< Hoseas 4 >
1 Hør Herrens ord, I Israels barn! For Herren har sak med dem som bor i landet, fordi det ingen sannhet og ingen kjærlighet og ingen gudskunnskap finnes i landet.
Sikilizeni neno la Bwana, enyi watu wa Israeli. Bwana ana mashtaka dhidi ya wenyeji wa nchi, kwa sababu hakuna ukweli au uaminifu wa agano, hakuna ujuzi wa Mungu katika nchi.
2 De sverger og lyver, myrder og stjeler og driver hor. De farer frem med vold, og mord følger på mord.
Kuna laana, uongo, mauaji, wizi na uzinzi. Watu wamevunja mipaka yote, na damu inakuja baada ya damu.
3 Derfor skal landet visne, og alt det som bor der, skal vansmekte, både markens dyr og himmelens fugler, endog havets fisker skal utryddes.
Kwa hiyo nchi inakauka, na kila mtu aliyeishi ndani yake anaangamia; wanyama katika mashamba na ndege angani, hata samaki katika bahari, wanaondolewa.
4 Allikevel må ingen gå i rette med nogen annen eller refse ham; for ditt folk er lik dem som tretter med en prest.
Lakini usiruhusu mtu yeyote kuleta mashtaka; msiruhusu mtu yeyote ahukumu mtu mwingine. Kwa maana ninyi ndio makuhani, ninaowashtaki.
5 Du skal omkomme om dagen, og profeten skal omkomme med dig om natten, og jeg vil tilintetgjøre din mor.
Ninyi makuhani mtajikwaa wakati wa mchana; manabii pia watajikwaa pamoja nanyi usiku, nami nitamwangamiza mama yako.
6 Mitt folk går til grunne fordi det ikke har kunnskap; fordi du har forkastet kunnskapen, forkaster jeg dig, så du ikke skal tjene mig som prest; du glemte din Guds lov, derfor vil også jeg glemme dine barn.
Watu wangu wanaharibiwa kwa sababu ya ukosefu wa maarifa. Kwa sababu makuhani wamekataa maarifa, nami nitawakataa msiwe makuhani kwangu. Kwa sababu umesahau sheria yangu, ingawa mimi ni Mungu wako, nami pia nitasahau watoto wako.
7 Jo flere de blev, dess mere syndet de mot mig; deres ære vil jeg skifte om til skam.
Makuhani wengi waliongezeka, zaidi walifanya dhambi dhidi yangu. Walibadilisha heshima zao kwa aibu.
8 Av mitt folks synd lever de, og efter deres misgjerning higer de.
Wanajilisha dhambi ya watu wangu; wao ni wenye tamaa zaidi ya uovu wao.
9 Derfor skal det gå med presten som med folket, og jeg vil hjemsøke ham for hans ferd og gi ham like for hans gjerninger.
Itakuwa sawa kwa watu kama kwa makuhani: nitawaadhibu wote kwa matendo yao; Nitawalipa kwa matendo yao.
10 De skal ete og ikke bli mette, de skal drive utukt og ikke utbrede sig; for de har holdt op å akte på Herren.
Watakula lakini hawatashiba; watafanya uzinzi lakini hawataongezeka, kwa sababu wamekwenda mbali na Bwana.
11 Hor og vin og most tar forstanden bort.
Wanapenda uasherati, divai, na divai mpya, ambayo imechukua uelewa wao.
12 Mitt folk spør sitt trestykke til råds, og dets kjepp gir det svar; for utuktens ånd har forvillet dem, så de driver hor og ikke vil stå under sin Gud.
Watu wangu hutaka shauri kwa sanamu zao za mbao, na fimbo zao za kutembelea huwapa unabii. Kwa maana mawazo ya uasherati yamewadanganya, na wamefanya kama makahaba badala ya kuwa mwaminifu kwa Mungu wao.
13 På fjelltoppene ofrer de, og på haugene brenner de røkelse under eker og popler og terebinter, fordi skyggen der er god; derfor driver eders døtre hor, og eders sønnekoner gjør sig skyldige i ekteskapsbrudd.
Wanatoa sadaka juu ya milima na kuteketeza uvumba kwenye milima, chini ya mialoni, milibua na miela, kwa sababu kivuli ni nzuri. Basi binti zenu hufanya uasherati, na binti zenu wanazini.
14 Jeg vil ikke hjemsøke eders døtre for deres hor, eller eders sønnekoner for deres ekteskapsbrudd; for mennene går selv avsides med horkvinnene og ofrer med skjøgene. Således går det uforstandige folk til grunne.
Mimi siwaadhibu binti zako wakati wanachagua kutenda uasherati, wala binti zako wakati wazini. Kwa maana wanaume pia wanajitoa kwa makahaba, na hutoa dhabihu ili waweze kufanya vitendo vya uasherati na makahaba. Hivyo watu wasiofahamu wataangamizwa.
15 Om enn du, Israel, driver hor, så må ikke Juda gjøre sig skyldig i sådant! Gå ikke til Gilgal og dra ikke op til Bet-Aven og sverg ikke: Så sant Herren lever!
Ingawa wewe, Israeli, umefanya uzinzi, lakini Yuda asiwe na hatia. Ninyi msiende Gilgali; msiende hadi Beth Aven. Wala msiape, “Aishivyo Bwana.”
16 For Israel er som en ustyrlig ku; men nu skal Herren la dem beite som lam på den vide mark.
Kwa maana Israeli amefanya ukaidi, kama ndama mkaidi. Je! Bwana anaweza kuwaleta kwenye malisho kama kondoo mahali penye nafasi?
17 Efra'im er bundet til avgudsbilleder; la ham fare!
Efraimu alijiunga na sanamu; mwache peke yake.
18 Deres rus er forbi; utukt har deres skjold drevet, høit har de elsket det som skammelig er.
Hata wakati kileo chao kimeondoka wakaendelea kufanya uzinzi; watawala wake hupenda sana aibu yao.
19 Et stormvær griper dem med sine vinger, og de skal bli til skamme med sine offer.
Upepo utamfunga kwa mabawa yake; nao wataona aibu kwa sababu ya dhabihu zao.