< Jeremias 23 >

1 Ve de hyrder som ødelegger og adspreder den hjord jeg før, sier Herren.
“Ole wao wachungaji ambao huangamiza na kuwatawanya kondoo wa malisho yangu-hii ndiyo ahadi ya Bwana.”
2 Derfor sier Herren, Israels Gud, så om de hyrder som røkter mitt folk: I har adspredt mine får og jaget dem bort og ikke sett efter dem; se, jeg hjemsøker eder for eders onde gjerninger, sier Herren.
Kwa hiyo, Bwana, Mungu wa Israeli, asema hivi juu ya wachungaji ambao wanawachunga watu wake, “Ninyi mnawatawanya kundi langu na kuwafukuza. Hamuwajali hata kidogo. Tambueni hili! Mimi nitawalipiza uovu wa matendo yenu-hili ni tamko la Bwana.
3 Og jeg vil selv samle resten av mine får fra alle de land jeg har drevet dem bort til, og jeg vil føre dem tilbake til deres egne beitemarker, og de skal være fruktbare og bli mange.
Mimi mwenyewe nitakusanya mabaki ya kondoo wangu kutoka nchi zote nilizowafukuza, nami nitawarejesha kwenye eneo la malisho, ambako watazaa na kuongezeka.
4 Og jeg vil sette hyrder over dem, og de skal røkte dem; og de skal ikke frykte mere og ikke forferdes, og ingen av dem skal savnes, sier Herren.
Ndipo nitawainua wachungaji juu yao ambao watawachunga hivyo hawataogopa tena au kupotezwa. Hakuna hata mmoja atakayepotea-hili ni tamko la Bwana.
5 Se, dager kommer, sier Herren, da jeg vil la stå frem for David en rettferdig spire, og han skal regjere som konge og gå frem med visdom og gjøre rett og rettferdighet i landet.
Angalia, siku zinakuja-hili ndilo tamko la Bwana-nitakapomuinulia Daudi tawi la haki. Atatawala kama mfalme; atatenda kwa busara na kusababisha hukumu na haki katika nchi.
6 I hans dager skal Juda bli frelst, og Israel bo trygt; og dette er det navn som han skal kalles med: Herren, vår rettferdighet.
Katika siku zake Yuda ataokolewa, na Israeli wataishi kwa usalama. Na jina lake atakayeitwa Bwana ni haki yetu.
7 Se, derfor skal dager komme, sier Herren, da en ikke mere skal si: Så sant Herren lever, han som førte Israels barn op fra Egyptens land,
Kwa hiyo, tazama, siku zinakuja-hili ndilo tamko la Bwana-hawatasema tena, 'Kama Bwana aishivyo, aliyewatoa wana wa Israeli kutoka nchi ya Misri.'
8 men: Så sant Herren lever, som førte Israels hus og ætt op og lot dem komme fra et land i nord og fra alle de land jeg hadde drevet dem bort til. Og de skal bo i sitt land.
Badala yake watasema, 'Kama Bwana aishivyo, ambaye aliwaleta na ambaye aliwaongoza wana wa nyumba ya Israeli kutoka nchi ya kaskazini na nchi zote walizofukuzwa.' Nao watakaa katika nchi yao wenyewe.”
9 Om profetene. Mitt hjerte er sønderknust i mitt indre, alle mine ben skjelver, jeg er som en drukken mann, en mann som vinen har overveldet, for Herrens skyld og for hans hellige ords skyld.
Kuhusu manabii, moyo wangu umevunjika ndani yangu, na mifupa yangu yote imetetemeka. Nimekuwa kama mlevi, kama mtu ambaye ameshindwa na divai, kwa sababu ya Bwana na maneno yake matakatifu.
10 For landet er fullt av horkarler; for forbannelsens skyld visner landet, for dens skyld er ørkenens beitemarker avsvidd; deres løp er ondt, og deres styrke er urett.
Kwa maana nchi imejaa wazinzi. Kwa sababu ya hayo nchi imeuka. Milima katika jangwa imekauka. Njia hizi za manabii ni mbaya; nguvu zao hazitumiwi kwa namna sahihi.
11 For både profet og prest er gudløse; selv i mitt hus har jeg funnet deres ondskap, sier Herren.
Kwa maana manabii na makuhani wote wamekufuru. Nimeona uovu wao ndani ya nyumba yangu! - hili ndilo tamko la Bwana;
12 Derfor skal deres vei bli for dem som glatte steder i mørket; de skal støtes over ende og falle der; for jeg lar ulykke komme over dem i det år da de blir hjemsøkt, sier Herren.
kwa hiyo njia yao itakuwa kama mahali pa kupumzika katika giza. Watasukumwa chini. Wao wataanguka ndani yake. Kwa maana nitawatuma mabaya juu yao katika mwaka wa adhabu yao; hili ndilo tamko la Bwana.
13 Hos Samarias profeter har jeg sett dårskap; de profeterte ved Ba'al og førte mitt folk Israel vill.
kwa maana nimeona uchungu kati ya manabii huko Samaria. Walitabiri kwa Baali na wakawaongoza watu wangu Israeli kwenye njia sahihi.
14 Men hos Jerusalems profeter har jeg sett grufulle ting; de driver hor og farer med løgn og styrker de ondes hender, så ingen av dem vender om fra sin ondskap; de er alle sammen blitt for mig som Sodoma, og dets innbyggere som Gomorra.
Na miongoni mwa manabii huko Yerusalemu nimeona mambo ya kutisha: wanafanya uzinzi na huenda kwa udanganyifu. Wanaimarisha mikono ya waovu; hakuna mtu anarejea na kuacha uovu wake. Wote wamekuwa kama Sodoma kwangu na wenyeji wake kama Gomora!”
15 Derfor sier Herren, hærskarenes Gud, så om profetene: Se, jeg gir dem malurt å ete og beskt vann å drikke; for fra Jerusalems profeter er gudløshet gått ut over hele landet.
Kwa hiyo, Bwana wa majeshi asema hivi juu ya manabii, “Tazameni, nitawafanya wale magugu na kunywa maji yenye sumu, kwa maana kufuru imetoka kwa manabii wa Yerusalemu na kuingia katika nchi yote.”
16 Så sier Herren, hærskarenes Gud: Hør ikke på de profeters ord som profeterer for eder! De fyller eder med tomme innbilninger; de bærer frem sitt eget hjertes syner, ikke ord av Herrens munn.
Bwana wa majeshi asema hivi, “Usisikilize maneno ya manabii wanaokuhubiri. Wamekudanganya! Wanatangaza maono kutoka kwenye mawazo yao wenyewe, si kwa kinywa cha Bwana.
17 De sier atter og atter til dem som forakter mig: Herren har sagt: I skal ha fred. Og til hver den som følger sitt hårde hjerte, sier de: Det skal ikke komme ulykke over eder.
Wanasema daima kwa wale wanaonidharau mimi, 'Bwana asema kutakuwa na amani kwako.' Na kila mtu anayetembea katika ukaidi wa moyo wake anasema, 'mabaya hayatakuja kwenu.'
18 For hvem av dem har stått i Herrens fortrolige råd, så han så og hørte hans ord? Hvem har gitt akt på mitt ord og hørt det?
Lakini nani amesimama katika mkutano wa baraza la Bwana? Ni nani anayeona na kusikia neno lake? Ni nani anayezingatia maneno yake na kusikiliza?
19 Se, Herrens storm, hans vrede farer ut, en hvirvlende stormvind; den hvirvler over hodet på de ugudelige.
Tazama, kuna dhoruba inayotoka kwa Bwana! Hasira yake inatoka, na dhoruba inazunguka. Inazunguka vichwa vya waovu.
20 Herrens vrede skal ikke vende tilbake før han har utført og fullbyrdet sitt hjertes tanker; i de siste dager skal I forstå det helt.
Hasira za Bwana hazitarejea mpaka zitakapotimiza nia ya moyo wake. Katika siku za mwisho, utaelewa.
21 Jeg har ikke sendt profetene, allikevel løp de; jeg har ikke talt til dem, allikevel profeterte de.
Sikuwatuma manabii hawa. Wao tu walionekana. Sikuwahubiri jambo lolote kwao, lakini bado wanatabiri.
22 Og hadde de stått i mitt fortrolige råd, vilde de la mitt folk høre mine ord og føre dem tilbake fra deres onde vei og fra deres onde gjerninger.
Kwa kuwa kama walisimama katika mkutano wangu wa baraza, wangeweza kuwasababisha watu wangu kusikia neno langu; wangewafanya wapate kuacha maneno yao mabaya na mazoea mabaya.
23 Er jeg en Gud bare nær ved, sier Herren, og ikke en Gud langt borte?
Mimi ni Mungu aliye karibu-hili ni tamko la Bwana-mimi sio Mungu aliye mbali?
24 Eller kan nogen skjule sig på lønnlige steder så jeg ikke kan se ham? sier Herren. Opfyller jeg ikke himmelen og jorden? sier Herren.
Je, kuna mtu yeyote anayejificha mahali penye siri ili nisiweze kumwona? -Hili ndilo tamko la Bwana-Je mbingu na nchi hazikujawa nami? -hili Ndilo tamko la Bwana.
25 Jeg har hørt hvad de profeter har sagt som profeterer løgn i mitt navn og sier: Jeg har drømt, jeg har drømt.
Nimesikia yale waliyosema manabii, wale waliokuwa wanatabiri uongo kwa jina langu. Wakisema, 'Nilikuwa na ndoto!
26 Hvor lenge skal dette vare? Har de i sinne de profeter som profeterer løgn, og som bærer frem sitt eget hjertes svik -
Nilikuwa na ndoto!' Je, hii itaendelea mpaka lini, manabii wanaotabiri uongo kutoka kwa akili zao, na wanasema nini kutokana na udanganyifu mioyoni mwao?
27 tenker de på å få mitt folk til å glemme mitt navn ved sine drømmer som de forteller hverandre, likesom deres fedre glemte mitt navn for Ba'als skyld?
Wana mpango wa kuwafanya watu wangu kusahau jina langu kwa ndoto ambazo wanazoripoti, kila mmoja kwa jirani yake, kama vile babu zao walivyosahau jina langu kwa ajili ya jina la Baali.
28 Den profet som har en drøm, han får fortelle en drøm, og den som har mitt ord, han skal tale mitt ord i sannhet! Hvad har halmen å gjøre med kornet? sier Herren.
Nabii aliye na ndoto, aseme ndoto hiyo. Lakini yule ambaye nimemwambia kitu fulani, basi aseme neno langu kwa kweli. Je, majani yanahusiana na nafaka? - hili ni tamko la Bwana-
29 Er ikke mitt ord som en ild, sier Herren, og lik en hammer som knuser berg?
Na neno langu si kama moto? -Hili ni tamko la Bwana-na kama mwamba wenye kupiga nyundo?
30 Se, derfor, sier Herren, kommer jeg over de profeter som stjeler mine ord fra hverandre.
Tazameni, ninapingana na nabii-hii ndiyo ahadi ya Bwana-yeyote anayeiba maneno kutoka kwa mtu mwingine na anasema yanatoka kwangu.
31 Se, jeg kommer over de profeter som bruker sin tunge og sier: Så sier Herren.
Tazama, ninapingana na manabii-hili ndilo tamko la Bwana-ambao hutumia lugha zao kutabiri maneno.
32 Se, jeg kommer over dem som bærer frem løgnaktige drømmer, sier Herren, og som forteller dem og fører mitt folk vill ved sine løgner og ved sitt skryt; jeg har ikke sendt dem og ikke gitt dem befaling, og noget gagn gjør de ikke dette folk, sier Herren.
Tazameni, ninapingana na manabii wanaoota ndoto-hii ndiyo ahadi ya Bwana-na kisha kuwahubiri na kwa njia hii kuwadanganya watu wangu kwa udanganyifu wao na kujivunia. Mimi ni juu yao, kwa kuwa sikuwatuma wala kuwapa amri. Kwa hivyo hawatawasaidia watu hawa - hili ndilo tamko la Bwana.
33 Og når dette folk eller en profet eller en prest spør dig: Hvad er Herrens byrde? - da skal du si dem hvad byrden er: I er byrden og jeg vil kaste eder bort, sier Herren.
Watu hawa au nabii au kuhani wakakuuliza, 'Je, ni nini tamko la Bwana?' basi lazima uwaambie, 'Ni tamko gani? Kwa maana nimekuacha wewe-hili ndilo tamko la Bwana.
34 Og den profet og den prest og den av folket som sier: Herrens byrde, den mann og hans hus vil jeg hjemsøke.
Kwa habari ya manabii, makuhani, na watu wanaosema, 'Hili ndilo tamko la Bwana,' nitamuadhibu mtu huyo na nyumba yake.
35 Således skal I si hver til sin næste og hver til sin bror: Hvad har Herren svart? Hvad har Herren talt?
Endelea kusema, kila mtu kwa jirani yake na kila mtu kwa ndugu yake, 'Bwana alijibu nini?' na 'Bwana alitangaza nini?'
36 Men "Herrens byrde" skal I ikke nevne mere; for hver manns eget ord skal være hans byrde, fordi I har forvendt den levende Guds, Herrens, hærskarenes Guds, vår Guds ord.
Lakini usizungumze tena juu ya tamko la Bwana, kwa kuwa kila tamko kutoka kwa kila mtu limekuwa ujumbe wake mwenyewe, na umepotosha maneno ya Mungu aliye hai, Bwana wa majeshi, Mungu wetu.
37 Således skal du si til profeten: Hvad har Herren svart dig? Hvad har Herren talt?
Utamuuliza nabii hivi, 'Bwana alikujibu nini? Je, Bwana alisema nini? Kisha unasema tamko kutoka kwa Bwana;
38 Men dersom I sier "Herrens byrde", da sier Herren så: Fordi I sier dette ord, "Herrens byrde", enda jeg sendte eder bud og sa: I skal ikke si "Herrens byrde",
lakini Bwana asema hivi, Sema hivi, “Hili ni tamko la Bwana” ingawa nimekuagiza na kusema, “Usiseme: Hili ni tamko kutoka kwa Bwana.”
39 se, derfor vil jeg aldeles glemme eder og kaste eder og den by jeg gav eder og eders fedre, bort fra mitt åsyn,
Kwa hiyo, angalia, nitawachukua na kukutupa mbali na mimi, pamoja na jiji ambalo nilikupa wewe na baba zako.
40 og jeg vil legge på eder en evig skam og en evig vanære, som aldri skal glemmes.
Ndipo nitaweka aibu ya milele na fedheha juu yenu ambayo haitasahauliwa.'”

< Jeremias 23 >