< 1 Mosebok 4 >
1 Og Adam holdt sig til sin hustru Eva, og hun blev fruktsommelig og fødte Kain; da sa hun: Jeg har fått en mann ved Herren.
Mwanume akalala na Hawa mke wake. Akabeba mimba na akamzaa Kaini. Akasema, “nimezaa mwanaume kwa msaada wa Yahwe.”
2 Siden fødte hun Abel, hans bror. Og Abel blev fårehyrde, men Kain blev jorddyrker.
Kisha akazaa ndugu yake Habili. Sasa Habili akawa mchungaji, lakini Kaini alilima udongo.
3 Da nogen tid var gått, hendte det at Kain bar frem for Herren et offer av jordens grøde.
Ikawa kwamba baada ya muda Kaini alileta sehemu ya mazao ya ardhi kama sadaka kwa Yahwe.
4 Og Abel bar også frem et offer, som han tok av de førstefødte lam i sin hjord og deres fett; og Herren så til Abel og hans offer,
Habili pia, alileta sehemu ya wazao wa kwanza wa wanyama wake na sehemu zilizonona. Yahwe akamkubali Habili pamoja na sadaka yake,
5 men til Kain og hans offer så han ikke. Da blev Kain meget vred, og han stirret ned for sig.
lakini Kaini pamoja na sadaka yake Mungu hakuikubali. Kwa hiyo Kaini alikasirika sana, na uso wake ukakunjamana.
6 Og Herren sa til Kain: Hvorfor er du vred, og hvorfor stirrer du ned for dig?
Yahwe akamwambia Kaini, “kwa nini umekasirika na kwa nini uso wako umekunjamana?
7 Er det ikke så at dersom du har godt i sinne, da kan du løfte op ditt ansikt? Men har du ikke godt i sinne, da ligger synden på lur ved døren, og dens attrå står til dig, men du skal være herre over den.
Kama ukifanya vema, je hutapata kibali? lakini kama hutafanya lilio jema, dhambi iko inakuotea mlangoni na inatamani kukutawala, lakini inakupasa uishinde.
8 Og Kain talte til Abel, sin bror. Og da de engang var ute på marken, for Kain løs på Abel, sin bror, og slo ham ihjel.
Kaini akamwambia Habili ndugu yake. Hata wakati walipokuwa shambani, Kaini aliinuka dhidi ya Habili ndugu yake na akamuua. (Katika tafsiri za kale zinasema, Kaini alimwambia Habili ndugu yake, “twende mashambani.” Na wakati walipokuwa shambani, Kaini alimuinukia Habili ndugu yake na kumuua).
9 Da sa Herren til Kain: Hvor er Abel, din bror? Han svarte: Jeg vet ikke; skal jeg passe på min bror?
Kisha Yahwe akamuuliza Kaini, “Ndugu yako Habili yuko wapi?” Akasema, “sijui. Je mimi ni mlinzi wa ndugu yangu?”
10 Men han sa: Hvad har du gjort? Hør, din brors blod roper til mig fra jorden.
Yahwe akasema, “umefanya nini? damu ya ndugu yako inaniita mimi kutokea ardhini.
11 Og nu skal du være bannlyst fra den jord som lot op sin munn og tok imot din brors blod av din hånd!
Na sasa umelaaniwa wewe kutoka ardhi ambayo imefungua kinywa chake kupokea damu ya ndugu yako kutoka mikononi mwako.
12 Når du dyrker jorden, skal den ikke mere gi dig sin grøde; omflakkende og hjemløs skal du være på jorden.
Utakapo ilima ardhi, kuanzia sasa na kuendelea haita kuzalia wewe nguvu yake. Utakuwa mkimbizi na mtu asiye na makao duniani.”
13 Da sa Kain til Herren: Min misgjerning er større enn at jeg kan bære den.
Kaini akamwambia Yahwe, “Adhabu yangu ni kubwa kuliko uwezo wangu wa kustahimili.
14 Se, du har idag drevet mig ut av landet, og jeg må skjule mig for ditt åsyn; og jeg vil bli omflakkende og hjemløs på jorden, og det vil gå så at hver den som finner mig, slår mig ihjel.
Kwa hakika umenifukuza siku hii ya leo kutoka kwenye ardhi hii, na sitaonekana mbele ya uso wako. Nitakuwa mkimbizi na mtu nisiye na makao katika dunia, na yeyote atakaye niona ataniua.”
15 Men Herren sa til ham: Nei! for slår nogen Kain ihjel, skal han lide syvfold hevn. Og Herren gav Kain et merke, forat ikke nogen som møtte ham, skulde slå ham ihjel.
Yahwe akamwambia, “ikiwa mtuyeyote atamuua Kaini, kisasi kitakuwa juu yake mara saba.” Kisha Yahwe akaweka alama juu ya Kaini, ili kwamba kama mtu awayeyote akimuona, mtu huyo asimshambulie.
16 Så gikk Kain bort fra Herrens åsyn og bosatte sig i landet Nod, østenfor Eden.
Kwa hiyo Kaini akatoka mbele ya uwepo wa Yahwe na akaishi katika nchi ya Nodi, mashariki mwa Edeni.
17 Og Kain holdt sig til sin hustru, og hun blev fruktsommelig og fødte Hanok; og han tok sig for å bygge en by og kalte byen Hanok efter sin sønn.
Kaini akamjua mke wake na akapata mimba. Akamzaa Henoko. Akajenga mji na akauita kwa jina la mwanae Henoko.
18 Og Hanok fikk sønnen Irad, og Irad blev far til Mehujael, og Mehujael blev far til Metusael, og Metusael blev far til Lamek.
Kwa Henoko akazaliwa Iradi. Iradi akamzaa Mehuyaeli. Mehuyaeli akamzaa Methushaeli. Methushaeli akamzaa Lameki.
19 Og Lamek tok sig to hustruer; den ene hette Ada, og den andre hette Silla.
Lameki akajitwalia wake wawili: jinala mmoja alikuwa Ada, na jina la yule mwingine alikuwa Sila.
20 Og Ada fødte Jabal; han blev stamfar til dem som bor i telt og holder buskap.
Ada akamzaa Yabali. Huyu ndiye alikuwa baba yao na wale walioishi hemani ambao wanafuga wanyama.
21 Og hans bror hette Jubal; han blev stamfar til alle dem som spiller på harpe og fløite.
Ndugu yake aliitwa Yubali. Huyu alikuwa baba yao na wale wapigao kinubi na filimbi.
22 Og Silla fødte Tubalkain; han smidde alle slags skarpe redskaper av kobber og jern; og Tubalkains søster var Na'ama.
Sila naye akamzaa Tubal Kaini, mfua vyombo vya shaba na chuma. Dada yake na Tubal Kaini alikuwa Naama.
23 Og Lamek sa til sine hustruer: Ada og Silla, hør mine ord, Lameks hustruer, merk min tale! En mann dreper jeg for hvert sår jeg får, og en gutt for hver skramme jeg får;
Lameki akawaambia wake zake, Ada na Sila, sikieni sauti yangu; ninyi wake wa Lameki, sikilizeni nisemacho. Kwa kuwa nimemuua mtu kwa kunijeruhi, kijana kwa kunichubua.
24 for hevnes Kain syv ganger, da skal Lamek hevnes syv og sytti ganger.
Ikiwa Kaini atalipiwa kisasi mara saba, ndipo Lameki atalipiwa kisasi mara sabini na saba.”
25 Og Adam holdt sig atter til sin hustru, og hun fødte en sønn og kalte ham Set; for sa hun Gud har satt mig en annen sønn i Abels sted, fordi Kain slo ham ihjel.
Adam akamjua mke wake tena, na akazaa mtoto mwanaume. Akamuita jina lake Sethi na akasema, “Mungu amenipatia mtoto mwingine wa kiume kwa nafasi ya Habili, kwa kuwa Kaini alimuuwa.”
26 Og Set fikk en sønn og kalte ham Enos. På den tid begynte de å påkalle Herrens navn.
Mtoto wa kiume alizaliwa kwa Sethi na akamuita jina lake Enoshi. Wakati huo watu walianza kuliitia jina la Yahwe.