< Jeremias 31 >
1 På den tid, sier Herren, vil jeg være alle Israels ætters Gud, og de skal være mitt folk.
“Katika wakati huo—hili ni tangazo la Yahwe—Nitakuwa Mungu wa familia zote za Israel, na watakuwa watu wangu.”
2 Så sier Herren: Det folk som er undkommet fra sverdet, har funnet nåde i ørkenen; jeg vil gå og føre Israel til ro.
Yahwe anasema hivi, “Watu ambao wamenusurika na upanga wamepata kibali katika nyika; nitatoka nje kuwapa pumziko Israeli.”
3 Fra det fjerne har Herren åpenbaret sig for mig: Ja, med evig kjærlighet har jeg elsket dig; derfor har jeg latt min miskunnhet mot dig vare ved.
Yahwe alionitokea zamani na kusema, “Nimekupenda wewe, Israeli, kwa upendo wa milele. Kwa hiyo nimekuvuta kwang kwa agano la uaminifu.
4 Ennu en gang vil jeg bygge dig, og du skal bli bygget, du jomfru, Israel! Ennu en gang skal du pryde dig med dine trommer og gå ut i dansen med de glade.
Nitakujenga tena kwa hiyo utakuwa umejengwa, bikra wa Israeli..... na kwenda nje michezo ya furaha.
5 Ennu en gang skal du plante vingårder på Samarias fjell; de som planter dem, skal også ta dem i bruk.
Utapanda mizabibu tena juu ya milima Samaria; wakulima watatapanda na kuweka matunda kwa ajili ya matumizi mazuri.
6 For det kommer en dag da vektere skal rope på Efra'ims fjell: stå op og la oss dra op til Sion, til Herren vår Gud!
Kwa maana siku itakuja wakati walizi watakapotangaza katika milima ya Efraimu, 'Inuka, twndeni juu kwenye mlimaa wa Yahwe Mungu wetu.'
7 For så sier Herren: Juble over Jakob med glede og rop med fryd over det ypperste blandt folkene! La lovsang lyde og si: Herre, frels ditt folk, dem som er igjen av Israel!
Kwa maana Yahwe anasema hivi, Piga kelele za shangwe juu ya Yakobo! Pigeni za furaha kwa ajili ya watu wakuu wa mataifa! Sifa zisikike. Sema, ''Yahwe amewaokoa watu wake, masalia wa Israeli.'
8 Se, jeg fører dem fra landet i nord og samler dem fra jordens ytterste ende; blandt dem er det både blinde og halte, både fruktsommelige og fødende; som en stor skare skal de komme hit tilbake.
Ona, niko karibu kuwaletaa kutoka nchi za kusini. Nitawakusanya kutoka sehemu zaa mbali za dunia. Vipofu na wenye ulemavu watakuwa kati kati yao; wanawake wajawazito na wale waliokaribu kujifungua wataakuwa pamoja nao. Kusanyiko kubwa litarudi hapa.
9 Med gråt skal de komme og med ydmyke bønner, og jeg vil lede dem; jeg vil føre dem til rinnende bekker på en jevn vei, hvor de ikke skal snuble; for jeg er blitt en far for Israel, og Efra'im er min førstefødte.
Watakuja kwa kuomboleza; nitawaongoza huku wakifanya maoambi yao. Nitawafanya wasafiri kataika mikondo ya maji katika bara bara ilinyoka. Hawatajikwaa juu yake, kwa maana nitakuwa baba kwa Israeli, na Afraimu atakuwa mzaliwa wanagau wwa kwanza
10 Hør Herrens ord, I folk, og forkynn det på øene langt borte og si: Han som adspredte Israel, skal samle det og vokte det, som en hyrde vokter sin hjord.
Sikia neno la Yahwe, mataifa. Litangazeni pembezoni mwa visiwa mbali. Enyi mataifa lazima museme, 'Yule aliyemtawanya Israeli anamkusanya tena na kuwalinda kama mchungaji alindavyo kondoo.'
11 For Herren har fridd Jakob ut og løst ham av dens hånd som var sterkere enn han.
Kwa maana Yahwe amemfidia Yakobo na kumkomboa kutoka mkono ambao ulikuwa na nguvu sana kwake.
12 Og de skal komme og synge med fryd på Sions berg, og de skal strømme til Herrens gode ting, til korn og til most og til olje og til unge får og okser, og deres sjel skal være som en vannrik have, og de skal ikke vansmekte mere.
Kisha watakuja na kufurahia katika vilele vya Sayuni. Nyuso zao zitamelemeta kwa sababu ya wema wa Yahwe, juu ya nafaka na divai mpya, juu ya mafuta na malimbuko ya kwanza ya makundi na ng'ombe. Kwa maana maisha yao yatakuwa kama busitani iliyomwagiliwa, na hatatajisikia huzuni tena.
13 Da skal jomfruer glede sig i dans, og unge og gamle skal glede sig sammen, og jeg vil vende deres klage til fryd og trøste dem og glede dem efter deres sorg.
Kisha wanawali watafurahia kwa kucheza, na vijana na wanaume wazee watakuwa pamaoja. Kwa maana nitayageuza maombolezo yao kuwa sherehe. Nitakuwa na huruma juu yao na kuwafanya kufurahi badala ya kuhuzunika.
14 Og jeg vil vederkvege prestene med det fete, og mitt folk skal mettes med mine gode ting, sier Herren.
Kisha nitayaloanaisha sana maisha ya makuhani. Watu wangu watajijaza wenyewe kwa wema—hili ni tangazo la Yahwe.”
15 Så sier Herren: En røst høres i Rama, veklage, bitter gråt; Rakel gråter over sine barn; hun vil ikke la sig trøste over sine barn, for de er ikke mere til.
Yahwe anasema hivi: “Sauti imesikika katika Rama, kilio na maombolezo mengi. Ni Raheli akiomboleza kwa ajili watoto wake. Hataki kufarijiwa tena juu yao, kwa maana hawako hai tena.”
16 Så sier Herren: Hold op med din gråt, og la ikke dine øine felle tårer mere! Du skal få lønn for ditt arbeid, sier Herren, og de skal vende tilbake fra fiendens land.
Yahwe anasema hivi, Zuia sauti yako usilie na macho yako yasitoe machizi; kwa maana kuna fidia kwa ajili ya mateso yako—hili ni tangazo la Yahwe—watoto wako watarudi kutoka nchi ya adui.
17 Og det er håp for din fremtid, sier Herren, og barna skal vende tilbake til sitt land.
Kuna matumaini kwa ajili ya siku zenu za baadaye—hili ni tangazo la Yahwe—uzao wako watarudi ndani ya mipaka yao.”
18 Jeg har hørt Efra'im klage: Du har tuktet mig, ja, jeg blev tuktet som en utemmet kalv; omvend mig du, så blir jeg omvendt, du er jo Herren min Gud.
Kwa hakika nimemsikia Efraimu akilia, 'Uliniadhibu, nami nieadhibika kama ndama assiye na mafunzo. Nirudisha na nitarudishwa, kwa maana wewe ni Yahwe Mungu wangu.
19 For efterat jeg har vendt mig bort fra dig, angrer jeg, og efterat jeg har fått forstand, slår jeg mig på lenden; jeg blues, ja, jeg skammer mig, for jeg bærer min ungdoms skam.
Kwa maana baada ya kurudi kwako, nilikuwa na huzuni; baada ya kufundiswa, nilijipiga kofi sshavu langu. Niliaibika ana dharirika, kwa maana nilizaliwa na hataia ya ujana wangu.'
20 Er da Efra'im en så dyrebar sønn for mig eller mitt kjæreste barn, siden jeg ennu må komme ham i hu, enda jeg så ofte har talt mot ham? Derfor røres mitt hjerte av medynk med ham, jeg må forbarme mig over ham, sier Herren.
Efraimu siyo mtoto wangu wa thamani? Yeye si mpendwa wangu, mwanangu anipendezaye? Kwa maana kila ninaponena juu yake, bado nina mwita kipenzi cha akili yangu. Kwa namna hii moyo wangu unamtamani. Kwa hakika nitaakuwa na huruma ajuu yake—hili ni tangazo la Yahwe.”
21 Reis dig merkestener, sett dig veivisere, gi akt på den banede vei, den vei du gikk! Vend tilbake, du jomfru, Israel, vend tilbake til dine byer her!
Jiwekee alama za bara bara kwa ajili yako mwenyewe. Weka matangaazo ya maelekezo kwa ajili yako mwenyewe. Iweke akili yako juu ya njia sahihi, njia unayopaswa kufuata. Rudii, bikra Israeli! Rudi kwenye hii miji yako.
22 Hvor lenge vil du vanke omkring, du frafalne datter? For Herren skaper noget nytt i landet: Kvinnen skal stadig være om mannen.
Utatanga tanga hadi lini, binti usiye mwaminifu? Kwa maana Yahwe ameumba kitu fulani kipya juu ya dunia—mwanamke anamzunguka mwanaume.
23 Så sier Herren, hærskarenes Gud, Israels Gud: Ennu en gang skal de si så i Juda land og i dets byer, når jeg gjør ende på deres fangenskap: Herren velsigne dig, du rettferdighets bolig, du hellige berg!
Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi, '“Nitakapowarudisha watu katika nchi yao, watasema hivi katika anchi ya Yuda na miji yake, “Yahwe akubariki, wewe sehemu takatifu ambapo anaishi, ewe mlima mtakatifu.'
24 Og Juda med alle sine byer skal bo der sammen som jordbrukere og omvandrende hyrder.
Kwa maana Yuda na miji yake yote wataishi pamoja humo, kama vile watakavyoishi wakulima na wachungaji pamaoja na makundi yao.
25 For jeg vil kvege den trette sjel, og hver vansmektende sjel vil jeg mette.
Kwa maana nitawapa majai ya kunywa waliochoaka, na nitamjaza kila anayeteseka na kiu.”
26 Ved dette våknet jeg og så mig om, og jeg fant at min søvn hadde vært herlig.
Baada ya haya niliamka, na nikagundua kwamba usingizi wangu ulikuwa unaburudisha.
27 Se, dager kommer, sier Herren, da jeg vil tilså Israels land og Judas land med menneskers sæd og med dyrs sæd.
Angalia, siku zinakuja—hili ni tangazo la Yaahwe—nitakapoipanda nyumba ua Israeli na Yuda pamoja na wazawa wa wanadamaau na wanyama.
28 Og likesom jeg har våket over dem for å rykke op og for å rive og bryte ned og ødelegge og plage dem, således vil jeg også våke over dem for å bygge og plante, sier Herren.
Zamani, niliwaweka katika uangalizi ili kuwang'oa na kuwabomoa, kuwaangusha, kuwaharibu, na kuwaletea madhara. Lakini katika siku zijazo, nitawaangalia, ili niwajenge na kuwapanda—hili ji tangazo la Yahwe.
29 I de dager skal de ikke mere si: Fedrene åt sure druer, og barnas tenner blev såre.
Katika siku hizo hakuna atakayesema tena, “Baba za watu wamekula zabibu kali, bali meno ya watoto ni butu.'
30 Men enhver skal dø for sin egen misgjernings skyld; hvert menneske som eter sure druer, han skal selv få såre tenner.
Kwa maana kila mtu atakuwa katika uovu wake mwenyewe; kila alaye zabibu kalai, meno yake yataakuwa butu.
31 Se, dager kommer, sier Herren, da jeg vil oprette en ny pakt med Israels hus og med Judas hus,
Angalia, siku zinakuja—hili ni tangazo la Yahwe—nitakapoanzisha aganao jipya pamaoja na nyumba aya Israeli na nyumba ya Yuda.
32 ikke som den pakt jeg oprettet med deres fedre på den dag da jeg tok dem ved hånden for å føre dem ut av Egyptens land, den pakt med mig som de brøt, enda jeg var deres ektemann, sier Herren;
Halitakuwa kama agano ambalo nilianzisha na baba zao nilipowatoa kwa mkono wao nje ya nchi ya Missiri. Hizo zzilikuwa siku ambapo walilivunja aaganao lanaahu, ingawa nilikuwa mme kwao—hili ni tangazo la Yahwe.
33 men dette er den pakt jeg vil oprette med Israels hus efter de dager, sier Herren: Jeg vil gi min lov i deres sinn og skrive den i deres hjerte, og jeg vil være deres Gud, og de skal være mitt folk;
Lakaini hili ni agano nitakaloanzisha na nyumba ya Israeli baada ya siku hizi—hili ni tangazo la Yahwe: Nitaiweka sheria yangu ndani yao na nitaiandika juu ya mioyo yao, kwa maana nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watau wangu.
34 og de skal ikke mere lære hver sin næste og hver sin bror og si: Kjenn Herren! For de skal alle kjenne mig, både små og store, sier Herren; for jeg vil forlate deres misgjerning og ikke mere komme deres synd i hu.
Kisha kila mtu hatamfundisha jiranai yake, wala mtu hatamfundisha ngugu yake akisema, 'Mjue Yahwe!' Kwa maana wao wote, kuanzia mdogo wao hata mkubwa, watanijua—hili ni tangazo la Yahwe—kwa maana nitawasamehe uovu wao na sitazikumbuka tena dhambi zao.”'
35 Så sier Herren, som satte solen til lys om dagen og lover for månen og stjernene, så de lyser om natten, han som oprører havet så dets bølger bruser - Herren, hærskarenes Gud, er hans navn:
Yahwe anasema hivi—Yahwe, yeye afanyaye jua kuangaza mchana na kuzipanga mwezi na nyota kuangaza usiku. Yeye ndiye aiwekaye bahari katika mwendo ili mawimbi yake yaungurume. Yahwe wa majeshi katika ajina lake.
36 Dersom disse lover ikke lenger står ved makt for mitt åsyn, sier Herren, da skal også Israels ætt ophøre å være et folk for mitt åsyn alle dager.
Anasema hivi, ikiwa tu mambo haya ya akudumu yakitoweka machoni panaagu—hili ni agizo la Yahwe—uzao wa Israeli hawatasimama mbaalai nami wasiwe taiafa.”
37 Så sier Herren: Dersom himmelen kan måles der oppe, og jordens grunnvoller utforskes der nede, da vil også jeg forkaste all Israels ætt for alt det de har gjort, sier Herren.
Yahwe anasema hivi, “Kama tu urefu wa mbingu unaweza kupimwa, na kama tu misingi ya dunia chini inaweza kugunduliwa, nitawakataa uzao wote wa Israeli kwa sababu ya yote waliyofanya—hili ni tangazo la Yahwe.”
38 Se, dager kommer, sier Herren, da byen skal bygges for Herren, fra Hananels tårn like til Hjørneporten,
“Angalia, siku zinakuja—hili ni tanagazo la Yahwe—ambapo mji utajengwa tena kwa ajili yanagu, kutoka Mnara wa Hananeli hadi kwenye Lango la Pembeni.
39 og målesnoren skal gå videre rett frem over Gareb-haugen, og så skal den vende sig til Goa,
Kisha mistari ya kupimia itaenda nje hadi mbali, hadi kwenye kilima cha Garebu na kuzunguka Goa.
40 og hele dalen med de døde kropper og asken, og alle markene like til Kedrons bekk, til Hesteportens hjørne mot øst, skal være hellige for Herren. Der skal aldri mere rykkes noget op eller brytes noget ned.
Bonde lote la miili iliyokufa na majivu, na shamaba lenye matuta linalofika hadi Bonde la Kidroni mbali hadi kwenye kona ya Lango la Farasi upande wa mashariki, litateuliwa kwa ajili ya Yahwe. Mji hautang'olewa wala kupinduliwa tena, milele.”