu wangu kwa wale wajao mbele zangu. Nami nitatukuzwa mbele za watu wote.'” Naye Aroni hakusema neno lolote.
4 Men Moses kalte på Misael og Elsafan, sønner av Arons farbror Ussiel, og sa til dem: Tred frem og bær eders brødre bort fra helligdommen og utenfor leiren!
Musa akamwita Mishaeli na Elzafani, wana wa Uzieli mjomba wa Aroni, naye akamwambia, “njoo huku na uwatowe ndugu zako nje ya kambi watoke mbele ya hema.”
5 Og de trådte frem og bar dem i deres kjortler utenfor leiren, som Moses hadde sagt.
Hivyo wakakaribia na kuwachukua wangali wamevaa kanzu zao za kikuhani, nao wakawapeleka nje ya kambi, kama Musa alivyokuwa ameelekeza. Kisha Musa akamwambia Aroni na wanawe wengine wawili, Eliezari na Ithamari, “
6 Da sa Moses til Aron og hans sønner Eleasar og Itamar: I skal ikke rake eders hoder og ikke sønderrive eders klær, forat I ikke skal dø, og forat han ikke skal vredes på hele menigheten; men eders brødre, hele Israels hus, skal gråte over denne brand som Herren har optendt.
Msiache wazi nywele za vichwa vyenu, wala msirarue nguo zenu, ili kwamba msije mkafa, na kwamba Yahweh asilikasirikie kusanyiko zima. Lakini waacheni jamaa zenu, nyumba yote ya Israeli waweze kufanya ibada za maombolezo kwa ajili ya hao ambao Yahweh amewaangamiza kwa moto.
7 Og I skal ikke gå bort fra inngangen til sammenkomstens telt, forat I ikke skal dø; for Herrens salvings-olje er på eder. Og de gjorde som Moses sa.
Msiende nje kutoka kwenye ingilio la hema la kukutania, ama sivyo mtakufa, kwa kuwa mafuta ya Yahweh ya upako yako juu yenu.” Kwa hiyo wakatenda sawasawa na maelekezo ya Musa.
8 Og Herren talte til Aron og sa:
Mungu akazungumza na Aroni, akisema,
9 Vin eller sterk drikk skal hverken du eller dine sønner drikke når I går inn i sammenkomstens telt, forat I ikke skal dø - det skal være en evig lov for eder, fra slekt til slekt -
“Msinywe mvinyo wala kinywaji kikali, wewe, au wanao wanaobaki pamoja nawe, ili kwamba mtakapoingia kwenye hema ya kukutania msije mkafa. Hii itakuwa amri ya kudumu katika vizazi vyote vya watu wenu,
10 så I kan gjøre forskjell mellem hellig og vanhellig, mellem urent og rent,
ili kupaambanua kati ya mambo matakatifu na mambo ya kawaida, na kati ya najisi na safi,
11 og lære Israels barn alle de lover som Herren har kunngjort dem ved Moses.
ili kwamba mweze kuwafundisha watu wa Israeli amri zote ambazo Yahweh ameziamru kwa kinywa cha Musa.
12 Så sa Moses til Aron og hans sønner Eleasar og Itamar, som ennu var i live: Ta det matoffer som er tilovers av Herrens ildoffer, og et det usyret ved siden av alteret; for det er høihellig.
Musa akazungumza na Aroni na wanawe wawili waliosalia; Eliazari naIthamari, Twaeni sadaka ya nafaka inayobaki kutokana na sadaka ifanywayo kwa Yahweh kwa moto, nanyi ileni kando ya madhabahu bila hamiara, kwa kuwa ni takatifu sana.
13 I skal ete det på et hellig sted, for det er din og dine sønners fastsatte del av Herrens ildoffer; således er det mig befalt.
lazima mtaila mahali patatifu kwa sababu huo ni mgao wako wewe na mgao wa wanao wa matoleo yaliyofanywa kwa Yahweh kwa moto, kwa kuwa hivi ndivyo limeamriwa niwaambie.
14 Og svinge-brystet og løfte-låret skal I ete på et rent sted, du og dine sønner og dine døtre med dig; for det er gitt dig og dine barn som eders fastsatte del av Israels barns takkoffer.
Kile kidari kitikiswacho na lile paja ambalo hutolewa kwa Yahweh, yapasa mzile mahali palipo safi panapokubalika kwa Mungu. Wewe mwenyewe, wanao na binti zako waliopamoja nawe mtakula sehemu hizo, kwa kuwa zimetolewa kuwa mgao wako na mgao wa wanao kutokana na dhabihu ya sadaka ya ushirika wa watu wa Israeli.
15 Løfte-låret og svinge-brystet skal de bære frem sammen med ildofferfettstykkene og svinge dem for Herrens åsyn; og det skal være din og dine barns fastsatte del til evig tid, således som Herren har befalt.
Lile paja lililotolewa na kidari kilichotikiswa, ni lazima ziletwe pamoja na sadaka ya mafuta iliyofanywa kwa moto, ili kutikiswa mbele za Yahweh. Nazo zitakuwa zako wewe na wanao kuwa mgao wenu daima, kama Yahweh alivyoamru.
16 Da nu Moses spurte efter syndoffer-bukken, viste det sig at den var opbrent; da blev han vred på Eleasar og Itamar, Arons sønner som ennu var i live, og han sa:
Kisha Musa akauliza kuhusu yule mbuzi wa sadaka ya dhambi, naye akagundua kwamba alikuwa ametekezwa kwa moto. Kwa hiyo akawakasirikia Eliazari na Ithamari, wana wa Aroni waliosalia; akawaambia,
17 Hvorfor har I ikke ett syndofferet på det hellige sted? Det er jo høihellig, og han har gitt eder det forat I skal bortta menighetens syndeskyld og gjøre soning for dem for Herrens åsyn.
“Kwa nini hamjaila sadaka ya dhambi katika eneo la hema, kwa kuwa ni takatifu sana, na kwa kuwa Yahweh amishaitoa kwenu ili kuchukua uovu wa kusanyiko, ili kufanya upatanisho kwa aijli yao mbele zake?
18 Blodet blev jo ikke båret inn i helligdommen; derfor skulde I ha ett kjøttet på det hellige sted, således som jeg har befalt.
Tazama, damu yake haikuletwa ndani ya hema, kwa hiyo iliwapasa kwa hakika kuwa mekwisha ila kwenye eneo la hema, kama nilivyoagiza?
19 Da sa Aron til Moses: De har jo idag ofret sitt syndoffer og sitt brennoffer for Herrens åsyn, og enda er slik en ulykke hendt mig. Om jeg nu hadde ett syndoffer idag, skulde da det ha vært godt i Herrens øine?
Kisha Aroni akamjibu Musa, “Tazama, leo walitoa sadaka yao ya dhambi na sadaka ya kuteketezwa mbele za Yahweh, na jambo hili vilevile limetendeka kwangu leo. Ikiwa nimeshakula sadaka ya dhambi leo, Je! Isingekuwa imeshapendeza mbele za Yahweh?”
20 Da Moses hørte dette, syntes han det var rett.
Naye Musa aliposikia hivyo, akaridhika.

< 3 Mosebok 10 >