< Esekiel 39 >
1 Og du menneskesønn! Spå mot Gog og si: Så sier Herren, Israels Gud: Se, jeg kommer over dig, Gog, fyrste over Ros, Mesek og Tubal!
“Kisha wewe, mwanadamu, tabiri dhidi ya Gogu na sema, 'Bwana Yahwe asema hivi: Tazama! ni kinyume nawe, Gogu, mkuu wa Mesheki na Tubali.
2 Og jeg vil vende dig om og drive dig frem og føre dig op fra det ytterste Norden og la dig komme over Israels fjell.
Nitakugeuza na kukuongoza; nitakupandisha juu kutoka mbali kaskazini na kukuleta hata milima ya Israeli.
3 Og jeg vil slå din bue ut av din venstre hånd og la dine piler falle ut av din høire hånd.
Kisha nitaufunga upinde wako utoke katika mkono wako wa kushoto na kuifanya mishale kuanguka kutoka kwenye mkono wako wa kuume.
4 På Israels fjell skal du falle, du og alle dine skarer og de folkeslag som er med dig; jeg gir dig til føde for allehånde rovfugler og for markens ville dyr.
Utaanguka juu ya milima ya Israeli-wewe na jeshi lako late na maaskari walio pamoja nawe. Nitawapatia ndege mbua na wanyama pori wa mashambani kwa ajili ya chakula.
5 På marken skal du falle; for jeg har talt, sier Herren, Israels Gud.
Utaanguka juu ya uso wa shamba, kwa kuwa mimi mwenyewe nimesema hivyo-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
6 Og jeg vil sende ild mot Magog og mot dem som bor trygt på øene, og de skal kjenne at jeg er Herren.
Kisha nitapeleka moto juu ya Magogu na kwa wale waishio salama juu ya pwani, na watajua yakwamba mimi ni Yahwe.
7 Og jeg vil kunngjøre mitt hellige navn blandt mitt folk Israel og ikke mere la mitt hellige navn bli vanhelliget, og folkene skal kjenne at jeg er Herren, hellig i Israel.
Kwa kuwa nitalifanya jina langu takatifu lijulikane kati ya watu wangu Israeli, na sitaruhusu tena jina langu takatifu litukanwe; mataifa watajua kwamba mimi ni Yahwe, Mtakatifu katika Israeli.
8 Se, det kommer, det skjer, sier Herren, Israels Gud; det er dagen som jeg har talt om.
Tazama! Siku inakuja, na itachukua nafasi-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
9 Da skal de som bor i Israels byer, gå ut og gjøre op ild og holde den ved like med rustninger og små og store skjold, med buer og piler og staver og spyd, og de skal holde ilden ved like dermed i syv år;
Hao wakaao katika miji ya Israeli watatoka nje na watatumia silaha kuwasha moto na kutengeneza moto na kuwachoma-ngao ndogo, ngao kubwa, pinde, mishale, rungu, na mikuki; watatengeneza mioto pamoja nao kwa muda wa siku saba.
10 de skal ikke hente ved fra marken og ikke hugge i skogene, men med rustningene skal de holde ilden ved like, og de skal røve fra dem som har røvet fra dem, og plyndre dem som har plyndret dem, sier Herren, Israels Gud.
Hawatakusanya kuni kutoka mashambani wala kukata miti kutoka kwenye misitu, kwa kuwa watazichoma hizo silaha; watawateka nyara wale watakaotaka kuwateka nyara-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”
11 På den dag vil jeg gi Gog et gravsted i Israel, de veifarendes dal østenfor havet, og den skal stenge veien for de veifarende; der skal de begrave Gog og hele hans hop, og de skal kalle den Gog-hopens dal.
Kisha itakuwa katika hiyo siku ambayo nitaifanya sehemu huko kwa ajili ya Gogu-kaburi la Israeli, bonde kwa ajili ya wale wanaosafiri hata mashariki ya bahari. Litawazuia wale wanaotegemea kupita. Huko watamzika Gogu pamoja na kundi lake lote. Watapaita bonde la Hamon-Gogu.
12 I syv måneder skal Israels hus holde på med å begrave dem for å rense landet.
Kwa muda wa siku saba nyumba ya Israeli itawazika ili kuitakasa nchi.
13 Alt folket i landet skal være med om å begrave dem, og det skal være dem til navnkundighet på den dag jeg åpenbarer min herlighet, sier Herren, Israels Gud.
Kwa kuwa watu wa nchi watawazika; itakuwa siku ya kukumbukwa kwao wakati nitakapotukuzwa-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
14 De skal utkåre nogen menn som stadig skal dra gjennem landet, og andre som sammen med dem som drar gjennem landet, skal begrave alle som er blitt liggende igjen på marken rundt om i landet, for å rense det. Når syv måneder er til ende, skal de gjennemsøke det,
Kisha watawateua watu kuendelea kwenda kwenye nchi, kuwatafuta wale waliokuwa wakisafiri, lakini waliokufa na miili yao kubaki juu ya uso wa nchi, ili kwamba waweze kuwazika, kwa ajili ya kusafisha nchi. Katika siku ya mwisho ya mwezi wa saba wataanza kutafuta.
15 og når nogen av dem som skal dra gjennem landet, på sin ferd ser et menneskeben, da skal de sette op et merke der, til de som skal begrave, får begravet det i Goghopens dal.
Kama hawa watu wapitao kwenye nchi, watakapoona mfupa wowote wa binadamu, wataweka alama kwa huo, hadi wachimba kaburi watakapokuja na kuizika katika bonde la Hamoni Gogu.
16 Også en by der skal ha navnet Hamona. Således skal de rense landet.
Kutakuwa na mji huko unaitwa Hamona. Wataitakasa nchi kwa njia hii.
17 Og du menneskesønn! Så sier Herren, Israels Gud: Si til allehånde fugler og til alle markens ville dyr: Samle eder og kom, samle eder fra alle kanter til det slaktoffer som jeg slakter for eder, et stort slaktoffer på Israels fjell, og I skal ete kjøtt og drikke blod.
Kwako wewe, mwanadamu, Bwana Yahwe asema hivi: Waambie ndege wote wenye mabawa na wanyama wote wa porini katika mashamba, 'Kusanyikeni pamoja na mje. Kusanyikeni kutoka pande zote kwenda kwenye dhabihu yote ambayo mimi mwenyewe ninayoifanya kwa ajili yako, dhabihu kubwa juu ya milima ya Israeli, ili kwamba mle nyama na kunywa damu.
18 Kjempers kjøtt skal I ete, og jordens fyrsters blod skal I drikke, værer, lam og bukker og okser, alle sammen gjødd i Basan.
Mtakula nyama ya walio hodari na kunywa damu ya wakuu wa dunia; watakuwa kondoo waume, wana kondoo, mbuzi, na ng'ombe, wote walikuwa wanene katika Basheni.
19 Og I skal ete fett til I blir mette, og drikke blod til I blir drukne, av det slaktoffer som jeg slakter for eder.
Kisha mtakula mafuta hata kuridhika kwenu; mtakunywa damu hadi kulewa; hii itakuwa dhabihu nitakayoichinja kwa ajili yenu.
20 I skal mettes ved mitt bord med ridehester og vognhester, med kjemper og alle slags krigsmenn, sier Herren, Israels Gud.
Mtatosheka kwenye meza yangu pamoja na farasi, magari ya farasi, shujaa, na kila mtu wa vita-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.'
21 Og jeg vil åpenbare min herlighet iblandt folkene, og alle folkene skal se den dom som jeg har holdt, og min hånd som jeg har lagt på dem.
Nitauweka utukufu wangu kati ya mataifa, na mataifa yote yataona hukumu yangu ninayoionyesha na mkono wangu nimeuweka juu yao.
22 Og Israels hus skal kjenne at jeg er Herren deres Gud, fra den dag og fremdeles.
Nyumba ya Israeli itajua yakwamba mimi ni Yahwe Mungu wao kutoka hiyo siku na kuendelea.
23 Og folkene skal skjønne at det var for sin misgjernings skyld Israels hus blev bortført, fordi de var troløse mot mig, så jeg skjulte mitt åsyn for dem og gav dem i deres fienders hånd, og de falt for sverdet alle sammen;
Mataifa yatajua kwamba nyumba ya Israeli wameenda uhamishoni kwa sababu ya udhalimu wao kwa kunisaliti, hivyo naficha uso wangu kwao na kuwaweka kwenye mkono wa maadui zao ili kwamba wote waanguke kwa upanga.
24 efter deres urenhet og deres overtredelser gjorde jeg med dem, og jeg skjulte mitt åsyn for dem.
Nimewafanyia kutokana na uchafu wao na dhambi zao, nitakapokuwa nimeuficha uso wangu kwao.
25 Derfor sier Herren, Israels Gud, så: Nu vil jeg gjøre ende på Jakobs fangenskap og forbarme mig over hele Israels hus, og jeg vil vise mig nidkjær for mitt hellige navn.
Kwa hiyo Bwana Yahwe asema hivi: Sasa nitawarudisha watu wa Yakobo, na kuwa na huruma juu ya nyumba yote ya Israeli, wakati nitakapoona wivu kwa ajili ya jina langu.
26 Og de skal bære sin skam og all den troløshet de har vist mot mig, når de bor trygt i sitt land, og ingen forferder dem.
Kisha watabeba aibu yao na uhaini mkubwa walio nihaini. Watayasahau haya yote watakapopumzika katika nchi yao katika usalama, wala hakuna mtu atakaye waogofya.
27 Når jeg fører dem tilbake fra folkene og samler dem fra deres fienders land og åpenbarer min hellighet på dem for de mange folks øine,
Wakati nitakapokuwa nimewarudisha kutoka kwa watu na kuwakusanya kutoka kwenye nchi za maadui zao, nitajionyesha mimi mwenyewe kuwa mtakatifu kwenye uso wa mataifa mengi.
28 da skal de kjenne at jeg er Herren deres Gud, fordi jeg har bortført dem til folkene, men igjen samlet dem til deres land og ikke lar nogen av dem bli igjen der.
Kisha watajua kwamba mimi ni Yahwe Mungu wao, kwa kuwa nimewapeleka utumwani kati ya mataifa, lakini kisha nitawakusanya kuwarudisha hata nchi yao. Sitamuacha hata mmoja wao kati ya mataifa.
29 Og jeg vil ikke mere skjule mitt åsyn for dem, for jeg vil utgyde min Ånd over Israels hus, sier Herren, Israels Gud.
Sitawaficha uso wangu kwao wakati nitakapomwaga Roho wangu katika nyumba ya Israeli-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”