< 1 Kongebok 14 >
1 På den tid blev Abia, Jeroboams sønn, syk.
Wakati huo Abiya mwana wa Yeroboamu akawa mgonjwa sana.
2 Da sa Jeroboam til sin hustru: Stå op og forklæ dig, så ingen kan se at du er Jeroboams hustru, og gå så til Silo! Der bor profeten Akia, han som sa om mig at jeg skulde bli konge over dette folk.
Yeroboamu akamwambia mke wake, “amka ujibadilishe, ili wasikutambue kuwa wewe ndiye mke wangu, na uende Shilo, kwa sababu nabii Ahiya yuko huko, yeye ndiye aliyeninea mimi kuwa nitakuwa mfalme juu ya watu hawa.
3 Ta med dig ti brød og nogen kaker og en krukke med honning og gå inn til ham! Han vil si dig hvorledes det skal gå med gutten.
Uchukue mikate kumi, na kaki na mtungi wa asali, na uende kwa Ahiya. Naye atakuambia kitakachotokea kwa mtoto.”
4 Og Jeroboams hustru gjorde så; hun stod op og gikk til Silo og kom til Akias hus. Men Akia kunde ikke se; for hans øine var stive av alderdom.
Mke wa Yeroboamu akafanya hivyo; akaenda Shilo mpaka kwenye nyumba ya Ahiya. Wakati huo Ahiya alikuwa hawezi kuona, kwa kuwa macho yake yalikuwa yameishiwa nguvu kwa sababu ya umri wake.
5 Men Herren hadde sagt til Akia: Nu kommer Jeroboams hustru for å høre hvad du vil si om hennes sønn, for han er syk; så og så skal du si til henne; men når hun kommer, vil hun late som hun er fremmed.
BWANA akamwambia Ahiya, “Tazama mke wa Ahiya anakuja kutafuta kutaka ushauri toka kwako kuhusiana na mwanae, kwa kuwa ni mgonjwa. Mwambie hivi na hivi, kwa sababu atakapofika atajifanya kuwa ni mwanamke mwingine.”
6 Da nu Akia hørte lyden av hennes fottrin i døren, sa han: Kom inn, Jeroboams hustru! Hvorfor later du som du er fremmed? Det er pålagt mig å forkynne dig et hårdt budskap.
Naye Ahiya aliposikia sauti za miguu yake alipokuwa akiukaribia mlango, akasema, “karibu, mke wa Yeroboamu. Kwa nini unajifanya kuwa mtu mwingine? Nimetumwa kwako nikiwa na habaari mbaya.
7 Gå og si til Jeroboam: Så sier Herren, Israels Gud: Jeg har ophøiet dig midt iblandt folket og satt dig til fyrste over mitt folk Israel
Nenda ukamwambia Yeroboamu kwamba BWANA, Mungu wa Israeli, anasema, 'Nilikuinua kutoka kati ya watu na kukufanya uwe kiongozi wa watu wangu Israeli.
8 og revet riket fra Davids hus og gitt dig det, men du har ikke vært som min tjener David, som holdt mine bud og fulgte mig av alt sitt hjerte, så han ikke gjorde annet enn det som rett var i mine øine;
Niliugawa ufalme kutoka kwa Daudi na kukupa wewe, lakini bado hutaki kuwa kama mtumishi wangu Daudi, ambaye alizishika amri zangu na kunifuata kwa moyo wake wote, na kufanya kilichokuwa sawa mbele ya macho yangu.
9 men du har båret dig verre at enn alle de som har vært før dig, og er gått avsted og har gjort dig andre guder og støpte billeder og således vakt min harme, og du har kastet mig bak din rygg:
Badala yake, umefanya maovu, zaidi ya wote waliokutangulia. Umetengeneza miungu mingine, na umetengeneza sanamu za kuyeyushwa ili kunikasirisha na kunitupa nyuma yako.
10 Derfor vil jeg føre ulykke over Jeroboams hus og utrydde av Jeroboams ætt alle menn, både umyndige og myndige i Israel, og jeg vil feie efter Jeroboams hus, som en feier skarnet bort, inntil det er aldeles ute med ham.
Kwa hiyo, tazama, Nitaleta majanga kwenye familia yako; Nitawatupilia mbali watoto wako wote wa kiume katika Israeli, kama ni mtumwa au ni huru, na nitaiondoa familia yako, kama mtu anayechoma mavi mpaka yaishe.
11 Den av Jeroboams ætt som dør i byen, skal hundene fortære, og den som dør på marken, skal himmelens fugler fortære; for så har Herren talt.
Yeyote ambaye ni mwanafamilia yako atakayefia mjini ataliwa na mbwa, na yeyote atakayefia shamabani ataliwa na ndege wa angani, kwa kuwa Mimi BWANA, nimesema;
12 Stå nu du op og gå hjem! Så snart dine føtter treder inn i byen, skal barnet dø.
Kwa hiyo inuka wewe mke wa Yeroboamu, na uende nyumbani kwako; na mguu wako utakapokanyaga mjini, yule mtoto wa Abiya atakufa.
13 Og hele Israel skal holde sørgehøitid over ham, og de skal begrave ham; han er den eneste av Jeroboams hus som skal komme i grav, fordi han var den eneste i Jeroboams hus hos hvem det fantes noget som Herren, Israels Gud, hadde velbehag i.
Na Israeli yote itamwombolezea na kumzika. Ni yeye pekee katika familia ya Abiya atakayepelekwa makaburini, kwa sababu ni yeye pekee yake kutoka kwenye nyumba ya Abiya, ambaye BWANA, Mungu wa Israeli alimwona kuwa ni mwema.
14 Men Herren skal opreise sig en konge over Israel som skal utrydde Jeroboams hus den samme dag. Dog, hvad sier jeg? Allerede nu er det skjedd.
Pia BWANA atainua mfalme katika Israeli ambaye ataifutilia mbali familia ya Yeroboamu katika siku hiyo. Leo ndiyo siku hiyo, sasa hivi.
15 Og Herren skal slå Israel, så det blir som sivet som vugger hit og dit i vannet, og han skal rykke Israel op av dette gode land som han gav deres fedre, og strø dem omkring hinsides elven, fordi de har gjort sig Astarte-billeder og vakt Herrens harme.
Kwa kuwa BWANA ataishambulia Israeli kama vile majani yanavyotikiswa majini, na ataing'oa Israeli katika nchi hii njema ambayo aliwpa mababu. Atawatawanya hata ng'ambo ya Mto Frati, kwa sababu wamefanya nguzo za Ashera kumkasirisha BWANA.
16 Og han skal gi Israel i fiendevold for de synders skyld som Jeroboam har gjort, og som han har fått Israel til å gjøre.
Ataiacha Israeli kwa sababu ya dhambi ya Yeroboamu, dhambi ambazo ametenda, na kwa hizo ameifanya Israeli kufanya dhambi.
17 Da stod Jeroboams hustru op og gikk sin vei og kom til Tirsa; i det samme hun trådte på husets dørtreskel, døde gutten.
Kwa hiyo mke wa Yeroboamu akainuka na akaondoka na akaenda mpaka Tirza. Naye alipofika kizingitini kwa nyumba yake, yule mtoto akafa.
18 Og de begravde ham, og hele Israel holdt sørgehøitid over ham efter det ord som Herren hadde talt ved sin tjener, profeten Akia.
Isareli wote wakamzika na kumwombolezea, kama vile alivyokuwa ameambiwa kwa neno la BWANA ambalo amelisema kupitia mtumishi wake nabii Ahiya.
19 Hvad som ellers er å fortelle om Jeroboam, om hans kriger og om hans regjering, det er opskrevet i Israels kongers krønike.
Na kwa mambo mengine yanayOmhusu Yeroboamu, jinsi alivyopigana vita na jinsi alivyotawala, tazama yameandikwa katika kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli.
20 Den tid Jeroboam var konge, var to og tyve år; så la han sig til hvile hos sine fedre, og hans sønn Nadab blev konge i hans sted.
Yeroboamu alitawala kwa miaka ishirini na mbili naye akalala na babu zake, na Nadabu mwanawe akawa mfalme mahali pake.
21 Rehabeam, Salomos sønn, var konge i Juda; han var en og firti år gammel da han blev konge, og han regjerte sytten år i Jerusalem, den stad som Herren hadde utvalgt blandt alle Israels stammer for å la sitt navn bo der; hans mor hette Na'ama og var fra Ammon.
Sasa Rehoboamu mwana wa Sulemani alikuwa mtawala wa Yuda. Rehoboamu alikuwa na umri wa miaka arobaini na moja alipokuwa mfalme, na akatawala kwa miaka kumi na saba kule Yerusalemu, mji ambao BWANA alikuwa ameuchagua kati ya makabila yote ya Israeli ili aweke jina lake kule. Jina la mama yake alikuwa Naama Mwamori.
22 Og Juda gjorde hvad ondt var i Herrens øine, og med de synder de gjorde, egget de ham til nidkjærhet mere enn deres fedre hadde gjort.
Yuda ikafanya yaliyo maovu mbele ya macho ya BWANA; wakamtia wivu kwa makosa yao, zaidi ya yote ambayo baba zao walikuwa wamefanya
23 Også de bygget sig offerhauger og gjorde sig støtter og Astarte-billeder på hver høi bakke og under hvert grønt tre;
Kwa kuwa walijijengea wenyewe mahali pa juu, nguzo za mawe, na nguzo za Ashera katika kila mahali pa juu na katika kila mti wenye majani mabichi.
24 der var endog tempel-bolere i landet; de tok efter de vederstyggelige skikker hos alle de hedningefolk som Herren hadde drevet bort for Israels barn.
Pia kulikuwepo na ukahaba wa kipagani katika nchi. Walifanya machukizo yaleyale kama wa mataifa yale ambayo BWANA alikuwa amewafukuza kutoka kwa watu wa Israeli.
25 Da hendte det i kong Rehabeams femte år at Egyptens konge Sisak drog op mot Jerusalem.
Ilitokea wakati wa mwaka wa tano wa mfalme Rehoboamu wakati Shishaki akiwa mfalme wa Misri, akaja kinyume na Yerusalemu.
26 Og han tok skattene i Herrens hus og skattene i kongens hus; alt sammen tok han. Han tok også alle de gullskjold som Salomo hadde latt gjøre.
Akaichukua hazina iliyokuwa kwenye nyumba ya BWANA, na ile hazina iliyokuwa kwenye nyumba ya Mfalme. Akachukua kila kitu; Pia alizichukua zile ngao za dhahabu ambazo Sulemani alikuwa ametengeneza.
27 Istedenfor dem lot kong Rehabeam gjøre kobberskjold og betrodde dem til høvedsmennene for drabantene som voktet inngangen til kongens hus;
Mfalme Rehoboamu akatengeneza ngao za shaba mahali pake na akazikabidhi kwa wakuu wa walinzi, ambao walilinda malango ya kuingia kwa mfalme.
28 og så ofte kongen gikk inn i Herrens hus, bar drabantene dem og tok dem så med tilbake til vaktstuen.
Na ikawa kila mfalme alipoingia kwenye nyumba ya BWANA, wale walinzi walizibeba na baadaye walizirudisha katika chumba cha walinzi.
29 Hvad som ellers er å fortelle om Rehabeam og om alt det han gjorde, er opskrevet i Judas kongers krønike.
Lakini katika mambo mengine kuhusiana na Rehoboamu, na yote yale aliyofanya, je, hayakuandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Yuda?
30 Mellem Rehabeam og Jeroboam var det krig hele tiden.
Kulikuwa na mapigano yasiyokoma kati ya nyumba ya Rehoboamu na nyumba ya Yeroboamu.
31 Og Rehabeam la sig til hvile hos sine fedre og blev begravet hos sine fedre i Davids stad. Hans mor hette Na'ama og var fra Ammon. Hans sønn Abiam blev konge i hans sted.
Kwa hiyo Rehoboamu akalala na mababu zake naye akazikwa pamoja nao katika mji wa Daudi Jina la mama yake alikuwa Naama Mwamori. Abiya mwanawe akawa mfalme mahali pake